Ngwasa Omuyaya
JF-Expert Member
- Feb 13, 2014
- 2,629
- 2,733
We hujui Kama alishatoa kafala ya kupigwa risasi 16 ili we upate kumuunga mkono kwa maandamano. Ulitaka Tena afanye Nini zaidi ya zile risasi au we unaona kupigwa risasi kawaida tu. Zinduka we kijana fight haki zako achana na kulalamika mitandaoni hakukusaidiiTundu Lisu alijificha ubalozi wa Ujermani tofauti na yule mpambanaji wa ukweli wa Afrika mashariki Bob Wine!
Excellent excellent mchango wa tehama unatakiwa uwe 30% mh waziri huku kwenye madaladala wangelistahili aina fulani ya mashine za kukatia tiketi ambazo ambazo zitatoa tiketi yenye shuru za serekali zilizokatwa ingependeza dili la hizi mashine mkanipatia mimiKimsingi kazi ya kukusanya na kusimamia mapato ya serikali ni ya Wizara ya fedha na taasisi zake.
Lakini kwa sasa kila waziri amejigeuza kuwa mtoza ushuru au mkusanya tozo na kuacha majukumu yao muhimu ya kusimamia ustawi wa jamii katika sekta zao.
Jana nimemsikia Waziri wa Mawasiliano na Tehama Dr Ndugulile akisema halizishwi na mchango wa Tehama kwenye pato la taifa.
Kwamba mchango wa Tehama ni 0.5% tu wakati taasisi nyingi yakiwemo mabenki yanatumia mfumo huo na kwahiyo unaweza kuchangia hadi 10% ya pato la taifa.
Tusisahau kuwa kodi na tozo zote anayekuja kulipa ni mtumiaji wa mwisho ambaye ni mwananchi wa kawaida.
Tusipokuwa makini tutamkumbuka ni yeye na kaulimbiu yake.
Maendeleo hayana vyama!
Mbona nyie hapo Ufipa hamjamuunga mkono kwa maandamano?We hujui Kama alishatoa kafala ya kupigwa risasi 16 ili we upate kumuunga mkono kwa maandamano. Ulitaka Tena afanye Nini zaidi ya zile risasi au we unaona kupigwa risasi kawaida tu. Zinduka we kijana fight haki zako achana na kulalamika mitandaoni hakukusaidii
Kwani we haya manyanyaso nchini huyaoni mpaka ufipa ndo wayaone. Au wewe unaishi nje ya tanzania. Au we bujafikiwa ndo Mana unaona hata wengine wakichinjwa sawa tu ilimradi we unaenjoy life. Acha ubinafsi. Lisu alitaka kuwakomboa wote siyo chadema tuMbona nyie hapo Ufipa hamjamuunga mkono kwa maandamano?
Walidhani ni wapinzani tu ndio watakuwa victims wa huu utawala usioheshimu sheria na katiba ya nchi.Umeguswa hau!!!?
Ukishazoea kuishi kwa kuumiza watu ndo upate furaha ukiwamaliza wa nje ni lzm uwageukie nyumbani mwakoWalidhani ni wapinzani tu ndio watakuwa victims wa huu utawala usioheshimu sheria na katiba ya nchi.
Huwezi kusanya Kama uzalishiHaya mambo aliyasema Nyerere, utaishia kufukuzana na wauza nyanya kama hiyo akili ya kustawisha biashara na uwekezaji ili ukusanye kodi haipo.
Watu wengi nchini wanatafuta kumudu maisha bora wenye kutafuta utajiri inabidi wachacharike nakutumia akili zaidi maana awamu hii inahitaji uwajibikaji mbele ya sheria kwa kila mtu.Kimsingi kazi ya kukusanya na kusimamia mapato ya Serikali ni ya Wizara ya fedha na taasisi zake..
Kumbe mkuu johnthebabtist Kuna siku akili zinakurudi eeh!Kimsingi kazi ya kukusanya na kusimamia mapato ya Serikali ni ya Wizara ya fedha na taasisi zake.
Lakini kwa sasa kila waziri amejigeuza kuwa mtoza ushuru au mkusanya tozo na kuacha majukumu yao muhimu ya kusimamia ustawi wa jamii katika sekta zao...
Tupo kwa mchina sasaNchi ujengwa kwa kuchochea uzalishaji na sio kukazania kukusanya tu hio nchi ni lzm ife kabisa kiuchumi.
Unaua sekta binafsi kisha utegemee kukusanya toka wapi.
Kutegemea kukopa na kukazania kukusanya tu Kodi lzm nchi ifilisike.
Kiongozi mchumi udili na kuzalisha zaidi na sio mikopo na kukusanya tu
Tulimkataa mwanzoni tumemrudia.Tupo kwa mchina sasa
Uzuri mchina sio beberu,beberu ni yule anaepinga udiktetaTupo kwa mchina sasa
Ngombe anakamuliwa bila kupewa chakula..
Umaskini unaupata wapi sasa. So mliambiwa muandamane kutetea maslahi yenu ya kuibiwa kura. Lissu alisisitiza sana kwamba haki haiji tu bali inapiganiwa mkaona maisha yenu ni Bora zaidi kuliko kupigania haki. Sasa unalalama Nini na Nani akusaidie zaidi ya wewe mwenyewe kujipigania...