Alikuwa na mpango wa kupewa adhabu ya kusimamishwa ili aache kuwasemea utopolo.
Lakini pia, kama ni faini watamlipia.
Kwa sasa nina uhakika utopolo ni jalala vichaa wote wanataka kuhamia.
Mwijaku anainyemelea nafasi ya Manara na naomba apewe tupunguze watu wenye gundu.
Manara aliwahi kusema huko utopoloni wenye akili ni wawili tu,nao wamezeeka, waliobaki wote kuanzia rais hadi boda boda wa kibondo hawana hizo akili
Lakini pia, kama ni faini watamlipia.
Kwa sasa nina uhakika utopolo ni jalala vichaa wote wanataka kuhamia.
Mwijaku anainyemelea nafasi ya Manara na naomba apewe tupunguze watu wenye gundu.
Manara aliwahi kusema huko utopoloni wenye akili ni wawili tu,nao wamezeeka, waliobaki wote kuanzia rais hadi boda boda wa kibondo hawana hizo akili