Haiwezekani Wasabato kuhubiri neno la Mungu bila kutaja Kanisa Katoliki? Au ni mafunuo? au mbinu za kupata na kutunza wafuasi?

Haiwezekani Wasabato kuhubiri neno la Mungu bila kutaja Kanisa Katoliki? Au ni mafunuo? au mbinu za kupata na kutunza wafuasi?

Kanisa la Sabato, ni kanisan la Mungu, na Mungu mwenyewe ni msabato ndio maana anajiita Bwana wa Sabato.

Mungu hapatani na shetani, shetani pekee ndio anafurahia ushoga , ubakaji, Ndoa za jinsia moja, kuabudu sanamu, kusali jumapili Et kisa siku ni siku tu, kujiita Mungu wa Duniani , mtoto wa Mungu, ubatizo usokua sawa na ule wa Yesu , kutofuata biblia inasemaje...

Sasa Roman wenyewe hayo yote ya juu wanayafurahia.

Na kwakua Romani ndio Babeli Mkuu , Mama wa kahaba.

Sisi wasabato tutaendelea kuwapa Kichapo Kwa msaada wa Roho mtakatifu.

Sabato ndio Kanisa pekee lisoyumbishwa enzi na enzi...hata Romani analifaham hili.
Enzi zipi hizo unazoongelea wewe labda enzi za mijusi Yani hivyo vibanda vyenu vya Juzi mnajifanya Imani Imani ipi hyo haswa?
 
Nani alikudanganya kua biblia ni ya waroma?.


Je umesahau Roman ilivyojaribu kujiondoa biblia Dunia Kwa kuhakikisha wanazichona na kuwaua wote walikua nazo?.

Hivo kumbe JF Ina wajinga hivi, hata Historia hamjui??

Unajua nini kilimuua Papa 1798??
Mjinga wewe- tena pumba kabisa.,••¥$*%: In 1798, during the French Revolutionary Wars, French troops under Napoleon Bonaparte invaded Rome and captured Pope Pius VI, taking him as a prisoner to France, where he died in 1799. - haya yalikuwa mapinduzi ya Kisiasa na sio Dini!
 
Hakuna unabii wa siku za mwisho bila upapa. Na hapo ndo Catholic inaingia.
Through out the history upapa umejaribu kupingana na sheria takatifu ya Mungu na kuhakikisha nuru ya neno la Mungu haiwafikii wengi. Watu waliuawawa Sana miaka ya hapo nyuma kuitetea kweli (neno la Mungu).
Sasa hivi watu hawauwawi Ila ameingiza madundisho ya uongo. Upapa (papa) akijiita msamehe dhambi (ambalo ni jukumu la Mungu) , muwakilishi wa Mungu duniani, mafundishi kuhusu Hali ya wafu n. k n.k

So unapoitaja sheria takatifu ya Mungu unaitaja pia sabato takatifu ya Mungu na hapo ndo Rumi ambaye anawakilishwa na upapa anapoingia. Na hakuna upapa bila Roman Catholic
Alaf
Shetani ndiye anapingana na sheria za Mungu
 
Nani alikudanganya kua biblia ni ya waroma?.


Je umesahau Roman ilivyojaribu kujiondoa biblia Dunia Kwa kuhakikisha wanazichona na kuwaua wote walikua nazo?.

Hivo kumbe JF Ina wajinga hivi, hata Historia hamjui??

Unajua nini kilimuua Papa 1798??
    • Christian Bible
      The Catholic Church's canon of the Christian Bible was determined by various councils, synods, and popes, beginning with the Council of Rome in 382 AD. The Council of Trent in 1546 solemnly defined the canon after it came under attack by Protestant leaders.


    • Latin Bible
      In 382, Pope Damasus commissioned Jerome to produce a Latin version of the Bible from the various translations then being used.



    • King James Version
      The King James Version of the Bible was published in 1611 at the behest of King James I of England.
    • HAYO MADHEEBU MENGINE NA HAO WASABATO WALIANZA MIAKA GANI?
 
Mjinga wewe- tena pumba kabisa.,••¥$*%: In 1798, during the French Revolutionary Wars, French troops under Napoleon Bonaparte invaded Rome and captured Pope Pius VI, taking him as a prisoner to France, where he died in 1799. - haya yalikuwa mapinduzi ya Kisiasa na sio Dini!
Ona ulivyo limakalio mamaee.

