Haiwezekani mtu mmoja kumiliki hisa 49% - Mwakyembe

Hivi mtu kumiliki 49% ya hisa anakuwa anaumiliki wa timu nzima ?
 
Wajinga sana hawa watu
Hapo sawa, coz hisa 49 unataka wawekezaji 3 while ligi yenyewe tu haina mwekezaji sasa huyo mwekezaji wa kuwekeza kwenye timu anatokea wapi? πŸ˜‚πŸ˜‚ Yanga si hiyo mpaka leo inahangaika mbona hao wawekezaji wasiende kama ni rahisi hivyo?
 
Naye MO ni longo longo tu aliiachaje Timu ya yake ya African Lyon akakimbilia Simba kwenye figisu. Si mbaya akirudi tena African Lyon aiboreshe then ataona kama kuna mtu anamfuatafuata.
 
Na wewe pumbavu kabisa, eti raisi hapendi urasimu huu wakati yeye ndiye chanzo
Kama hujui kitu kaa kimya
Mwakyembe sidhani kama kafanya jambo hili bila baraka kutoka kwa rais

Kumbuka pia rais kakutana na mzee kilomoni , muda si mrefu

Hivi kwenye zile clip walikua wanasema jamaa ni mshamba sana eti πŸ˜…
 
Hivi mtu kumiliki 49% ya hisa anakuwa anaumiliki wa timu nzima ?
Hapana ila ww unakuwa mwenye nguvu regardless ya umiliki wa hisa pungufu ya 50% kwa maana mwenye 49% ni mmoja na wenye 51% ni wengi hivyo basi nguvu kubwa itaenda kwake
 
Inaonesha hawafurahii jinsi Mo anavyowakwepa kwenye upuuzi wao.

Sportpesa watasepa sijui simba itajiendesha vipi
Kupitia Bakuli kama wale wenzenu wa Kariakoo. Anzeni kubuni Ndogo Kuliko!
 
Wauze hisa zao kwenye soko la hisa ili wanachama wajimwage kama kweli taarifa zao za fedha zinaonyesha ufanisi wa kifaida vinginevyo hata huyo aliyekuwa tayari kuwekeza 49% huenda ni mapenzi yake kwa klabu na si matazamio ya faida
 
Mara anaweza kununua bank na hiyo 20b
 
Mwakyembe sidhani kama kafanya jambo hili bila baraka kutoka kwa rais

Kumbuka pia rais kakutana na mzee kilomoni , muda si mrefu

Hivi kwenye zile clip walikua wanasema jamaa ni mshamba sana eti [emoji28]
Ndio maana mzee kilomoni anajihamini sana
 
Hapana ila ww unakuwa mwenye nguvu regardless ya umiliki wa hisa pungufu ya 50% kwa maana mwenye 49% ni mmoja na wenye 51% ni wengi hivyo basi nguvu kubwa itaenda kwake
Kwahiyo hoja yako ya Mo kutaka kumiliki timu nzima peke siyo sahihi ?
 
Hiyo sheria unayoisema imetungwa lini au unaropoka tu ?

Nijuavyo Mimi haya aliyatoa kama maoni yake na bado shirikisho BMT hawajaipitisha katika Sera ya michezo.
Ukiwa na muhemuko wa MO uwezi kuelewa kinachoongelewa.
Hakutoa km maoni yake pale kasimama km serikali na ndio kaagiza BMT kufanyia kazi.
 
Kilomoni aliwaambia mkamrukana...
Hapo inadhihirisha ni kweli mbumbumbu fc wanazidiwa uelewa na Kilomoni
 
Na sheria ipi ilitumika mpaka akawa na hisa 49% ?,bodi yao iliamua tu wakapeana hisa ?
Hapana ila ww unakuwa mwenye nguvu regardless ya umiliki wa hisa pungufu ya 50% kwa maana mwenye 49% ni mmoja na wenye 51% ni wengi hivyo basi nguvu kubwa itaenda kwake
 
Sio wa Iran?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…