Haiwezekani Wasabato kuhubiri neno la Mungu bila kutaja Kanisa Katoliki? Au ni mafunuo? au mbinu za kupata na kutunza wafuasi?

Haiwezekani Wasabato kuhubiri neno la Mungu bila kutaja Kanisa Katoliki? Au ni mafunuo? au mbinu za kupata na kutunza wafuasi?

Mungu mwenyewe ni msabato ndio maana anajiita Bwana wa Sabato.
🤣🤣🤣🤣
Imebidi nicheke kwanza. Mungu ni Msabato...mlimbatiza kwa maji mengi? Anakuwa msabato ili apate nini? Na yeye asali Jumamosi?

Sabato ndio Kanisa pekee lisoyumbishwa enzi na enzi...hata Romani analifaham hili.

Hiyo enzi na enzi ni tokea lini? Hilo kanisa limeanzishwa lini?
 
Wadau hamjamboni nyote?

Naomba sana moderator uache huru Uzi huu Tafadhali

Kichwa cha habari chahusika?

Siyo mahubiri au Vitabu kote huko lazima ukute mifano yote hasi dhidi ya Kanisa Katoliki

Napenda kujua haiwezekani ikahubiriwa injili bila kufanya hivyo?

Ni chuki? Wivu? Propaganda? Mikakati? Au mbinu za waasisi kuwa na waumini wa uhakika ndani ya Kanisa husika.

Na je wakihubiri bila kutaja Kanisa la Mitume ni itakuwa athari Kwa Kanisa hilo hususani upande wa waamini

Je waumini wanaimani na Kanisa hilo kwakuwa wamepewa mawazo hasi dhidi ya Ukatoliki au ni kwakuwa wanaimani na mafundisho ya Kanisa hilo?

Niwatakie usiku mwema
Wako shallow sana kitheolojia.
 
Alafu hata hawajibiwi.

Inauma sana ukijipanga kwa vita kwa silaha kibao alafu adui yako anakudharau.
Na hii ndo silaha kubwa sana kwa wakatoliki. Utuseme uwezavyo, tunakuangalia, baada ya hapo kwenye kitimoto na bia. Dominika tunaenda zenu kanisani. Ukiupenda ukatoliki, wewe mwenyewe, tafuta kanisa liliko then fuata taratibu zake kwishaa..!! Huutaki ukatoliki baki huko uliko hakuna mtu atakuja kukuhubiria uingie ukatoliki.
 
Hao ni wapuuzi sana, wanahisi wanaujua ukatoliki kuliko sisi. Anyway, mti mwema ndio unaopigwa mawe. Achana na machizi wa karne ya 19. It is a cult. Yani waasisi wao ni shida ukisoma historia, Joseph Smith( freemason) , Miller nae, Hellen G White, matatizo ya akili. Wana conspiracy theories ambazo ni vichekesho, Papa wanamuita Vicarius filii dei, title ambayo haipo alafu wanapiga hesabu ushuzi inakuja 666. Yani ni takataka we usipoteze muda nao. Wanakwambia eti uislamu uliletwa na Kanisa katoliki. Wana ushuzi mwingi we usiumize kichwa, focus.
Umesahau walitabiri siku ya mwisho wakafeli, wakati kitabu kiko wazi hakuna aijuaye siku iyoo , hata Yesu wao haijui.
 
Hoja ya msingi ilipaswa kuwa "WOKOVU".

Hakuna kanisa litakalompeleka mtu kwa Mungu bila yeye binafsi kuwa na uhusiano chanya na Mungu wake.

Hayo mengine kama ushoga, uzinzi n.k ni maovu yanafanywa na baadhi ya wafuasi wa kila imani wakiwemo wasabato.

Ukiokolewa kwa neema na kuishi katika usafi wa kiroho na nafsi hapo ndo uko salama.
Wokovu siyo mali ya wasabato pekee wala kundi flani kwa njia ya kujihesabia haki.

Madhehebu ni kama magari tu ya kusafiria ila mbinguni hayapo.

Hivyo, tutafute kwa bidii kuwa na amani na watu wote na huo utakatifu ambao pasipokuwa nao hatutaurithi ufalme wa MUNGU.