Kwahiyo hata huijui Historia ya Zama za Giza ? Hujui wakristo wangapi walouliwa na Roman ?

Hujui mpaka kuinuka Kwa Napoleon kuja kuhitimisha Mauaji na mateso ya Roman Kwa wafia ukristo.

Kama Hilo hulijui, Basi sidhan kama unafaham Mamlaka ya Kidini na kitawala ya Roman, baada ya kuuliwa Kwa papa mwaka 1798, ilikuja kurudishwa lini? Na nani??.

Mamaeee, wee ni kitumbuaaaa
 
Ona ulivyo limakalio mamaee.

Kwahiyo hata huijui Historia ya Zama za Giza ? Hujui wakristo wangapi walouliwa na Roman ?

Hujui mpaka kuinuka Kwa Napoleon kuja kuhitimisha Mauaji na mateso ya Roman Kwa wafia ukristo.

Kama Hilo hulijui, Basi sidhan kama unafaham Mamlaka ya Kisimi na kitawala ya Roman, baada ya kuuliwa Kwa papa mwaka 1798, ilikuja kurudishwa lini? Na nani??.

Mamaeee, wee ni kitumbuaaaa
Papa alitolewa Madarakani na Wafaransa- akuuwawa. Wapi walimuua??In 1798, during the French Revolutionary Wars, French troops under Napoleon Bonaparte invaded Rome and captured Pope Pius VI, taking him as a prisoner to France, where he died in 1799.
 
Mjinga wewe- tena pumba kabisa.,••¥$*%: In 1798, during the French Revolutionary Wars, French troops under Napoleon Bonaparte invaded Rome and captured Pope Pius VI, taking him as a prisoner to France, where he died in 1799. - haya yalikuwa mapinduzi ya Kisiasa na sio Dini!
Hili tukio kulingana na Daniel ni jeraha la mauti alilopata pope Ila lilipona baada ya muda
 
    • Christian Bible
      The Catholic Church's canon of the Christian Bible was determined by various councils, synods, and popes, beginning with the Council of Rome in 382 AD. The Council of Trent in 1546 solemnly defined the canon after it came under attack by Protestant leaders.


    • Latin Bible
      In 382, Pope Damasus commissioned Jerome to produce a Latin version of the Bible from the various translations then being used.



    • King James Version
      The King James Version of the Bible was published in 1611 at the behest of King James I of England.
    • HAYO MADHEEBU MENGINE NA HAO WASABATO WALIANZA MIAKA GANI?
Wee mjinga nini, Biblia iliandikwa na Akina Musa, Isaya , mitume wa Yesu , na kwakua zama hizo hakukua na Means ya kuandika kwenye makaratasi, na kufuatia mateso waloyapitia , Watu Hawa walilazimika kuandika kwenye magome na nguo .


Baada ya RUMI Pagani kuukubali Ukristo, ndipo likaamshwa vuguvugu la kuvikusanya vitabu hivo ma kuviweka pamoja, with time Wakatoa maandiko kwenye magome ,nguo, mawe, na kuyaleta kwenye makaratasi.


Sasa wee kizazi niambie, katika hao nani aliandika Bibla??.

Ulivyo lijinga, Hujui kua Biblia ni neno la Mungu aloliandika mwenyewe kupitia Watumishi wake.


Wewe kiaziiii, Kwa amatope yako kichwan Unamaanisha kua hata AMRI KUMI ZA MUNGU ,ziliandikwa na Roman??.

Jinga kabisaaaa
 
Papa alitolewa Madarakani na Wafaransa- akuuwawa. Wapi walimuua??In 1798, during the French Revolutionary Wars, French troops under Napoleon Bonaparte invaded Rome and captured Pope Pius VI, taking him as a prisoner to France, where he died in 1799.
Mjinga Mmoja weee, huyo papa alikufa akiwa mikononi mwa Akina nani??.
 
Mimi nimezaliwa ktk family ya kikatoliki.
Nimebatizwa,komunyo,kipaimara na ndoa pia vyote nimepata huko rc.

