Uzalendo wa Kitanzania
JF-Expert Member
- Mar 8, 2020
- 3,585
- 8,106
- Thread starter
- #201
Hakuna anayeshindana na msabato ila msabato ndiye anayeshindana na RC
Pia hebu niangalizie kwenye Biblia kama kuna mafungu yanayozungumzia:
Kurudi wa Yesu Kristo miaka ya 1,800 kama William Miller alivyodai
Habari ya Hukumu ya upelelezi
Habari za Bwana wetu Yesu Kristo kuhmia chumba cha patakatifu pa patakatifu kutokea chumba cha patakatifu akiwa huko kwenye hekalu la mbinguni
Habari za amri ya Sabato kuwa na mng'aro mkubwa zaidi ya amri nyingine
Pia hebu niangalizie kwenye Biblia kama kuna mafungu yanayozungumzia:
Kurudi wa Yesu Kristo miaka ya 1,800 kama William Miller alivyodai
Habari ya Hukumu ya upelelezi
Habari za Bwana wetu Yesu Kristo kuhmia chumba cha patakatifu pa patakatifu kutokea chumba cha patakatifu akiwa huko kwenye hekalu la mbinguni
Habari za amri ya Sabato kuwa na mng'aro mkubwa zaidi ya amri nyingine