Haiwezekani Serikali nzima iwe inakusanya mapato; tutajenga taifa la watu maskini na fukara!

Haiwezekani Serikali nzima iwe inakusanya mapato; tutajenga taifa la watu maskini na fukara!

Kimsingi kazi ya kukusanya na kusimamia mapato ya Serikali ni ya Wizara ya fedha na taasisi zake...

Jiwe hana akili wala ujanja wa kuchanga hela, yeye ana sifa moja tu ya matumizi. Hata wakati akiwa waziri hakuwa mzuri kwenye kuchanga fungu, zaidi ya kulazimisha apewe akejenge miundombinu.

Sasa hivi yeye ndio anatakiwa atafute fungu, kisha apange namna ya kulitumia, ndio maana unaona alidhani kupora hela za watu litamfanya ajenge miradi yake. Matokeo yake, miradi haijaisha, na alipotarajia kukusanya hela ameshawafanya kulimia meno.
Kimsingi kazi ya kukusanya na kusimamia mapato ya Serikali ni ya Wizara ya fedha na taasisi zake....
Jiwe hana akili wala ujanja wa kuchanga hela, yeye ana sifa moja tu ya matumizi. Hata wakati akiwa waziri hakuwa mzuri kwenye kuchanga fungu, zaidi ya kulazimisha apewe akejenge miundombinu.

Sasa hivi yeye ndio anatakiwa atafute fungu, kisha apange namna ya kulitumia, ndio maana unaona alidhani kupora hela za watu litamfanya ajenge miradi yake. Matokeo yake, miradi haijaisha, na alipotarajia kukusanya hela ameshawafanya kulimia meno.
 
Serikali imetumia vibaya fedha na sasa wanafanya fujo zote kurekebisha hali ila nafikiri kutakuwa na moto kabla ya Dec mwaka huu, hali si nzuri.
Kimsingi kazi ya kukusanya na kusimamia mapato ya Serikali ni ya Wizara ya fedha na taasisi zake.

Lakini kwa sasa kila waziri amejigeuza kuwa mtoza ushuru au mkusanya tozo na kuacha majukumu yao muhimu ya kusimamia ustawi wa jamii katika sekta zao.

Jana nimemsikia Waziri wa Mawasiliano na Tehama Dkt. Ndugulile akisema halizishwi na mchango wa Tehama kwenye pato la taifa.

Kwamba mchango wa Tehama ni 0.5% tu wakati taasisi nyingi yakiwemo mabenki yanatumia mfumo huo na kwa hiyo unaweza kuchangia hadi 10% ya pato la taifa.

Tusisahau kuwa kodi na tozo zote anayekuja kulipa ni mtumiaji wa mwisho ambaye ni mwananchi wa kawaida.

Tusipokuwa makini tutamkumbuka ni yeye na kaulimbiu yake.

Maendeleo hayana vyama!
 
Anaamini watz wote ni matajiri huwaza vyanzo vipya vya kupigia Pesa mara kupima covid,mara kurusha drone,mara kufuga kuku.Kila sehemu anataka achukue hela tu sio uchumi huo.Utauwa uchumi
 
Umaskini unaupata wapi sasa. So mliambiwa muandamane kutetea maslahi yenu ya kuibiwa kura. Lissu alisisitiza sana kwamba haki haiji tu bali inapiganiwa mkaona maisha yenu ni Bora zaidi kuliko kupigania haki. Sasa unalalama Nini na Nani akusaidie zaidi ya wewe mwenyewe kujipigania.

Uganda wametuzidi angalia Bobi Wine watu walivyotayari kufa ili kupigania haki. Ila Tanzania mnakimbilia kwenye key board tu huku mmejificha. Acheni niendelee kunyanyaswa hamjawa tayari kupigania haki zenu
Bongo kuna mademu wazuri sana aiseee, ufe demu wako mkali umuachie Nani? Mademu wa Uganda ndio akina Anna Kansime, wafupi, flat screen, wabaya
 
Kimsingi kazi ya kukusanya na kusimamia mapato ya Serikali ni ya Wizara ya fedha na taasisi zake.

Lakini kwa sasa kila waziri amejigeuza kuwa mtoza ushuru au mkusanya tozo na kuacha majukumu yao muhimu ya kusimamia ustawi wa jamii katika sekta zao.

Jana nimemsikia Waziri wa Mawasiliano na Tehama Dkt. Ndugulile akisema halizishwi na mchango wa Tehama kwenye pato la taifa.

Kwamba mchango wa Tehama ni 0.5% tu wakati taasisi nyingi yakiwemo mabenki yanatumia mfumo huo na kwa hiyo unaweza kuchangia hadi 10% ya pato la taifa.

Tusisahau kuwa kodi na tozo zote anayekuja kulipa ni mtumiaji wa mwisho ambaye ni mwananchi wa kawaida.

Tusipokuwa makini tutamkumbuka ni yeye na kaulimbiu yake.

Maendeleo hayana vyama!
Na bado waendelee sana kukusanya hiyo mikodi ya kubambikiana
 
Tuko vizuri! Tunakusanya na kuvunja marekodi ya haijawahi kutokea! Wapinzani ndio walituchelewesha sana! 5 tena
 
Back
Top Bottom