Haji Manara aanza kutupa vijembe kwa Mo Dewji

Haji Manara aanza kutupa vijembe kwa Mo Dewji

hajismanara Wakulungwa wa kibongo waliopo South huuita lile Jiji kama Debeni,,,
Yes ni Durban !!!

Familia ya kitajiri isiyo na makeke ya Bakhresa inamiliki kiwanda kikubwa cha Unga chenye uwezo wa kuzalisha Tani 750 Kwa siku!!

Tuelewena kwanza,,,hiki kiwanda kipo Debeni na Tani 750 zinazalishwa hapo ktk kila Saa 24 Dadadeki!!

Sasa kipi kikushangaze Shilingi Bilioni 223 zikiwekwa ktk football ya nchi hii tena bila ya mbwembwe wala mmoja wa Memba wa familia hyo kuwepo?

223 Bilioni ukizipanga noti za Ten Ten zinatoka Dar hadi Brazil na kurudi hadi Pakistan kisha zinaenda hadi Cape Verde na kutokomea hadi Kilwa,,

Hapo sijaongelea mkwanja waliolamba Dar Young Africans?🤪🤪
@officialbakhresagroup 💪🏿💪🏿

Hahahaaaaaa huu uzi ni wa kutisha kwa mashabiki wa Simba.
 
hajismanara Wakulungwa wa kibongo waliopo South huuita lile Jiji kama Debeni,,,
Yes ni Durban !!!

Familia ya kitajiri isiyo na makeke ya Bakhresa inamiliki kiwanda kikubwa cha Unga chenye uwezo wa kuzalisha Tani 750 Kwa siku!!

Tuelewena kwanza,,,hiki kiwanda kipo Debeni na Tani 750 zinazalishwa hapo ktk kila Saa 24 Dadadeki!!

Sasa kipi kikushangaze Shilingi Bilioni 223 zikiwekwa ktk football ya nchi hii tena bila ya mbwembwe wala mmoja wa Memba wa familia hyo kuwepo?

223 Bilioni ukizipanga noti za Ten Ten zinatoka Dar hadi Brazil na kurudi hadi Pakistan kisha zinaenda hadi Cape Verde na kutokomea hadi Kilwa,,

Hapo sijaongelea mkwanja waliolamba Dar Young Africans?🤪🤪
@officialbakhresagroup 💪🏿💪🏿
ukiangalia kwa mapana yake tume ya ushindani imelala fofofo, haiwezekani kampuni hiyo hiyo ina timu ligi kuu, ina dhamini timu nyingine za zilizo kwenye division sawa na timu inayomiliki na kampuni hiyohiyo inarusha ligi live kwa tv! Only in Tz
 
Mo dewji na pesa alizonazo, hatomuweza Manara kwa fitna za mjini
 
Lakini tusisahau Haji hajamtaja Mo kwenye hiyo post
 
Lakini nyienyie ndio mlikuwa mnampa kichwa wakati anawananga Yanga mkamahangilia kweli, mkatubeza Yanga hatuna msemaji, maneno kibao ya shobo, Leo kamgusa mfadhili wenu mshamgeuka, unafiki ni mbaya sana
Mimi sijadili kwa ushabiki wa team na wala mimi sio shabiki wa hiyo team uliyoitaja.
 
Back
Top Bottom