Katika tuhuma au mahubiri yote ya wasabato wanayo watuhumu waroma ni ya ukweli 100%

Na hivyo huwezi kusimamia na kujibu tuhuma zao.

Nilifatilia sana kujua kama ni kweli Moja kitu nilicho muuliza paroko wangu ni kuwa sabato Ni nini na lini siku ya sabato?

Kipindi hicho nikiwa mwenyekiti wa TYCSS. Alinijibu Kwa kusema sabato ni siku ya Saba ya wayahudi. Siku hiyo ndo siku ya ibada Kwa mujibu wa biblia zote tunazo tumia.

Ukiona rc tuko kinyume na biblia na Mungu pia soma mwenyew amri kumi za Mungu pale kutoka 20:1-19.

Kwanza Mungu kakataa kujifanyia sanamu. Hayo yapo Hadi dk hii makanisani mwetu.pia kaamuru kushika sabato na kuitunza kule imeondolewa vilevile.

Na katika kufidia zile amri Ili zifike kumi Ile amri ya kutamani ikamegwa mara2

Yaani walisema usitamani Mali ya jirani

Tena wakasema usitamani mke wa jirani. Ukiwa na akiri ya kawaida tu utajua hapa hakuna tofaut kati ya kutamani nyumba ama gari ni Sawaswa tu nakutamani shamba au mti wa jirani Yako.

Papa anaitwa Baba mtakatifu (hili yesu alilikataa) alisema Tena msimuiye mtu Baba duniani Kwa maana Baba yenu ni mmoja.

Swala kutubu dhambi ni mdhambi na Mungu mwenyewe walakini huku kwetu tunaungama Kwa padri dhambi zetu.

Maandiko yanatuambia anepaswa kusujudiwa ni Mungu pekee rc ni tofauti padri,askofu na papa husujudiwa.

Kwahiyo wasabato wanapo tuandama basi tujue wazi wanatuelekeza kuwa Hivi na vile haipaswi Kwa sababu wote tunatumia biblia Moja Ile Ile.

Kosa lao liko wapi? Ni nani asiye jua kuwa mkuu wa ulimwengu huu ni papa(joka)?

Shida yetu sisi wakatoliki biblia tunasomewa tu na ukitoka huko upo empty set

Yaani Unakutana na SoMo la kwanza la pili na injiri basi kateksita atafafanua anavyojua yeye uelewe usielewe imetoka hiyo! Lkn Kwa wenzetu ni tofauti kati ya watu 10 utakao kutana nao 7-8 Wana biblia na wakifika church wanakuwa busy na biblia pastor akitaka fungu anahakikisha wote wamefika na anasoma yoyote aliyefika Hilo fungu/Aya. Sisi ana andaliwa wa kusoma SoMo la kwanza na la pili na yeye ukimuuliza baada ya ibada hakumbuki.


Wakatoliki kati ya watu 50 utakao kutana nao basi 1-2 ndo utawaona Wana biblia na wote hata anaweza fika kanisani na asiitumie na akifika nyumbani inawekwa kwenye kabati au kwenye bag la nguo Hadi jpili ijayo Tena.

Lakini ukienda family ya msabato biblia na baadhi ya vitabu vyao utavikuta mezani sebreni hii ni lazima utakuta na kwenye familia lazima ukutane na biblia zaidi ya 3+ kulingana na watu waliopo.


Tuta laumu sana wasabato hili Kuna kipindi nilikuwa nakaimu u kateksita nilikuwa nawaambia hadharani wasabato kwann wanatuzidi sana kusoma maandiko wao Wana Nini hasa?

Jambo jingine ambalo lilisababisha waniondoe uenyikiti wa jumuiya ni kupambana mwanajumuiya wangu apate haki ya mazishi ya mtoto wake licha ya kuwa alikuwa hatoi mchango.

Wanajumuiya walikataa na kumwambia paroko kuwa huyu Huwa hatoi michango Leo kapatwa na tatizo anataka huduma sisi hatupo Tyr.

Paroko akaniambia nikasema nikweli hatoi michango lkn ni muumini mwenzetu hakujali mtoto akazikwa na walokole nikaachia uenyikiti wa jumuiya tangu siku hiyo.

