Haji Manara ampinga bosi wake Ali Kamwe, ni dharau kwa wana Yanga

Haji Manara ampinga bosi wake Ali Kamwe, ni dharau kwa wana Yanga

njaakalihatari

JF-Expert Member
Joined
Feb 12, 2019
Posts
4,081
Reaction score
8,671
Kwani huyu jamaa anajiona yeye nani? Bosi wake Ally Kamwe keshasema Yanga ni timu kubwa ina wachezazji wakubwa ina uwekezaji mkubwa kuliko Al Hilal ambayo ndiyo kwanza inajitafuta kuweka sawa muonekano wao.

Wewe ni nani upinge bwana? Yaani Yanga iende Sudan kama underdog? Hii ni dharau kwa uwekezaji na usajili mkubwa uliofanyika na Hersi.

underdogs.JPG
ashura cheupe na hersi.jpg
 
Kwani huyu jamaa anajiona yeye nani? Bosi wake Ally Kamwe keshasema Yanga ni timu kubwa ina wachezazji wakubwa ina uwekezaji mkubwa kuliko Al Hilal ambayo ndiyo kwanza inajitafuta kuweka sawa muonekano wao.

Wewe ni nani upinge bwana? Yaani Yanga iende Sudan kama underdog? Hii ni dharau kwa uwekezaji na usajili mkubwa uliofanyika na Hersi.

View attachment 2382323View attachment 2382324
😆😆😆 Kwan mechi wanacheza lini ? Naona wana tapatapa mnooo utazani wamefungwa
 
Una shida mahali wewe. Siyo bure.
embu tuliza akili basi Topo topolo, kwa nini manara awatake wachezaji waende kama underdogs? kauli ipi sasa iko sahihi? yanga ni underdogs kwa al hilal au iko juu yake kwa kila kitu kama alivyosema ali kamwe?
 
embu tuliza akili basi Topo topolo, kwa nini manara awatake wachezaji waende kama underdogs? kauli ipi sasa iko sahihi? yanga ni underdogs kwa al hilal au iko juu yake kwa kila kitu kama alivyosema ali kamwe?
Kuna watu huwa mnamfuatilia sana huyo Haji Manara! Hivi ni mtu special kiasi hicho!

Maana kila atakachosema, au kuandika huko kwenye mitandao yake ya kijamii, basi lazima mje mtengeneze uzi wa kumjadili! "Manara kasema hivi" "Manara sijui yuko hivi"
 
Kuna watu huwa mnamfuatilia sana huyo Haji Manara! Hivi ni mtu special kiasi hicho!

Maana kila atakachosema, au kuandika huko kwenye mitandao yake ya kijamii, basi lazima mje mtengeneze uzi wa kumjadili! "Manara kasema hivi" "Manara sijui yuko hivi"
Huyu ambaye juzi ulisema ndiye kafundisha matusi wana simba leo unamsifia tena? embu nijibu swali langu basi ...kwa nini yanga aende sudan kama underdog? mimi nakubaliana na ali kamwe, yanga iende kwa kiburi, iviiiiimbe ifunguke na kushambulia, al hilal ni ndogo sana kwa yanga
 
Wakiwapress kikubwa - akili zimemrudia baada ya kuona mechi ya agosto vs mnyama anajifanya anatoa ushauri
 
Kuna watu huwa mnamfuatilia sana huyo Haji Manara! Hivi ni mtu special kiasi hicho!

Maana kila atakachosema, au kuandika huko kwenye mitandao yake ya kijamii, basi lazima mje mtengeneze uzi wa kumjadili! "Manara kasema hivi" "Manara sijui yuko hivi"
Hili nalo limekuuma sana,mwaka huu usiporukwa akili bahati sana
 
Kwani huyu jamaa anajiona yeye nani? Bosi wake Ally Kamwe keshasema Yanga ni timu kubwa ina wachezazji wakubwa ina uwekezaji mkubwa kuliko Al Hilal ambayo ndiyo kwanza inajitafuta kuweka sawa muonekano wao.

Wewe ni nani upinge bwana? Yaani Yanga iende Sudan kama underdog? Hii ni dharau kwa uwekezaji na usajili mkubwa uliofanyika na Hersi.

View attachment 2382323View attachment 2382324
Wawili wapendanao katika hisia kali za penzi lao
 
Hili nalo limekuuma sana,mwaka huu usiporukwa akili bahati sana
Tatizo lenu hamtaki kuambiwa ukweli. Kwa hiyo nilichokisema ni uongo, au kina ukweli ndani yake?

Hizi mada za Haji Manara zina tija gani humu? Kila siku Haji Manara amesema hivi!! Haji Manara sijui bla bla gani!! Nikiwahoji, mnapaniki!!
 
Back
Top Bottom