Haji Manara alalamika Serikali kukaa kimya sakata lake na TFF ilhali ni mwanaCCM na 'Pro Government'

Haji Manara alalamika Serikali kukaa kimya sakata lake na TFF ilhali ni mwanaCCM na 'Pro Government'

Aliyekuwa msemaji wa Yanga, Haji Manara amelalamikia Serikali ikiwemo mawaziri kukaa kimya na kuruhusu yeye kuonewa ilihali ni 'Pro Government' na mwanaccm aliyesomeshwa na chama. Manara amehoji kama yeye anafanyiwa hayo, vipi kwa watu wa kawaida?

Nimejiuliza, kuna tabaka katika hii nchi sheria hazipaswi kuapply!

[emoji38][emoji38][emoji38]
 
Huyu tapeli ni wa kumpuuza tuu.

malisa_gj-___CS-KDJgMnmF___-.jpg
 
Hii habari pengine mi ilinipita.

Kumbe Manara aliwahi kudhurumiwa na TFF?

Sasa tujadili tweets ya Mo na Babra au tumsikilize na mwanetu?
Manara hana shukrani, awashukuru hao TFF wamemuacha kwenye ile kesi nyingine ya ule ujinga alioufanya siku ya Mwananchi last year, yeye na Hersi walishtakiwa na TFF, lakini TFF wakaamua kukaa kimya mpaka leo..

Manara ajifunze kufunga mdomo wake kabla makaburi mengine hayajafukuliwa.
 
Usininikuu vibaya
Manara Yeye ni CCM sawa sawa kabisa
Manara Yeye ni Muislamu sawsaw kabisa
LAKINI yeye Manara siyo MZANZIBARI kabisa sawa

USILINGANISHE Hadhi Ya Manara na FEITOTO kwa sababu mmoja anatoka BARA mwingine KISIWANI walipo Mashehe wa Uamsho.

nimekubali maneno yako ndio maana fei toto aliachiwa na masheikh wa zanzibar walitolewa wakabaki masheik wa tanzania bara wanasota jela na mmojawapo akatoka juzi hana mguu mmoja
 
Aliyekuwa msemaji wa Yanga, Haji Manara amelalamikia Serikali ikiwemo mawaziri kukaa kimya na kuruhusu yeye kuonewa ilihali ni 'Pro Government' na mwanaccm aliyesomeshwa na chama. Manara amehoji kama yeye anafanyiwa hayo, vipi kwa watu wa kawaida?

Nimejiuliza, kuna tabaka katika hii nchi sheria hazipaswi kuapply!

HAPO kasema kweli kwamba yeye c mwananchi WA kawaida yeye NI CHIZI
 
Aliyekuwa msemaji wa Yanga, Haji Manara amelalamikia Serikali ikiwemo mawaziri kukaa kimya na kuruhusu yeye kuonewa ilihali ni 'Pro Government' na mwanaccm aliyesomeshwa na chama. Manara amehoji kama yeye anafanyiwa hayo, vipi kwa watu wa kawaida?

Nimejiuliza, kuna tabaka katika hii nchi sheria hazipaswi kuapply!

Kwani Serikali na CCM ndio walimtuma?
 
TFF wanambeba sana Haji Manara kwani kuna ile kesi yake nyingine aliyounganishwa na Hersi bado hawajaitolea maamuzi. Ni wakati sasa wamshukie kisawasawa asijishughulishe na mchezo wa mpira wa miguu maisha yake yote.
 
Manara hana shukrani, awashukuru hao TFF wamemuacha kwenye ile kesi nyingine ya ule ujinga alioufanya siku ya Mwananchi last year, yeye na Hersi walishtakiwa na TFF, lakini TFF wakaamua kukaa kimya mpaka leo..

Manara ajifunze kufunga mdomo wake kabla makaburi mengine hayajafukuliwa.
Alifanyaje?
 
Asamehe tu ashajifunza
Kama lengo ilikuwa kumfunza nadhani inatosha sasa
 
Aliyekuwa msemaji wa Yanga, Haji Manara amelalamikia Serikali ikiwemo mawaziri kukaa kimya na kuruhusu yeye kuonewa ilihali ni 'Pro Government' na mwanaccm aliyesomeshwa na chama. Manara amehoji kama yeye anafanyiwa hayo, vipi kwa watu wa kawaida?

Nimejiuliza, kuna tabaka katika hii nchi sheria hazipaswi kuapply!

no tuache uongo hajasema kuwa yeye ni pro govt wala ni mwana ccm
 
Back
Top Bottom