Haji Manara: Ahmed Ally ni shabiki kindakindaki wa Yanga

Amalizie kabisa kuwa GSM ni Simba damu damu.
 
Namjua manara kiundani sana na hata huyo Ahmed ally namfahamu pia....point yangu nilikueleza kuwa manara,ahmed,alikiba,mkude,Canavaro hao wengi wao wametumikia timu hizo wakati huo mapenzi yao ya asili sio huko waliko....mfano GSM kiasili ni shabiki wa simba ila leo yupo yanga unadhani kwanini?
 
Hivi Tangia kukua kwako umewahi kusikia mtu anahama ushabikinwa Simba na yanga?
Inategemea na mpunga,Manara alienda Yanga baada ya kufukuzwa Simba ili kuwakomoa akina Barbara,anatamani Simba ifanye vibaya ili awaambie watu kuwa Simba ilikuwa inafanya vizuri kwa sababu yake
 
Hii ya kwamba Drogba alikuwa mshabiki wa Arsenal hapa mkuu umetupiga
KuGUGO sio dhambi, mfanye google kuwa rafiki yako.

Drogba alikuwa ni supporter wa araenal hili ameshakili zaidi ya mara 1. Ila ilipokuja mipango ya kazi anapiga kazi.
Mie ni simba sports club kiushabiki ila naweza cheza yanga.
 


 
Canavaro yupi? Yule mzanzibari? Au unamaanisha Privadinho?
 
Hata Mohamed Mwameja ni Shabiki lia lia wa Yanga
 
Ni sahihi pia haikatazwi kuwa shabiki wa Yanga huku ukiwa mfanyakazi wa Simba.
 
Kwa hyo manara yeye ndio yanga lialia hii nchi ina watu wajinga sana.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…