Yakobo 1:26-27
Mtu akidhani kuwa ana dini na huku hautawali ulimi wake, anajidanganya mwenyewe na dini yake ni bure. Dini iliyo safi, isiyo na uchafu mbele za Mungu Baba, ndio hii: kuwasaidia yatima na wajane katika dhiki zao, na kujilinda mwenyewe usichafuliwe na ulimwengu.

 
Kanisa la Sabato, ni kanisan la Mungu, na Mungu mwenyewe ni msabato ndio maana anajiita Bwana wa Sabato.

Mungu hapatani na shetani, shetani pekee ndio anafurahia ushoga , ubakaji, Ndoa za jinsia moja, kuabudu sanamu, kusali jumapili Et kisa siku ni siku tu, kujiita Mungu wa Duniani , mtoto wa Mungu, ubatizo usokua sawa na ule wa Yesu , kutofuata biblia inasemaje...

Sasa Roman wenyewe hayo yote ya juu wanayafurahia.

Na kwakua Romani ndio Babeli Mkuu , Mama wa kahaba.

Sisi wasabato tutaendelea kuwapa Kichapo Kwa msaada wa Roho mtakatifu.

Sabato ndio Kanisa pekee lisoyumbishwa enzi na enzi...hata Romani analifaham hili.
Bibilia ndio inawaongoza kutoa hicho kichapo? yaani inamaana mko kwa ajili ya kushindana, kwanini mnajihesabia haki?
 
Huwezi kuwa mtu wa MUNGU bila sabatho.waebrania 4;9 imesalia raha ya sabato kwa watu wa MUNGU. Je km huna sabatho unaweza kuwa mtu wa MUNGU? JIBU NI HAPANA kwa sababu tumeonya tusije tukaasi sabatho waebrania 4:10
Vipi, kuhusu, Ndugu, Ibrahim, Isaka n Yakobo walikuwa watu wa Mungu?
 
Wewe umejaa chuki dhidi ya Wasabato. Post zako zote ni kuwasimanga wasabato na kuwanenea mabaya. Acha kueneza chuki. Wasabato wanahubiri kilichopo kwenye Biblia, kwa nini wewe uumie?? Acha chuki, haitakusaidia katika imani hako
 
Vipi, kuhusu, Ndugu, Ibrahim, Isaka n Yakobo walikuwa watu wa Mungu?
NDYO WALIKUWA WATU WA MUNGU NAO WALIKUWA WANASHKA SABATHO.Ndyo mana kwenye amri ya MUNGU IMEANDIKWA IKUMBUKE SABATHO KWA MAANA WANAKUMBUSHWA KITU AMBACHO KILIKUWEPO WAKAJA WAKAISAHAU UTUMWANI MISRI KWA ZAIDI YA MIAKA 400
 
Kanisa la Sabato, ni kanisan la Mungu, na Mungu mwenyewe ni msabato ndio maana anajiita Bwana wa Sabato.

Mungu hapatani na shetani, shetani pekee ndio anafurahia ushoga , ubakaji, Ndoa za jinsia moja, kuabudu sanamu, kusali jumapili Et kisa siku ni siku tu, kujiita Mungu wa Duniani , mtoto wa Mungu, ubatizo usokua sawa na ule wa Yesu , kutofuata biblia inasemaje...

Sasa Roman wenyewe hayo yote ya juu wanayafurahia.

Na kwakua Romani ndio Babeli Mkuu , Mama wa kahaba.

Sisi wasabato tutaendelea kuwapa Kichapo Kwa msaada wa Roho mtakatifu.

Sabato ndio Kanisa pekee lisoyumbishwa enzi na enzi...hata Romani analifaham hili.
Acha uongo, lini mlipambana na ushoga wakati Mungu wenu anawafundisha msamehe...

Mashoga na wabakaji wanatakiwa kushughulikiwa haswaa..

Umewahi kujiuliza mbona Mungu wenu anahubiri kusamehe halafu yeye ameweka wazi kua atawaadhibu watu siku ya mwisho, yani hatasamehe wakati mmeumbwa kwa mfano wake...
 
Wasabato wana hoja wasikilizwe ... Ibada ya masanamu ni moja ya ibada ya kijinga ..
 
Wadau hamjamboni nyote?

Naomba sana moderator uache huru Uzi huu Tafadhali

Kichwa cha habari chahusika?

Siyo mahubiri au Vitabu kote huko lazima ukute mifano yote hasi dhidi ya Kanisa Katoliki

Napenda kujua haiwezekani ikahubiriwa injili bila kufanya hivyo?

