Haiwezekani mwafrika na mzungu kukaa meza moja kutatua changamoto za Tanzania

Haiwezekani mwafrika na mzungu kukaa meza moja kutatua changamoto za Tanzania

Pascal Ndege

JF-Expert Member
Joined
Nov 24, 2012
Posts
2,977
Reaction score
1,897
Haitakaa hata siku Moja wazungu wakakaa na Watanzania kumsaidia uchumi wa nchi bali watakaa watanzania na wazungu kuua uchumi wa nchi. Kwasababu kama wangekuwa na nia ya kuisaidia Tanzania wangeisaidia siku nyingi sana. Tanzania haiwezi kuwa na uchumi imara kwasababu wananufaika na umasikini na uchumi mbovu wa Tanzania.
1.Tanzania ni soko lao la bidhaa.
2.Tanzania wanachukua Madini bure
3.Tanzania wanauza Silaha
4.Tanzania wa Hawana umeme nafuu kwahiyo haivutii kwa uwekezaji.
5 Tanzania Haina Technologia hivyo ni sehemu sahihi ya kuuza technology.
6.wavuna gas bure na kuiuzia serikali.
7.wanawarubuni viongozi na ku sign mikataba mibovu.
8.Wanataka kupigiwa magoti kwa misaada ambapo wanapitisha sera zao.
9.Tanzania ni soko la ajira Kw wstaalamu wao.
10........

Tanzania tusipojichetua wenyewe hakuna ambalo hatutaona.
 
Haitakaa hata siku Moja wazungu wakakaa na Watanzania kumsaidia uchumi wa nchi bali watakaa watanzania na wazungu kuua uchumi wa nchi. Kwasababu kama wangekuwa na nia ya kuisaidia Tanzania wangeisaidia siku nyingi sana. Tanzania haiwezi kuwa na uchumi imara kwasababu wananufaika na umasikini na uchumi mbovu wa Tanzania.
1.Tanzania ni soko lao la bidhaa.
2.Tanzania wanachukua Madini bure
3.Tanzania wanauza Silaha
4.Tanzania wa Hawana umeme nafuu kwahiyo haivutii kwa uwekezaji.
5 Tanzania Haina Technologia hivyo ni sehemu sahihi ya kuuza technology.
Naunga mkono hoja
 
CCM ni taka taka
20230730_112009.jpg
 
Haitakaa hata siku Moja wazungu wakakaa na Watanzania kumsaidia uchumi wa nchi bali watakaa watanzania na wazungu kuua uchumi wa nchi. Kwasababu kama wangekuwa na nia ya kuisaidia Tanzania wangeisaidia siku nyingi sana. Tanzania haiwezi kuwa na uchumi imara kwasababu wananufaika na umasikini na uchumi mbovu wa Tanzania.
1.Tanzania ni soko lao la bidhaa.
2.Tanzania wanachukua Madini bure
3.Tanzania wanauza Silaha
4.Tanzania wa Hawana umeme nafuu kwahiyo haivutii kwa uwekezaji.
5 Tanzania Haina Technologia hivyo ni sehemu sahihi ya kuuza technology.
6.wavuna gas bure na kuiuzia serikali.
7.wanawarubuni viongozi na ku sign mikataba mibovu.
8.Wanataka kupigiwa magoti kwa misaada ambapo wanapitisha sera zao.
9.Tanzania ni soko la ajira Kw wstaalamu wao.
10........

Tanzania tusipojichetua wenyewe hakuna ambalo hatutaona.
Siku hizi sio mabeberu tena?

Sio waiotuletea umasikini?

Hahahahaaaaaaaa
Bongo nyoko sana
 
Haitakaa hata siku Moja wazungu wakakaa na Watanzania kumsaidia uchumi wa nchi bali watakaa watanzania na wazungu kuua uchumi wa nchi. Kwasababu kama wangekuwa na nia ya kuisaidia Tanzania wangeisaidia siku nyingi sana. Tanzania haiwezi kuwa na uchumi imara kwasababu wananufaika na umasikini na uchumi mbovu wa Tanzania.
1.Tanzania ni soko lao la bidhaa.
2.Tanzania wanachukua Madini bure
3.Tanzania wanauza Silaha
4.Tanzania wa Hawana umeme nafuu kwahiyo haivutii kwa uwekezaji.
5 Tanzania Haina Technologia hivyo ni sehemu sahihi ya kuuza technology.
6.wavuna gas bure na kuiuzia serikali.
7.wanawarubuni viongozi na ku sign mikataba mibovu.
8.Wanataka kupigiwa magoti kwa misaada ambapo wanapitisha sera zao.
9.Tanzania ni soko la ajira Kw wstaalamu wao.
10........

Tanzania tusipojichetua wenyewe hakuna ambalo hatutaona.
Hii ni more of our own weak brains na wala sio wazungu

1.Singapore was colonized and invested on by British,look at them now!

2.South Korea was invested on by USA after Korean war,look at them now!

3.Hong Kong was colonized by British,invested on by British,and then,look at them now!

4.Taiwan has been invested on by USA on electronics and chip industry,look at them now!

5.USA invested on Japan after the US-Japan war,guess what,look at Japan now!


6.USA invested and rehabilitated Germany after WW2 and look at them now!

All these places the West introduced DEMOCRACY

DEMOCRACY is flourishing,economies are shooting off the roof and are all peaceful

Whats the common denominator?They graduated from aid and they all have strong democracies

Look at us Africans,we do not graduate from aid,and our democracies are pathetic

Whats the problem?Its simple...our cultures are pathetic,our thinking and work ethics are useless!

Its all on us never on them!
 
Hii ni more of our own weak brains na wala sio wazungu

1.Singapore was colonized and invested on by British,look at them now!

2.South Korea was invested on by USA after Korean war,look at them now!

3.Hong Kong was colonized by British,invested on by British,and then,look at them now!

4.Taiwan has been invested on by USA on electronics and chip industry,look at them now!

5.USA invested on Japan after the US-Japan war,guess what,look at Japan now!


6.USA invested and rehabilitated Germany after WW2 and look at them now!

All these places the West introduced DEMOCRACY

DEMOCRACY is flourishing,economies are shooting off the roof and are all peaceful

Whats the common denominator?They graduated from aid and they all have strong democracies

Look at us Africans,we do not graduate from aid,and our democracies are pathetic

Whats the problem?Its simple...our cultures are pathetic,our thinking and work ethics are useless!

Its all on us never on them!
Utamaduni wa Mtanzania ni upi Mkuu?
 
CCM hawatakubali kamwe matatizo ndani ya nchi hii yaishe wala yapungue
tena 80% ya hayo matatizo wanayasababisha wao.
 
Utamaduni wa Mtanzania ni upi Mkuu?
Culture which push people to work hard and find solutions includes:

1.Deep care of infants
2.Best Eating habits from the available food system
3.Best family system,westerners value nuclear family system,sisi tunaambiwa tujali jamii nzima while your own kids at home huwajali
4.Best habits of keeping records...in Africa we do not write books,we dont make documentaries,we rarely/do not pass skills from older generation to younger ones,we have the fewest number of libraries per capita,fewest schools and very few number of PHDs per capita
5.Work ethic......working until you drop...give Germany a jungle and they will turn it into a world's class city,not so for Africans
6.Reading culture is non existent
7.Honesty
8.Straightforwardness
9.etc
etc
etc
etc
etc
 
Back
Top Bottom