Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Propaganda...
Usivyo na akili umeona ndoa za zai tu...Unajua huyu jamaa nilidhani anaakili but he is dumber than I thought.Manzi kaolewa zaidi ya Mara mbili kaachika,kazaa watoto kibao ni danga pro(tetesi)na tunavyojua manara anawivu wa kipuuzi na pia ni control freak unapiga Hesabu TU ya kutoa hakuna kitu hapo.
Uzee upi zaidi ukiwa na miaka +45 uzee upi unangoja?Ni kutokukuwa kiakili tu na kiki za kijinga kwa upande wake.Huyo Dotto Magari inaonekana kazi ya Uchawa anaiweza, angalia anavyomfanyia Uchawa Bugati 😅
Ila kwa style ya kuoa na kuacha ya Haji Manara, si atakuja kuwa na watoto 20 akifika Uzee 😜
Tuwaombee heri kwenye maisha yao ya Uchumba na ndoa
Zinaitwa ndoa za alfu tatu.Ndoa za kiislamu raha sana...unaoa unaacha unaoa tena...unaolewa unachwa unaolewa tena
Watachangiwq na wakina GSM na wengineoIla Mimi naona wanaigiza
dah!Maoni yangu bado ni yale yaleView attachment 2869541