Haji Manara alalamika Serikali kukaa kimya sakata lake na TFF ilhali ni mwanaCCM na 'Pro Government'

Haji Manara alalamika Serikali kukaa kimya sakata lake na TFF ilhali ni mwanaCCM na 'Pro Government'

Aliyekuwa msemaji wa Yanga, Haji Manara amelalamikia Serikali ikiwemo mawaziri kukaa kimya na kuruhusu yeye kuonewa ilihali ni 'Pro Government' na mwanaccm aliyesomeshwa na chama. Manara amehoji kama yeye anafanyiwa hayo, vipi kwa watu wa kawaida?

Nimejiuliza, kuna tabaka katika hii nchi sheria hazipaswi kuapply!

Na kweli CCM Kwa ujinga iko juu, nashangaa Kwa nini haimtetei mjinga mwenzao?
 
Zile Mahendra zinatumika kama refference ya integrity yake
Aliyekuwa msemaji wa Yanga, Haji Manara amelalamikia Serikali ikiwemo mawaziri kukaa kimya na kuruhusu yeye kuonewa ilihali ni 'Pro Government' na mwanaccm aliyesomeshwa na chama. Manara amehoji kama yeye anafanyiwa hayo, vipi kwa watu wa kawaida?

Nimejiuliza, kuna tabaka katika hii nchi sheria hazipaswi kuapply!

 
Aliyekuwa msemaji wa Yanga, Haji Manara amelalamikia Serikali ikiwemo mawaziri kukaa kimya na kuruhusu yeye kuonewa ilihali ni 'Pro Government' na mwanaccm aliyesomeshwa na chama. Manara amehoji kama yeye anafanyiwa hayo, vipi kwa watu wa kawaida?

Nimejiuliza, kuna tabaka katika hii nchi sheria hazipaswi kuapply!

Huyu bwege fara sana sana kwanza ni zeruzeru bwege huyu
 
Picha ya Manara
Hiyo hapo mkuu
FB_IMG_1706295099828.jpg
 
Back
Top Bottom