Ghazwat
JF-Expert Member
- Oct 4, 2015
- 23,718
- 66,267
Katika hao Vijana kuna mmoja alisema kuwa Yanga ina Quality kubwa na Uwekezaji na fedha kuliko Al HilalYanga vurugu tupu, kuanzia nje ya uwanja mpaka ndani, klabu haina watu wanaojielewa kuendesha timu kiuweledi, wamejaa vijana wenye mihemko tu.
Nadhani ujana muda fulani husumbua mabarobaro wa kileo.