Haji Manara anapata wapi pesa za kuchezea?

Umeongea ambacho nilitaka kusema, mtaji wa Haji Manara ni public sympathy sababu yeye ni special group pale alipo halafu simba ilimjengea umaarufu mkubwa sana. Toka atolewe Simba ameamua ku capitalize kwenye upepo wa kuwa alionewa sana.

Akapewa ubalozi na Azam na Asas dairies. Hajakaa sawa GSM nao wakampa mkataba akaja kuoa mke kwa mbwembwe kuionesha Simba kuwa bila wao anaoa kifahari hela anazo akala michango kibao.. Mara kidogo ameachwa na mke kalia lia we kwamba kaonewa 😂😂😂 akapata demu mwengine ndio anataka amuoe tena ale michango.
 
🏳️‍🌈🏳️‍🌈🏳️‍🌈🏳️‍🌈🏳️‍🌈🏳️‍🌈🏳️‍🌈🏳️‍🌈🏳️‍🌈🏳️‍🌈

🚩🚩🚩🚩🚩🚩🚩🚩🚩🚩

🏳️‍🌈🏳️‍🌈🏳️‍🌈🏳️‍🌈🏳️‍🌈🏳️‍🌈🏳️‍🌈🏳️‍🌈🏳️‍🌈🏳️‍🌈

🚩🚩🚩🚩🚩🚩🚩🚩🚩🚩
 
Mzee tafuta hela uache makasiriko
Haya ndio maisha aliyochagua na ndio yanampa endorsements
 
Kwa hvyo Ni mradi wake mausuzi kuingiza kipata kitapeli
Manara hajaanza leo utapeli Alishatimuliwa ccm Mkoa wa DSM kwa utapeli , Picha za namna akivyopigwa pingu zimo humu jf

Yaani mpaka ccm ikufukuze kwa wizi basi ujue wewe ni balaa , huyu Decemba atatangaza ndoa nyingine ili akina GSM na Mzee wa Msoga wamchangie tena hela , hana aibu yaani
 
Chai
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Kama anajua Hilo anachukiaje ...!!? Mungu kabisa ... Naamini katika Mungu lakini Sio katika dini.... Ukiishi katika "Mfinyango wa Bajeti yako" tunaita "Budget Constraint"...hautochukia Bajeti ya jirani... Tujitafute jameni...
Kweli mkuu sioni ubaya wa anachokifanya haji maana ndio namna yake ya kutengeneza kipato.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…