Haiwezekani kushughulikiana kisiasa bila kutekana na kuumizana? Au mifumo ya kisiasa (kuvumiliana) imefeli?

Haiwezekani kushughulikiana kisiasa bila kutekana na kuumizana? Au mifumo ya kisiasa (kuvumiliana) imefeli?

Huwezi kulinganisha issue ya Ulimboka moja tu kwenye miaka 10 ya JK dhidi ya mamia ya waliokufa kwenye viroba na kutupwa baharini kwa miaka 5 kipindi cha Mwendazake
IMTU

Bure Kabisa Wewe🐼
 
Hakuna uwezekano wa hali hiyo kuisha. Haya ni madhara ya kuacha chama kimoja kukaa madarakini muda mrefu, tena bila ridhaa ya wananchi. Ili chama hicho kiendelee kukaa madarakani, njia za kihalifu huwa na kinga yake kubwa.
Absolutely true.

Utawala wowote ule ambao umekaa madarakani kwa muda mrefu Sana huwa una kawaida ya kupoteza mvuto au kupoteza ushawishi dhidi ya Wananchi wake. Hivyo Basi, utawala wa namna hiyo ni LAZIMA utatumia njia haramu ili kuhakikisha unaendelea kubaki madarakani, hapo ndipo njia za Propaganda za Vitisho hutumika kwa lengo la kuwanyamazisha wale Watu wanaojaribu kuhoji au kukosoa utawala.
 
Haya mambo ya kuteka na Kutekwa tukiyachekea huwa Tabia na yatahamia kila mahali hadi Kwa akina Simba na Yanga, hadi kwa Wafanyabiashara tena hadi Kwa viongozi wa Dini

Mungu wa Mbinguni aingilie Kati Siasa za Teka Teka zifike mwisho

Wenzetu Kenya sasa wanateka Raia wa kigeni (Watalii) hali ni mbaya sana Tanzania tusifike huko

Nawatakia Dominica Njema 🌹

Ngoja nimuulize William Ruto
 
Hizo takataka zikienda hata kwa michepuko, zikapitiwa usingizi mpaka pakakucha hajarudi home, njia ya kujinasua ni kusema zimetekwa
 
Haya mambo ya kuteka na Kutekwa tukiyachekea huwa Tabia na yatahamia kila mahali hadi Kwa akina Simba na Yanga, hadi kwa Wafanyabiashara tena hadi Kwa viongozi wa Dini

Mungu wa Mbinguni aingilie Kati Siasa za Teka Teka zifike mwisho

Wenzetu Kenya sasa wanateka Raia wa kigeni (Watalii) hali ni mbaya sana Tanzania tusifike huko

Nawatakia Dominica Njema 🌹
Mnapoambiwa CCM imekwisha muwe mnaelewa, Haya ndio Matunda ya kuwaamini Chawa, hawa ndio wanapanga kila uchafu kwa kushirikiana na watu wa karibu wa viongozi.

FB_IMG_1574277425198.jpg
 
Hizo takataka zikienda hata kwa michepuko, zikapitiwa usingizi mpaka pakakucha hajarudi home, njia ya kujinasua ni kusema zimetekwa
Mwenzako Steve Mengele amekataliwa na Wenye CCM yao

We bado unachochea mimaji ijaye kabla ya muhogo 🐼
 
I'm

Chura Kiziwi baada ya kushindwa kuongoza Sasa amekimbilia kwenye huo uwendawazimu wa kutekana. Labda anaona inaweza msaidia.
Na hizi damu anazomwaga atakuja kuzilipa kwa maumivu makali sana
 
Mwenzako Steve Mengele amekataliwa na Wenye CCM yao

We bado unachochea mimaji ijaye kabla ya muhogo 🐼
Madaraka Nyerere ni msukule wa familia, hana akili, anaona Steve anapiga bingo kwa jina la baba yake, kwa hiyo anaona wivu, mawaziri wanapokea simu ya Steve, hawapokei ya Madaraka.
 
Madaraka Nyerere ni msukule wa familia, hana akili, anaona Steve anapiga bingo kwa jina la baba yake, kwa hiyo anaona wivu, mawaziri wanapokea simu ya Steve, hawapokei ya Madaraka.
Na Steve anapokea Simu ya Pdidy ndio Madaraka akampiga stop kujiita Jina la Mwenyeheri Julius Nyerere 🐼
 
Excellent point. Nchi nyingi zilizoharibikiwa na kuwa failed states zilianza hivi hivi. Huku makundi ya machawa, kwa uzuzu wao, yakishabikia na kufurahia mwenendo huo yakifikiri ni suala la upande "wao" wenye nguvu za dola dhidi ya kundi fulani "adui" la upinzani wasio na uwezo wowote. Matokeo yalikuwa ni kuimarisha magenge ya watawala wanaotegemea ukatili na mauaji, magenge ambayo baadaye katika kugombania madaraka yakageukana na kuanza harakati za kuangamizana na kuangamiza taifa kwa ujumla.

No one has monopoly of violence, cruelty and killing. Tuendelee kutengeneza taifa la makatili na wauaji miongoni mwa ndugu, majirani na marafiki katika jamii yenye tamaa ya madaraka huku tukiendelea kuimba nyimbo mfu za kuombea amani na utulivu nchini. It's just a matter of time before this house of cards blows up into shards of real, apocalyptic misery.
Umeiweka vizuri sana hii boss wangu.
 
Back
Top Bottom