Afu hiyo CCM anayoiomba imsaidie ndio iliyokuwa ya kwanza kumtolea panga kile kipindi afanye ufisadi wa magariJapo mimi shabiki wa Yanga huyu mpumbavu aongezewe adhabu hata ya miaka 15 tena
Yule ni tapeli snAfu hiyo CCM anayoionba imsaidie ndio iliyokuwa ya kwanza kuntolea panga kile kipindi afanye ufisadi wa magari
Manara amehoji kama yeye anafanyiwa hayo, vipi kwa watu wa kawaida?
HahahahahahahaHii habari pengine mi ilinipita.
Kumbe Manara aliwahi kudhurumiwa na TFF?
Sasa tujadili tweets ya Mo na Babra au tumsikilize na mwanetu?
Usininikuu vibayaAliyekuwa msemaji wa Yanga, Haji Manara amelalamikia Serikali ikiwemo mawaziri kukaa kimya na kuruhusu yeye kuonewa ilihali ni 'Pro Government' na mwanaccm aliyesomeshwa na chama. Manara amehoji kama yeye anafanyiwa hayo, vipi kwa watu wa kawaida?
Nimejiuliza, kuna tabaka katika hii nchi sheria hazipaswi kuapply!
MANARA NI NANI MPAKA SERIKALI IACHE SHUGHULI ZAKE ISHUGHULIKIE MATUSI YAKE DHIDI YA VIONGOZI?Aliyekuwa msemaji wa Yanga, Haji Manara amelalamikia Serikali ikiwemo mawaziri kukaa kimya na kuruhusu yeye kuonewa ilihali ni 'Pro Government' na mwanaccm aliyesomeshwa na chama. Manara amehoji kama yeye anafanyiwa hayo, vipi kwa watu wa kawaida?
Nimejiuliza, kuna tabaka katika hii nchi sheria hazipaswi kuapply!
Mimi ni yanga ila huyu mpumbavu aongezewe adhabuJapo mimi shabiki wa Yanga huyu mpumbavu aongezewe adhabu hata ya miaka 15 tena