Accumen Mo
JF-Expert Member
- May 15, 2022
- 18,036
- 39,882
Huyu mkubwa ila anashindwa na wale madogo wakina Ally Kamwe, Priva , Ibwe na Ally ..Hao vijana wana busra ila yeye kazi kuropoka na kik za kishamba.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Umechelewa sana kumshtukia, dume hilo. Ila hii tabia ya vijana wa kiume kutumie id za kike imezidi sana humu jf, hiki ni kiashiria cha vijana kuharibika/kuharibiwa. Huko mbeleni tutakuwa na mashoga kila eneo.Mshangazi ushanikatisha tamaa mbona una uandishi wa kiume
Huyu mzee naona ule ugonjwa umeshafika kwenye ubonga na ku delete kumbukumbu nyingi,amesahau lile bwato alilotoa juu ya Barbara hadi kumtishia maisha ? Uzee,kale kagonjwa na ulevi wa bangi na shisha vimemuathiri sana huyu mzee.Wakuu Kwema!
Bwana Manara amendelea kutema nyongo sasa ameweka wazi ishu yake ya kuondoka Simba SC, nani aliyemsababisha asepe ndani ya klabu hiyo
==================
"Mimi Simba sikuondoka kama wengi wanavyodhani sababu ni ya Mo, Mimi Simba nimeondoka sababu ya msingi wala sio Barbra kama watu wengi wanavyodhani. Mimi alie nifanya niondoke Simba ni Salim Try Again!.
Yaani alini tengenezea mazingira magumu mimi kufanya...very very powerful (Try Again) yaani Simba ni yeye, yeye ni Simba kuliko mtu yeyote Kwa kipindi kile.
Alikuwa na nguvu kubwa katika ushawishi Kwa maana ya Mohammed na Barbra"
Kumbe kamwagwa?, zile story za kuwa anatafutiwa chaka zilikuwa kamba tu?.Zungu ameona attention yake imeshuka tokea yanga wampige chini kwa hyo anatafuta comeback
Kwahiyo alitusaidia kujua kwamba mhindi ni tapeli?? Au feki check bila Manara ingejileta??Kuna voice notes ilivuja akimsakama barbra kabla ya kombe la azam conderation kule kigoma
Baadae akaitisha press conference kumsagia kunguni dewji mpaka dewji akaja na check fake ukweli ni kwamba manara ni mtu wa hovyo sana
Haji anaharibu sana. Haeleweki anataka nini. Au anatumika kwa nia ovu? Haji ni mfitini. Sitamani hata awe msemaji wetu wananchi. Aendelee kwenye kuhamasisha ila awekewe mipaka.Baada ya kumsikiliza Haji Manara leo katika Radio ya Clouds, kaongea mengi lakini hakuna jipya ila kuna kitu kimenigusa. Leo kasema nitawaambia ukweli sababu kuu ya mimi kuondoka Simba ni Try again sio Barbra wala Mo. Je baada ya hii kauli haoni sababu ya kuwaomba msamaha rasmi Mo na Barbra? sababu aliwazushia uwongo uliofanya baadhi ya watu kuamini na kuwatukana viongozi.
Kwanini leo ndio anakuja kumtaja Try again ndiye sababu na kwakuwa alikuwa anamuonea wivu umaarufu wake, siku za nyuma alisema ni Mo. Ukiwa na mtu wa namna hii kigeugeu basi huyu sio mtu wa kuaminika maana huko mbele tutamuamini vipi tena kwa kauli zake kama hizi. Watangazaji wameshindwa kumbana na maswali magumu. Leo unamshutuma Salim Abdalla try again lakini miaka mitatu nyuma ulisema ni Barbra na Mo je uko tayari kuwaomba msamaha hadharani?
Dah! Watu mna maneno.Pale usaliti unapokusaliti mwenyewe
Kweli ndugu mwandiko wake sio wa kike ni wa kiume kabisaaa.Mshangazi ushanikatisha tamaa mbona una uandishi wa kiume
Domokaya upepo umekataBaada ya kumsikiliza Haji Manara leo katika Radio ya Clouds, kaongea mengi lakini hakuna jipya ila kuna kitu kimenigusa. Leo kasema nitawaambia ukweli sababu kuu ya mimi kuondoka Simba ni Try again sio Barbra wala Mo. Je baada ya hii kauli haoni sababu ya kuwaomba msamaha rasmi Mo na Barbra? sababu aliwazushia uwongo uliofanya baadhi ya watu kuamini na kuwatukana viongozi.
Kwanini leo ndio anakuja kumtaja Try again ndiye sababu na kwakuwa alikuwa anamuonea wivu umaarufu wake, siku za nyuma alisema ni Mo. Ukiwa na mtu wa namna hii kigeugeu basi huyu sio mtu wa kuaminika maana huko mbele tutamuamini vipi tena kwa kauli zake kama hizi. Watangazaji wameshindwa kumbana na maswali magumu. Leo unamshutuma Salim Abdalla try again lakini miaka mitatu nyuma ulisema ni Barbra na Mo je uko tayari kuwaomba msamaha hadharani?
Makofi ya komwe tena 🤣🤣🤣🤣Yani amemtetea huku anamnyuka makofi ya komwe.
WordUnapokuwa huaminiki, Adui wa adui yako anaogopa kuwa rafiki yako na adui yako anakuwa rafiki wa adui yako mwishowe na rafiki yako anashawishika kuwa adui yako.
Ila kwenye rosti la mama ntilie anaweza akawa anafaaHuyo ni nyanya mbovu tayari.
Hana ushawishi tena,hafai kwa kachumbari,mchuzi Wala mboga za majani. Kila mahali anakuwa rejected.
Huyo mbulukenge abaki na yanga yakeBaada ya kumsikiliza Haji Manara leo katika Radio ya Clouds, kaongea mengi lakini hakuna jipya ila kuna kitu kimenigusa. Leo kasema nitawaambia ukweli sababu kuu ya mimi kuondoka Simba ni Try again sio Barbra wala Mo. Je baada ya hii kauli haoni sababu ya kuwaomba msamaha rasmi Mo na Barbra? sababu aliwazushia uwongo uliofanya baadhi ya watu kuamini na kuwatukana viongozi.
Kwanini leo ndio anakuja kumtaja Try again ndiye sababu na kwakuwa alikuwa anamuonea wivu umaarufu wake, siku za nyuma alisema ni Mo. Ukiwa na mtu wa namna hii kigeugeu basi huyu sio mtu wa kuaminika maana huko mbele tutamuamini vipi tena kwa kauli zake kama hizi. Watangazaji wameshindwa kumbana na maswali magumu. Leo unamshutuma Salim Abdalla try again lakini miaka mitatu nyuma ulisema ni Barbra na Mo je uko tayari kuwaomba msamaha hadharani?
Mshangazi!!!!Mwache mzungu ateleze kwenye ulimi wake
Hajawahi kupatia huyo