johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Haya mambo ya kuteka na Kutekwa tukiyachekea huwa Tabia na yatahamia kila mahali hadi Kwa akina Simba na Yanga, hadi kwa Wafanyabiashara tena hadi Kwa viongozi wa Dini
Mungu wa Mbinguni aingilie Kati Siasa za Teka Teka zifike mwisho
Wenzetu Kenya sasa wanateka Raia wa kigeni (Watalii) hali ni mbaya sana Tanzania tusifike huko
Nawatakia Dominica Njema 🌹
Mungu wa Mbinguni aingilie Kati Siasa za Teka Teka zifike mwisho
Wenzetu Kenya sasa wanateka Raia wa kigeni (Watalii) hali ni mbaya sana Tanzania tusifike huko
Nawatakia Dominica Njema 🌹