Ni chuki? Wivu? Propaganda? Mikakati? Au mbinu za waasisi kuwa na waumini wa uhakika ndani ya Kanisa husika.

Na je wakihubiri bila kutaja Kanisa la Mitume ni itakuwa athari Kwa Kanisa hilo hususani upande wa waamini

Je waumini wanaimani na Kanisa hilo kwakuwa wamepewa mawazo hasi dhidi ya Ukatoliki au ni kwakuwa wanaimani na mafundisho ya Kanisa hilo?

Niwatakie usiku mwema
Wajinga tena sana! Bibilia ni Kitabu cha Wakatoliki - So waachane nacho hicho waje na kitabu chao kwanza ndo waendeleze Chuki zao
 
Wadau hamjamboni nyote?

Naomba sana moderator uache huru Uzi huu Tafadhali

Kichwa cha habari chahusika?

Siyo mahubiri au Vitabu kote huko lazima ukute mifano yote hasi dhidi ya Kanisa Katoliki

Napenda kujua haiwezekani ikahubiriwa injili bila kufanya hivyo?

Ni chuki? Wivu? Propaganda? Mikakati? Au mbinu za waasisi kuwa na waumini wa uhakika ndani ya Kanisa husika.

Na je wakihubiri bila kutaja Kanisa la Mitume ni itakuwa athari Kwa Kanisa hilo hususani upande wa waamini

Je waumini wanaimani na Kanisa hilo kwakuwa wamepewa mawazo hasi dhidi ya Ukatoliki au ni kwakuwa wanaimani na mafundisho ya Kanisa hilo?

Niwatakie usiku mwema
Mimi ninawasifu kwa kututengenezea madem wasi na gharama.
Dem wa kisabato ukimpata usimbadilishe wala usikubali abadilishe dhehebu kutoka huko alipo.
Huwa hawana makuu, bajeti zao ni kumnunulia kitana au chanuo, mafuta ya mgando kwa ajili ya kujipaka (Petroleum Jelly), no nyama, atataka ale uyoga, chakula kipikwe chukuchuku au kama ni viungo viwe na karanga, nyanya, vitunguu na pilipili.
 
Kanisa la Sabato, ni kanisan la Mungu, na Mungu mwenyewe ni msabato ndio maana anajiita Bwana wa Sabato.

Mungu hapatani na shetani, shetani pekee ndio anafurahia ushoga , ubakaji, Ndoa za jinsia moja, kuabudu sanamu, kusali jumapili Et kisa siku ni siku tu, kujiita Mungu wa Duniani , mtoto wa Mungu, ubatizo usokua sawa na ule wa Yesu , kutofuata biblia inasemaje...

Sasa Roman wenyewe hayo yote ya juu wanayafurahia.

Na kwakua Romani ndio Babeli Mkuu , Mama wa kahaba.

Sisi wasabato tutaendelea kuwapa Kichapo Kwa msaada wa Roho mtakatifu.

Sabato ndio Kanisa pekee lisoyumbishwa enzi na enzi...hata Romani analifaham hili.
Mkuu umewajibu kwa hoja vile inavyotakiwa.
 
NDYO WALIKUWA WATU WA MUNGU NAO WALIKUWA WANASHKA SABATHO.Ndyo mana kwenye amri ya MUNGU IMEANDIKWA IKUMBUKE SABATHO KWA MAANA WANAKUMBUSHWA KITU AMBACHO KILIKUWEPO WAKAJA WAKAISAHAU UTUMWANI MISRI KWA ZAIDI YA MIAKA 400
Hizo amri walipewa wapi, mbona unakuwa muongo? Huko utumwani walikuwa wanamfahamu Mungu?
 
Mimi ninawasifu kwa kututengenezea madem wasi na gharama.
Dem wa kisabato ukimpata usimbadilishe wala usikubali abadilishe dhehebu kutoka huko alipo.
Huwa hawana makuu, bajeti zao ni kumnunulia kitana au chanuo, mafuta ya mgando kwa ajili ya kujipaka (Petroleum Jelly), no nyama, atataka ale uyoga, chakula kipikwe chukuchuku au kama ni viungo viwe na karanga, nyanya, vitunguu na pilipili.
Wapo wanaoenda saluni sio wasabato?
 
Back
Top Bottom