Haiwezekani kushughulikiana kisiasa bila kutekana na kuumizana? Au mifumo ya kisiasa (kuvumiliana) imefeli?

Haiwezekani kushughulikiana kisiasa bila kutekana na kuumizana? Au mifumo ya kisiasa (kuvumiliana) imefeli?

Haya mambo ya kuteka na Kutekwa tukiyachekea huwa Tabia na yatahamia kila mahali hadi Kwa akina Simba na Yanga, hadi kwa Wafanyabiashara tena hadi Kwa viongozi wa Dini

Mungu wa Mbinguni aingilie Kati Siasa za Teka Teka zifike mwisho

Wenzetu Kenya sasa wanateka Raia wa kigeni (Watalii) hali ni mbaya sana Tanzania tusifike huko

Nawatakia Dominica Njema 🌹
Umeongea kwa hisia sana kaka kusema kweli haya matukio yanaumiza sanaa.
 
Haya mambo ya kuteka na Kutekwa tukiyachekea huwa Tabia na yatahamia kila mahali hadi Kwa akina Simba na Yanga, hadi kwa Wafanyabiashara tena hadi Kwa viongozi wa Dini

Mungu wa Mbinguni aingilie Kati Siasa za Teka Teka zifike mwisho

Wenzetu Kenya sasa wanateka Raia wa kigeni (Watalii) hali ni mbaya sana Tanzania tusifike huko

Nawatakia Dominica Njema 🌹
Hii ndiyo legacy ya lile dhalim la chato.
 
Yan minipo madarakani afu naskia mtu ananidis au kunisema. kwan ananitoa ngoz akinisema ? wengine hua wanasema ukweli mtupu ila wanaishia kufa au kuteswa hii sio haki ...
 
Haya mambo ya kuteka na Kutekwa tukiyachekea huwa Tabia na yatahamia kila mahali hadi Kwa akina Simba na Yanga, hadi kwa Wafanyabiashara tena hadi Kwa viongozi wa Dini

Mungu wa Mbinguni aingilie Kati Siasa za Teka Teka zifike mwisho

Wenzetu Kenya sasa wanateka Raia wa kigeni (Watalii) hali ni mbaya sana Tanzania tusifike huko

Nawatakia Dominica Njema 🌹
Kifupi ccm tangu aingie JPM hadi sasa wamechukua mkondo wa vurugu na kuhatarisha amani. Ni vile tu wanaodhulumiwa bado hawajasanuka!
Ipo siku watekaji watatekwa... Watesaji watateswa na wauaji nao watauawa!
Sudan! Somalia! Congo! Na kwingineko nao walianza hivi hivi!
 
Angalia Kenya, sio kwamba hawapo wasiojulikana ila Tz imezidi. Kenya wanafanya mambo yao kisomi na kiuungwana.
 
Haya mambo ya kuteka na Kutekwa tukiyachekea huwa Tabia na yatahamia kila mahali hadi Kwa akina Simba na Yanga, hadi kwa Wafanyabiashara tena hadi Kwa viongozi wa Dini

Mungu wa Mbinguni aingilie Kati Siasa za Teka Teka zifike mwisho

Wenzetu Kenya sasa wanateka Raia wa kigeni (Watalii) hali ni mbaya sana Tanzania tusifike huko

Nawatakia Dominica Njema 🌹
Tatizo tuna rais asiye na sifa za urais, Makonda, mkwe wa rais na Abdul wanalazimisha rais akubalike na kupendwa
 
Haya mambo ya kuteka na Kutekwa tukiyachekea huwa Tabia na yatahamia kila mahali hadi Kwa akina Simba na Yanga, hadi kwa Wafanyabiashara tena hadi Kwa viongozi wa Dini

Mungu wa Mbinguni aingilie Kati Siasa za Teka Teka zifike mwisho

Wenzetu Kenya sasa wanateka Raia wa kigeni (Watalii) hali ni mbaya sana Tanzania tusifike huko

Nawatakia Dominica Njema 🌹
Wazanzibar wameingia kwa kishindo bara na wana hasira na watanganyika vibaya sana na mbaya zaidi wana ridhaa ya kushika mitutu
 
Back
Top Bottom