Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
[emoji38][emoji38][emoji38]Aliyekuwa msemaji wa Yanga, Haji Manara amelalamikia Serikali ikiwemo mawaziri kukaa kimya na kuruhusu yeye kuonewa ilihali ni 'Pro Government' na mwanaccm aliyesomeshwa na chama. Manara amehoji kama yeye anafanyiwa hayo, vipi kwa watu wa kawaida?
Nimejiuliza, kuna tabaka katika hii nchi sheria hazipaswi kuapply!
Manara hana shukrani, awashukuru hao TFF wamemuacha kwenye ile kesi nyingine ya ule ujinga alioufanya siku ya Mwananchi last year, yeye na Hersi walishtakiwa na TFF, lakini TFF wakaamua kukaa kimya mpaka leo..Hii habari pengine mi ilinipita.
Kumbe Manara aliwahi kudhurumiwa na TFF?
Sasa tujadili tweets ya Mo na Babra au tumsikilize na mwanetu?
Usininikuu vibaya
Manara Yeye ni CCM sawa sawa kabisa
Manara Yeye ni Muislamu sawsaw kabisa
LAKINI yeye Manara siyo MZANZIBARI kabisa sawa
USILINGANISHE Hadhi Ya Manara na FEITOTO kwa sababu mmoja anatoka BARA mwingine KISIWANI walipo Mashehe wa Uamsho.
HAPO kasema kweli kwamba yeye c mwananchi WA kawaida yeye NI CHIZIAliyekuwa msemaji wa Yanga, Haji Manara amelalamikia Serikali ikiwemo mawaziri kukaa kimya na kuruhusu yeye kuonewa ilihali ni 'Pro Government' na mwanaccm aliyesomeshwa na chama. Manara amehoji kama yeye anafanyiwa hayo, vipi kwa watu wa kawaida?
Nimejiuliza, kuna tabaka katika hii nchi sheria hazipaswi kuapply!
Kwani Serikali na CCM ndio walimtuma?Aliyekuwa msemaji wa Yanga, Haji Manara amelalamikia Serikali ikiwemo mawaziri kukaa kimya na kuruhusu yeye kuonewa ilihali ni 'Pro Government' na mwanaccm aliyesomeshwa na chama. Manara amehoji kama yeye anafanyiwa hayo, vipi kwa watu wa kawaida?
Nimejiuliza, kuna tabaka katika hii nchi sheria hazipaswi kuapply!
Japo mimi shabiki wa Yanga huyu mpumbavu aongezewe adhabu hata ya miaka 15 tena
Alifanyaje?Manara hana shukrani, awashukuru hao TFF wamemuacha kwenye ile kesi nyingine ya ule ujinga alioufanya siku ya Mwananchi last year, yeye na Hersi walishtakiwa na TFF, lakini TFF wakaamua kukaa kimya mpaka leo..
Manara ajifunze kufunga mdomo wake kabla makaburi mengine hayajafukuliwa.
Itoshe wapi na bado anazidi kuzinguaAsamehe tu ashajifunza
Kama lengo ilikuwa kumfunza nadhani inatosha sasa
no tuache uongo hajasema kuwa yeye ni pro govt wala ni mwana ccmAliyekuwa msemaji wa Yanga, Haji Manara amelalamikia Serikali ikiwemo mawaziri kukaa kimya na kuruhusu yeye kuonewa ilihali ni 'Pro Government' na mwanaccm aliyesomeshwa na chama. Manara amehoji kama yeye anafanyiwa hayo, vipi kwa watu wa kawaida?
Nimejiuliza, kuna tabaka katika hii nchi sheria hazipaswi kuapply!