Haji Manara anahitaji kuomba msamaha, asema sababu ya kuondoka Simba ni Try Again na si Barbara wala Mo Dewji

Haji Manara anahitaji kuomba msamaha, asema sababu ya kuondoka Simba ni Try Again na si Barbara wala Mo Dewji

Ameona Try Again hayupo kwenye position ile ya mwanzo na mashabiki walipiga kelele atoke basi Manara andhani yeye kumchafua Try Again wanasimba watamwamini yeye. Yeye mwenyewe alikuwa analilia kwenye voice notes akimlaumu Mo na Babra. Manara ni mtu wa hovyo anafaa kuogopwa kama ukoma, asijihusishe na mambo ya Simba wala wasimkaribishe, hapo anaanza kujipendekeza na ikitokea Simba akampiga Yanga derby ijayo atawananga sana. Manara asipewe nafasi tena Simba akatafute changamoto nyingine huko Azam au Fountain gate.
 
Kuna voice notes ilivuja akimsakama barbra kabla ya kombe la azam conderation kule kigoma

Baadae akaitisha press conference kumsagia kunguni dewji mpaka dewji akaja na check fake ukweli ni kwamba manara ni mtu wa hovyo sana
Aaahaaa
 
Unapokuwa huaminiki, Adui wa adui yako anaogopa kuwa rafiki yako na adui yako anakuwa rafiki wa adui yako mwishowe na rafiki yako anashawishika kuwa adui yako.
Aaahaaaa
 
  • Thanks
Reactions: Tsh
Wakuu Kwema!

Bwana Manara amendelea kutema nyongo sasa ameweka wazi ishu yake ya kuondoka Simba SC, nani aliyemsababisha asepe ndani ya klabu hiyo
==================

"Mimi Simba sikuondoka kama wengi wanavyodhani sababu ni ya Mo, Mimi Simba nimeondoka sababu ya msingi wala sio Barbra kama watu wengi wanavyodhani. Mimi alie nifanya niondoke Simba ni Salim Try Again!.

Yaani alini tengenezea mazingira magumu mimi kufanya...very very powerful (Try Again) yaani Simba ni yeye, yeye ni Simba kuliko mtu yeyote Kwa kipindi kile.

Alikuwa na nguvu kubwa katika ushawishi Kwa maana ya Mohammed na Barbra"

Mnafiki per se
 
Baada ya kumsikiliza Haji Manara leo katika Radio ya Clouds, kaongea mengi lakini hakuna jipya ila kuna kitu kimenigusa. Leo kasema nitawaambia ukweli sababu kuu ya mimi kuondoka Simba ni Try again sio Barbra wala Mo. Je baada ya hii kauli haoni sababu ya kuwaomba msamaha rasmi Mo na Barbra? sababu aliwazushia uwongo uliofanya baadhi ya watu kuamini na kuwatukana viongozi.

Kwanini leo ndio anakuja kumtaja Try again ndiye sababu na kwakuwa alikuwa anamuonea wivu umaarufu wake, siku za nyuma alisema ni Mo. Ukiwa na mtu wa namna hii kigeugeu basi huyu sio mtu wa kuaminika maana huko mbele tutamuamini vipi tena kwa kauli zake kama hizi. Watangazaji wameshindwa kumbana na maswali magumu. Leo unamshutuma Salim Abdalla try again lakini miaka mitatu nyuma ulisema ni Barbra na Mo je uko tayari kuwaomba msamaha hadharani?
Hapo ndiyo anaomba msamaha kijanja kwa mo
 
Huyu mkubwa ila anashindwa na wale madogo wakina Ally Kamwe, Priva , Ibwe na Ally ..Hao vijana wana busra ila yeye kazi kuropoka na kik za kishamba.
Ally Kamwe Hana busara labda kama ameanza kujifunza kuwa na busara.
 
  • Kicheko
Reactions: Tui
Huyo mshamba wa kkoo ndo atajua sasa simba na yanga ndo zilikuwa zinampa attention!!..bila hizo timu ni mwehu tu kmmmk
 
  • Thanks
Reactions: Tui
Back
Top Bottom