Ukitaka kujua kwanini sisi hatu wa challenge wasabato utagundua Kila wanachosema Wana USHAHIDI nacho wa maandishi na huwezi bishi utaumbuka na viongozi wetu wote wanajua kabisa kuwa yote yanayosema na jamaa Hawa ni ya kweli.

Tubadirike. Tuache majungu.

Ukija kwao nao wasabato wanajiona sana na wao Wana madhaifu Yao mengi tu.
May God bless you.
Mungu anao kondoo wake kwenye mazizi mengine. Na muda ukifika atawaita waingie zizini mwake
 
Nani alikudanganya kua biblia ni ya waroma?.


Je umesahau Roman ilivyojaribu kujiondoa biblia Dunia Kwa kuhakikisha wanazichona na kuwaua wote walikua nazo?.

Hivo kumbe JF Ina wajinga hivi, hata Historia hamjui??

Unajua nini kilimuua Papa 1798??
Ingekuwa kitabu Chao wangeamua kukichoma moto kipindi cha zama za za Giza na kipindi cha wanamatengenezo?
 
Mwenye kupenda kusoma asome hii summary lakini kama akitaka kitabu chote kipo. Asome Historia ya kanisa la Mungu (Wasabato) na vipindi ambavyo kanisa la Mungu lilipitia Hadi leo
 

Attachments

Wadau hamjamboni nyote?

Naomba sana moderator uache huru Uzi huu Tafadhali

Kichwa cha habari chahusika?

Siyo mahubiri au Vitabu kote huko lazima ukute mifano yote hasi dhidi ya Kanisa Katoliki

Napenda kujua haiwezekani ikahubiriwa injili bila kufanya hivyo?

Ni chuki? Wivu? Propaganda? Mikakati? Au mbinu za waasisi kuwa na waumini wa uhakika ndani ya Kanisa husika.

Na je wakihubiri bila kutaja Kanisa la Mitume ni itakuwa athari Kwa Kanisa hilo hususani upande wa waamini

Je waumini wanaimani na Kanisa hilo kwakuwa wamepewa mawazo hasi dhidi ya Ukatoliki au ni kwakuwa wanaimani na mafundisho ya Kanisa hilo?

Niwatakie usiku mwema
Kama ilo kanisan ndo adui Yao au wanaona mnaenda motoni msitajwe???
 
Wata
Nani alikudanganya kua biblia ni ya waroma?.


Je umesahau Roman ilivyojaribu kujiondoa biblia Dunia Kwa kuhakikisha wanazichona na kuwaua wote walikua nazo?.

Hivo kumbe JF Ina wajinga hivi, hata Historia hamjui??

Unajua nini kilimuua Papa 1798??
Watajuaje wakati mwenye mamlaka ya kusoma ni padri tu na anasoma kilichotumwa kutoka Roma waumini kazi Yao ni kusikiliza tu.

Waroma wengi wanaojitambua wameanza kutafuta makanisa ambapo wanaweza kujadili neno pamoja na hata kuuliza maswali.
 
Mzee wa old school umeniambia aaminiye na kubatizwa ataokoka bilashaka umemaanisha Kumuamini "Yesu" ama?

Naomba nipigie hesabu ya jumla siku Yesu amefariki, zikifika tatu kamili nabatizwa leo leo .

Zingatia vifungu hivi vinaeleza kua siku tatu ni mchana na usiku; 👇👇

Zisipofika endelea na mambo yako, utaaminije Uongo?
 

Attachments

  • Screenshot_20240916-111606~3.jpg
    Screenshot_20240916-111606~3.jpg
    23 KB · Views: 1
  • Screenshot_20240916-111436~2.jpg
    Screenshot_20240916-111436~2.jpg
    17.5 KB · Views: 1
  • Screenshot_20240916-111436.jpg
    Screenshot_20240916-111436.jpg
    11.4 KB · Views: 1
  • Screenshot_20240916-111456.jpg
    Screenshot_20240916-111456.jpg
    8.8 KB · Views: 1
  • Screenshot_20240916-111606.jpg
    Screenshot_20240916-111606.jpg
    19.9 KB · Views: 1
  • Screenshot_20240916-111624~2.jpg
    Screenshot_20240916-111624~2.jpg
    16.5 KB · Views: 1
Back
Top Bottom