under_age,mtu wa pwani,...
jamani acheni acheni jamani...yaani mnataka watu million 1 mgawane nusu kwa nusu na watu milioni 30?
kuhusu wa-zenj kufanya kazi huku Bara, hiyo ni win-win situation. wangeweza kuwa jobless huko ZNZ, au wakambilia Kenya etc. wakati wanatoa utaalamu wao Bara, mapato wanaweza kupeleka Zenj.
hata wapemba waliojazana huku Bara wakiuza maduka. hiyo nayo ni win-win situation. mwanzo tulikuwa na wachaga hawapendi kukopesha lakini sasa hivi tuna afueni baada ya kuja wapemba. hao wangebakia pemba wangekuwa jobless.
kweli kabisa ukichukua percentage wise waZenj wameelimika kuliko Wabara wote. Lakini ukichukua waZenj ukalinganisha say na Wahaya au Wachaga basi hapo ni hadithi nyingine kabisa.
MAFUTA:
Hili suala la mafuta mimi nashauri muachiwe. Lakini tuelewane kuhusu uchimbaji wa mafuta off-shore.
Fununu ni kwamba, mkondo wa bahari kati ya Zenj na Tanganyika ni mwembamba kiasi kwamba kutakuwa na utata ktk utekelezaji wa SHERIA za KIMATAIFA za matumizi ya RASILIMALI zilizoko BAHARINI.
Kwani Zenj wakigundua DHAHABU kuna kipengele kimeeleza kwamba tunapaswa kugawana 50/50?
jamani acheni acheni jamani...yaani mnataka watu million 1 mgawane nusu kwa nusu na watu milioni 30?
kuhusu wa-zenj kufanya kazi huku Bara, hiyo ni win-win situation. wangeweza kuwa jobless huko ZNZ, au wakambilia Kenya etc. wakati wanatoa utaalamu wao Bara, mapato wanaweza kupeleka Zenj.
hata wapemba waliojazana huku Bara wakiuza maduka. hiyo nayo ni win-win situation. mwanzo tulikuwa na wachaga hawapendi kukopesha lakini sasa hivi tuna afueni baada ya kuja wapemba. hao wangebakia pemba wangekuwa jobless.
kweli kabisa ukichukua percentage wise waZenj wameelimika kuliko Wabara wote. Lakini ukichukua waZenj ukalinganisha say na Wahaya au Wachaga basi hapo ni hadithi nyingine kabisa.
MAFUTA:
Hili suala la mafuta mimi nashauri muachiwe. Lakini tuelewane kuhusu uchimbaji wa mafuta off-shore.
Fununu ni kwamba, mkondo wa bahari kati ya Zenj na Tanganyika ni mwembamba kiasi kwamba kutakuwa na utata ktk utekelezaji wa SHERIA za KIMATAIFA za matumizi ya RASILIMALI zilizoko BAHARINI.
Kwani Zenj wakigundua DHAHABU kuna kipengele kimeeleza kwamba tunapaswa kugawana 50/50?