Mjini kuzuriKuna tetesi kwamba mke mdogo wa Haji Manara alimtoroka Haji Manara usiku akaenda kulala 5star Hotel.
Je Haji anachapiwa?
Ndio shida ya kuanika wake zako mitandaoni na kuwaleta mbele ya midume yenye fedha zao.
Kwa wale wapenzi wa Simba, nawakumbusha kwamba Simba iko Dubai na Tajiri wao, ila haihusiani
So what?Kuna tetesi kwamba mke mdogo wa Haji Manara alimtoroka Haji Manara usiku akaenda kulala 5star Hotel.
Je Haji anachapiwa?
Ndio shida ya kuanika wake zako mitandaoni na kuwaleta mbele ya midume yenye fedha zao.
Kwa wale wapenzi wa Simba, nawakumbusha kwamba Simba iko Dubai na Tajiri wao, ila haihusiani
Umeanza kwa kuuliza, lakini ghafla umekuwa kama una uhakika hadi ukaona sababu ya kuchapiwa ni kuanika wake zake mitandaoni..!! Tuna safari ndefu sanaKuna tetesi kwamba mke mdogo wa Haji Manara alimtoroka Haji Manara usiku akaenda kulala 5star Hotel.
Je Haji anachapiwa?
Ndio shida ya kuanika wake zako mitandaoni na kuwaleta mbele ya midume yenye fedha zao.
Kwa wale wapenzi wa Simba, nawakumbusha kwamba Simba iko Dubai na Tajiri wao, ila haihusiani
AnajiulizaUmeanza kwa kuuliza, lakini ghafra umekuwa kama una uhakika hadi ukaona sababu ya kuchapiwa ni kuanika wake zake mitandaoni..!! Tuna safari ndefu sana
Ila na wenyewe muziki wanaupata maana ukiingia kule leba shughuli yao kule ni pevu kiasi kwamba usipojikaza waweza zirai [emoji16]Hawa viumbe ndio walisababisha hadi leo wanaume tunakula kwa jasho. [emoji119]