Haiwezekani Mungu asimuue Shetani halafu aamuru Watu waue wanaofanya mambo ya kishetani; Haiingii akilini

Haiwezekani Mungu asimuue Shetani halafu aamuru Watu waue wanaofanya mambo ya kishetani; Haiingii akilini

Sijasema Mungu hayupo Mkuu.
Najaribu kueleza kuwa Shetani na Mungu ni mhusika mmoja katika kazi mbili kinzani kama vile kisogo na uso
Kama unaamini Mungu yupo, kwanini usiamini uwezo wake wa kuamua.
Mungu, amemuumba binadamu akampa akili na maarifa mengi ili kuja kuutwala ulimwengu, mbele ya viumbe hai wengine wanaonelana.

Hivyo kutokana na akili na maarifa aliyompa, alimpa mipaka yapi ya kufanya na yapi si ya kufanya, ndipo kuna pepeni kwa mtenda mema, na kuna motoni kwa mtenda mabaya.
Mfano wa mema, kumsaidia mwenzio anaepitia nyakati ngumu, kwa hali na mali.

Mfano wa mabaya, kama kile kitendo cha wale vijana watono kumbaka yule binti, ila kitendo kilekile kinafanyika kwa mbwa, ns wala siyo kosa.
Mbwa jike likichanua midume hata kumi hufamia na hamna shida kwao.
 
Basi ni Mungu asiyekuwa na uwezo, tuachane na huyu Mungu wa Israel, tukijite kwenye imani zetu za jadi. Zamani ikitokea ukame wazee wanaomba na mvua inanyesha. Leo hii tumia Biblia upige magoti mpaka yachubuke hupati jibu kwa kuwa ni jadi ya kigeni.
 
Ni kwa sababu binadam alipewa ukubwa hapa duniani yani yeye ndo mwenye kuimiliki dunia na uyo shetani kosa alolifanya Ni kukataa kumsujudia binadam na hao maasimu wawili ambaye Ni mungu na shetani walikubaliana ya kwamba yoyote atakae mfuata shetani basi na yeye atapata adhabu sawa na uyo shetani
Maana nyingine Ni kuwa binadamu tuna umungu ndani yetu na ushetani ndani yetu Ni wewe utachagua kuwa nani ukifanya ya ushetani basi yatakupata ya kukupata kwa maana tunalipia apa apa duniani kwa maana ndo sehem yetu ya kutambia
 
Back
Top Bottom