Kunguru Mjanja
JF-Expert Member
- Aug 22, 2012
- 2,046
- 3,971
Msemaji wa klabu ya Simba, Haji Manara amekiomba kituo cha redio cha Clouds FM kuthibitisha au kukanusha taarifa waliyoitangaza ya kuwa Klabu ya Simba imefungwa goli 6-0 katika mchezo wa kirafiki nchini Uturuki
Manara ameyasema hayo kupitia ukurasa wake mtandao katika wa Kijamii wa Instagram na kuongeza kuwa yeye kama msemaji kazi yake pia ni kulinda taswira ya klabu ya Simba na hayupo tayari kuona inaharibiwa
Aidha amesisitiza kuwa endapo habari hiyo haitakanushwa au kuthibitishwa basi itaaminika kuwa waliotanganza walikuwa na nia ovu ya kuidhalilisha Simba
Klabu ya Simba ipo nchini Uturuki kwa ajili ya maandalizi ya msimu mpya wa 2018/19 na ikiwa huko inaelezwa kuwa itacheza michezo kadhaa ya kirafiki
Manara ameyasema hayo kupitia ukurasa wake mtandao katika wa Kijamii wa Instagram na kuongeza kuwa yeye kama msemaji kazi yake pia ni kulinda taswira ya klabu ya Simba na hayupo tayari kuona inaharibiwa
Aidha amesisitiza kuwa endapo habari hiyo haitakanushwa au kuthibitishwa basi itaaminika kuwa waliotanganza walikuwa na nia ovu ya kuidhalilisha Simba
Klabu ya Simba ipo nchini Uturuki kwa ajili ya maandalizi ya msimu mpya wa 2018/19 na ikiwa huko inaelezwa kuwa itacheza michezo kadhaa ya kirafiki