Haiwezekani Wasabato kuhubiri neno la Mungu bila kutaja Kanisa Katoliki? Au ni mafunuo? au mbinu za kupata na kutunza wafuasi?

Haiwezekani Wasabato kuhubiri neno la Mungu bila kutaja Kanisa Katoliki? Au ni mafunuo? au mbinu za kupata na kutunza wafuasi?

Huwezi kuelewa hayo Kwa sababu bichwa lako limeegemea kwenye miujuza.

Dhehebu pekee hapa Duniani lililofanikiwa kuijua Siri ya unabii ya vitabu VYA Ufunguo na Daniel, ni Wasabato.

RC viongozi wanaujua huo unabii ila wanajitoa ufahamu tu
Hubirini injili zenu bila kutukana wenzenu.inawezekana.
Kutwa roman na wao hawana hata habari nanyi.mnaumia
Ni kweli Kuna Siri nzito na mapungufu na mambo mengi,mmetumwa kukokoa nafsi za wasabato ama kusutana na waroma?
Kwani Mwenyezi Mungu ye Hawaoni?
Kuna mengine yapasa yatokee Ili nyakati zitimie.
Mi sio mroma Kila mtu ashike kwake
 
Dah kumbe mtu na c MUNGU.elewa fungu hilo vzur.Kulikuwa na sheria 2 zinazokinzana SHERIA YA MUNGU NA YA MAAGIZO AMBAYO MUNGU ALIMWAMBIA MUSA AWAANDIKIE AWEKE PEMBENI MWA SANDAKU LA AGANO.Yesu alipokuja aliondoa sheria ya musa ikabaki ya MUNGU ambamo ndan yake imo sabatho.

Kol 2:16-17​

Basi, mtu asiwahukumu ninyi katika vyakula au vinywaji, au kwa sababu ya sikukuu au mwandamo wa mwezi, au sabato; mambo hayo ni kivuli cha mambo yajayo; bali mwili ni wa Kristo.

Narudia, kuabudu ijumaa sijui jumamosi au jamapili hakumpeleki mtu kwa Mungu kama matendo yake binafsi hayamlingani BWANA.

Kinachowapofusha wasabato ni mapokeo ya imani yenu yanayojikita kwenye siku badala ya kuwekea mkazo wokovu.

Kwenye madhehebu yote kuna wazinzi, washirikina, waongo, wezi, wasengenyaji et al, je! hao wenye matendo hayo kwa vile wanaabudu siku ya jumamosi inatosha wao kurithi uzima wa milele?

Nakuthibitishia bila mashaka, kwenye kila dhehebu kuna baadhi ya watu wataurithi uzima wa milele kwa maana uzima wa milele hauko katika siku wala majira flani.

Yohana 17:3​

Na uzima wa milele ndio huu, Wakujue wewe, Mungu wa pekee wa kweli, na Yesu Kristo uliyemtuma.

Kwa nyongeza dini ya kweli ndiyo hii;

Yak 1:27​

Dini iliyo safi, isiyo na taka mbele za Mungu Baba ni hii, Kwenda kuwatazama yatima na wajane katika dhiki yao, na kujilinda na dunia pasipo mawaa.


Vifungu vya kurejelea vyote viko agano jipya ambalo ndilo linalobeba hatma ya kizazi hiki.
 
Kanisa limeanzishwa kwa misingi hiyo... Hivyo ibada zao hazikamiliki bila kuiponda RC... Lakini napenda kuwakumbusha kwamba,, watakao ingia katika ufalme wa Mungu ni wale walio kili ya kwamba Yesu ni Bwana na kuishi katika Kristo kwa kufuata na kutenda Mafundisho yake... Hivyo Usabato, U RC, Uanglicana, UKKKT, Upentekoste ama dhehebu lolote lile,,,, halimpeleki mtu mbinguni isipokuwa Kumkiri Yesu Kristo kama nilivyo eleza hapo juu...
Sasa utamkirije mtu ambae hakuhusu wewe? Kwani wewe ni kondoo wa Israeli?
Screenshot_20240916-081040~2.png
 
Nilikuwa nina kademu kanasali Sabato.
Duh kana masheria kama yoote.
Kanalalamika kutumiwa na kuacha
Kajuaji,ukikarekebisha kanaongeaa hakoo
Nimedumu nako miezi 5, nimepiga chini
Hii inahusiana nini na hii mada,poor mind kwamba katika imani nyingine hakuna mademu walalamishi,wabishi na wajuaji?
 
Umesahau walitabiri siku ya mwisho wakafeli, wakati kitabu kiko wazi hakuna aijuaye siku iyoo , hata Yesu wao haijui.
Hakuna mu Adventista Msabato alitabiri uongo huo. Mwaka 2000 taharuki ya kuzima computer na mwisho wa dunia haikuletwa na Wasabato.
 
Endeleeni kuparuana ila ipo wazi, ukifuta fedha wote mtaelewana.
 
