Haiwezekani Vyama vya Upinzani vikabadili Mwenyekiti wa Chama - hilo kwa sasa lisahauni

Haiwezekani Vyama vya Upinzani vikabadili Mwenyekiti wa Chama - hilo kwa sasa lisahauni

Shocker

JF-Expert Member
Joined
Sep 15, 2012
Posts
1,958
Reaction score
3,890
CCM haijawahipo kubadili mwenyekiti wa Chama zaidi ya anaekuwa Raisi ndie awe mwenyekiti wa Chama, hivi ni kweli ndivyo inavyotakiwa? Utaratibu huo mmeutoa wapi?

Sasa kuna watu wanapiga makelele eti Vyama vya Upinzani wenyeviti wao ni Wafalme kwa hilo ndugu zangu wa CCM mliopoteza muelekeo sahauni halipo wala halina upaumbele wa kujadiliwa na kuonekana ni suala nyeti na muhimu kwa sasa vyama vyetu vipo katika vita dhidi ya nduli CCM, adui mkubwa wa nchi hii.

Wenyeviti wa vyama vya au vilivyopo vya Upinzani msije mkapandishwa mkenge na kutaka jambo hili lifanyike eti tu ni kudumisha demokrasi,demokrasi ipo ila sio kwenye inner core ya uongozi wa Chama.

Isipokuwa kunapotokea kifo,matatizo ya wazi kabisa kama yale yaliyoikumba CUF kwa nyakati zote mbili kuanzia na Mapalala na hadi uwepo wa Lipumba, kwanini CCM mnataka Rais ndio awe Mwenyekiti wa Chama, hivi haiwezekani kwa upande wenu kuachana na hili basi na makamo wa Raisi awe katibu na Waziri Mkuu nae awepo.

Upinzani hilo litafikiriwa baada ya kushika hatamu za Nchi na sio sasa wakati tumo ndani ya mapambano mnakumbuka Lipumba aliondoka kwenye kilele cha uchaguzi akajiuzulu hewa kilichotokea ni mfano hai, hivyo mataga tulieni kama kuku wanaolalia mayai viza.
 
Tutulie wakuu
FB_IMG_16251278422694287.jpg
 
CCM wamekaaa wajanja wajanja tuu, vihereher flani hivi, wachumia tumbo yaani kila wakati wanaangalia wapi kuna maslahi.
 
Wamekwama sasa wanataka kuingia mwilini unajua yao yameshawashinda wanataka kuvuruga upinzani ili iwe rahisi kumuondoa mama yao kiurahisi wamrudishe baba mwengine. Ndani ya CCM kwa hali ilivyo ni majanga ,wanajikaza kisabuni lakini hali ni ngumu mno.
 
Tangu lini vitega uchumi vya watu vya kupigia hela vikawa na demokrasia ya kuchagua wenyeviti
 
CCM haijawahipo kubadili mwenyekiti wa Chama zaidi ya anaekuwa Raisi ndie awe mwenyekiti wa Chama ,hivi ni kweli ndivyo inavyotakiwa ? Utaratibu huo mmeutoa wapi?

sasa kuna watu wanapiga makelele eti Vyama vya Upinzani wenyeviti wao ni Wafalme kwa hilo ndugu zangu wa CCM mliopoteza muelekeo sahauni halipo wala halina upaumbele wa kujadiliwa na kuonekana ni suala nyeti na muhimu kwa sasa vyama vyetu vipo katika vita dhidi ya nduli CCM ,adui mkubwa wa nchi hii.

Wenyeviti wa vyama vya au vilivyopo vya Upinzani msije mkapandishwa mkenge na kutaka jambo hili lifanyike eti tu ni kudumisha demokrasi,demokrasi ipo ila sio kwenye inner core ya uongozi wa Chama.

Isipokuwa kunapotokea kifo,matatizo ya wazi kabisa kama yale yaliyoikumba CUF kwa nyakati zote mbili kuanzia na Mapalala na hadi uwepo wa Lipumba, kwanini CCM mnataka Raisi ndio awe Mwenyekiti wa Chama, hivi haiwezekani kwa upande wenu kuachana na hili basi na makamo wa Raisi awe katibu na Waziri Mkuu nae awepo.

Upinzani hilo litafikiriwa baada ya kushika hatamu za Nchi na sio sasa wakati tumo ndani ya mapambano mnakumbuka Lipumba aliondoka kwenye kilele cha uchaguzi akajiuzulu hewa kilichotokea ni mfano hai,hivyo mataga tulieni kama
Mleta mada ebu ona aibu.. Nyuzi zako zinasuswa hata na misukule wenzio wa ufipa lkn unashindwa kujiongeza. Tafuta kazi ufanye, haya ya kushinda humu unaandika uharo na kujijibu mwenyew kweny kila comment haitakusaidia. Siasa waachie wanasiasa.
 
Wamekwama sasa wanataka kuingia mwilini unajua yao yameshawashinda wanataka kuvuruga upinzani ili iwe rahisi kumuondoa mama yao kiurahisi wamrudishe baba mwengine.Ndani ya CCM kwa hali ilivyo ni majanga ,wanajikaza kisabuni lakini hali ni ngumu mno .
Nakushauri uwe unaandika uzi baada ya gongo kuisha kichwani. Maana hakuna ambae huwa anaelewa unachoandika.
 
Back
Top Bottom