johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
- Thread starter
-
- #41
Kwani Wewe sasa hushughulikiwi na Mchungaji Msigwa Hapo CCM? ππππMwenyeheri wa Konyo, kwa uhalifu wa kuwashughulikia Khassim Hanga na wengine
Umeongea kwa hisia sana kaka kusema kweli haya matukio yanaumiza sanaa.Haya mambo ya kuteka na Kutekwa tukiyachekea huwa Tabia na yatahamia kila mahali hadi Kwa akina Simba na Yanga, hadi kwa Wafanyabiashara tena hadi Kwa viongozi wa Dini
Mungu wa Mbinguni aingilie Kati Siasa za Teka Teka zifike mwisho
Wenzetu Kenya sasa wanateka Raia wa kigeni (Watalii) hali ni mbaya sana Tanzania tusifike huko
Nawatakia Dominica Njema πΉ
Hii ndiyo legacy ya lile dhalim la chato.Haya mambo ya kuteka na Kutekwa tukiyachekea huwa Tabia na yatahamia kila mahali hadi Kwa akina Simba na Yanga, hadi kwa Wafanyabiashara tena hadi Kwa viongozi wa Dini
Mungu wa Mbinguni aingilie Kati Siasa za Teka Teka zifike mwisho
Wenzetu Kenya sasa wanateka Raia wa kigeni (Watalii) hali ni mbaya sana Tanzania tusifike huko
Nawatakia Dominica Njema πΉ
Legacy ya Mabwepande π€£Hii ndiyo legacy ya lile dhalim la chato.
Umenichekesha mkuuPale Yohana na Ben wanapojifanya ni watu tofauti, halafu wanajibishana
Kifupi ccm tangu aingie JPM hadi sasa wamechukua mkondo wa vurugu na kuhatarisha amani. Ni vile tu wanaodhulumiwa bado hawajasanuka!Haya mambo ya kuteka na Kutekwa tukiyachekea huwa Tabia na yatahamia kila mahali hadi Kwa akina Simba na Yanga, hadi kwa Wafanyabiashara tena hadi Kwa viongozi wa Dini
Mungu wa Mbinguni aingilie Kati Siasa za Teka Teka zifike mwisho
Wenzetu Kenya sasa wanateka Raia wa kigeni (Watalii) hali ni mbaya sana Tanzania tusifike huko
Nawatakia Dominica Njema πΉ
Kenya wasiojulikana Wananaswa kwenye CCTV za barabarani wewe unasema wanafanya kisomi? πΌπ€£Angalia Kenya, sio kwamba hawapo wasiojulikana ila Tz imezidi. Kenya wanafanya mambo yao kisomi na kiuungwana.
Tatizo tuna rais asiye na sifa za urais, Makonda, mkwe wa rais na Abdul wanalazimisha rais akubalike na kupendwaHaya mambo ya kuteka na Kutekwa tukiyachekea huwa Tabia na yatahamia kila mahali hadi Kwa akina Simba na Yanga, hadi kwa Wafanyabiashara tena hadi Kwa viongozi wa Dini
Mungu wa Mbinguni aingilie Kati Siasa za Teka Teka zifike mwisho
Wenzetu Kenya sasa wanateka Raia wa kigeni (Watalii) hali ni mbaya sana Tanzania tusifike huko
Nawatakia Dominica Njema πΉ
Wewe johnthebaptist umekunywa maji yaliyooshea mwili wa Magufuli. I rest my caseIMTU
Bure Kabisa WeweπΌ
Wazanzibar wameingia kwa kishindo bara na wana hasira na watanganyika vibaya sana na mbaya zaidi wana ridhaa ya kushika mitutuHaya mambo ya kuteka na Kutekwa tukiyachekea huwa Tabia na yatahamia kila mahali hadi Kwa akina Simba na Yanga, hadi kwa Wafanyabiashara tena hadi Kwa viongozi wa Dini
Mungu wa Mbinguni aingilie Kati Siasa za Teka Teka zifike mwisho
Wenzetu Kenya sasa wanateka Raia wa kigeni (Watalii) hali ni mbaya sana Tanzania tusifike huko
Nawatakia Dominica Njema πΉ