Sasa utamkirije mtu ambae hakuhusu wewe? Kwani wewe ni kondoo wa Israeli?View attachment 3097095
2wakorintho4:4-6
Hao hawaamini kwa sababu yule mungu wa ulimwengu huu amezitia giza akili zao wasipate kuuona wazi mwanga wa Habari Njema ya utukufu wa Kristo, ambaye ni mfano kamili wa Mungu. Maana hatujitangazi sisi wenyewe, ila tunamhubiri Yesu Kristo aliye Bwana, sisi wenyewe tukiwa watumishi wenu kwa ajili ya Yesu. Mungu ambaye alisema, “Mwanga na uangaze kutoka gizani,” ndiye mwenye kuiangaza mioyo yetu, na kutupatia mwanga wa ujuzi wa utukufu wa Mungu uangazao katika uso wa Kristo.

Swali: hivi unaamini waisrael wa sasa ni wale walotajwa kwenye Biblia?

Pia kama bado huamini.. basi niambie Imani yako ambayo ndiyo inatakiwa iwe Imani yetu waafrika ama watanzania niifuate...
 
Wasabato wengi huwa wanawashwa sana.
Wao dhambi ni kusali Jumapili
Wao dhambi ni kunywa mvinyo
Wao dhambi ni msalaba wa Kristo Yesu

Ila kwao sio dhambi kudinya wake za watu(michepuko) kuwa na wanawake wengi
Wao sio dhambi kusengenya watu na kuona wao ndio watakatifu.

Kwa kifupi ni wajinga pro max wanawashwa na mambo ya watu kuliko kufuata mambo yao.
 
2wakorintho4:4-6
Hao hawaamini kwa sababu yule mungu wa ulimwengu huu amezitia giza akili zao wasipate kuuona wazi mwanga wa Habari Njema ya utukufu wa Kristo, ambaye ni mfano kamili wa Mungu. Maana hatujitangazi sisi wenyewe, ila tunamhubiri Yesu Kristo aliye Bwana, sisi wenyewe tukiwa watumishi wenu kwa ajili ya Yesu. Mungu ambaye alisema, “Mwanga na uangaze kutoka gizani,” ndiye mwenye kuiangaza mioyo yetu, na kutupatia mwanga wa ujuzi wa utukufu wa Mungu uangazao katika uso wa Kristo.
Hapa ndo huwa mnafeli, Kauliza kuhusu ukristo kuwa ni kwa ajili ya waisraeli na akaweka vifungu, Mathayo 10:23 na 15:24. Badala ya kujibu alichouliza na kumuelekeza kwanini si Israeli tu bali hata wazaramo na wapare na wachaga inawahusu wewe unakuja na fungu linalohusiana na kufungwa akili, angefungwa akili angesoma biblia na kuhoji? Kuna wale ukiuliza tu swali anakuja na vifungu vya tanuru la moto. Shida ni nini?
 
Hapa ndo huwa mnafeli, Kauliza kuhusu ukristo kuwa ni kwa ajili ya waisraeli na akaweka vifungu, Mathayo 10:23 na 15:24. Badala ya kujibu alichouliza na kumuelekeza kwanini si Israeli tu bali hata wazaramo na wapare na wachaga inawahusu wewe unakuja na fungu linalohusiana na kufungwa akili, angefungwa akili angesoma biblia na kuhoji? Kuna wale ukiuliza tu swali anakuja na vifungu vya tanuru la moto. Shida ni nini?
Ndugu,, kabla ya kuweka hayo maoni kabla nilipost marko16:16, Mk16:15-16 hebu nenda kasome
 
  • Thanks
Reactions: Tsh
Kama wanaona kasoro huko ni lazima wawatahadharishe waumini wao waepuke kuwa kama hivyo
 
Kanisa la Sabato, ni kanisan la Mungu, na Mungu mwenyewe ni msabato ndio maana anajiita Bwana wa Sabato.

Mungu hapatani na shetani, shetani pekee ndio anafurahia ushoga , ubakaji, Ndoa za jinsia moja, kuabudu sanamu, kusali jumapili Et kisa siku ni siku tu, kujiita Mungu wa Duniani , mtoto wa Mungu, ubatizo usokua sawa na ule wa Yesu , kutofuata biblia inasemaje...

Sasa Roman wenyewe hayo yote ya juu wanayafurahia.

Na kwakua Romani ndio Babeli Mkuu , Mama wa kahaba.

Sisi wasabato tutaendelea kuwapa Kichapo Kwa msaada wa Roho mtakatifu.

Sabato ndio Kanisa pekee lisoyumbishwa enzi na enzi...hata Romani analifaham hili.
Kumbe Wasabato hawaamini katika watu kujiita mungu wa dunia na mtoto wa mungu
 
Kanisa katoliki kachagua kuplay role ya kitimoto.

Hapa duniani hakuna kiumbe kinasimangwa kama huyo jamaa,ila ndiyo kwanza anazidi kunona na kutoa mafuta.

Ndiyo RC sasa.
Kumbe kanisa lenu ni mfano wa nguruwe? Safi kwa kulifahamu hilo.
Acha kufananisha Kanisa na Nguruwe
Acha kumzuia kusema ukweli kanisa katoliki halina tofauti na huyo mnyama
 
Back
Top Bottom