Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
Hii ni taarifa kutoka kwa Mh Waziri wa Michezo Mh Harisson Mwakyembe , ambapo amedai ili kumiliki hisa zinazofikia 49% za club ya soka basi hakuna budi wawekezaji hao kuwa angalau watatu na si mmoja , yaani club itamiliki 51% wawekezaji watamiliki 49 %
Tamko hili limetoka wapi na limelenga nini ?
Tamko hili limetoka wapi na limelenga nini ?