dr namugari
JF-Expert Member
- Nov 19, 2022
- 10,466
- 18,206
- Thread starter
-
- #121
Hao ndio matapeli kbsaaa kina samiaa napata kinyaaa nikisikiaa hayo majina sitaki kusiki kitu na lolote liwapateHalituhusu bwana, bora tuwafuatilie kina samia na mawaziri wake ,maana hao wanaishi kwa kodi zetu.
subiri zimuishie mpaka smartphone ya kuposti huo ufahari wake wa sasa atakosa halafu ndio aje kutia hurumaaaaa tena kwa jamii imchangie 🐒Kila mwaka jamaa anafanya matukio ya ajabu ajabu kama siyo kuoa Ni birthday nw Kama siyo birty Basi nikuoa, leo January 18 Ni birthday yake wkt huo huo kutakuwa na tukio la engagement na bint tapeli wa kutoka Tanga muweza
Tukio pia litakuwa live mubashara DStv amelipia milion 50 tukio liruke live
Hoja
Hivi mwanaume mzima unafanya birthday Kila mwaka kwa kuteketeza mamilion ya shilingi for a single night ? Alfi baadae mwezi miwili unachwa na kuanza kulalaimikia wanawake
HV wazazi wake hawawezi kukaa nae chini wamueleze ukweli kuwa SASa mwanangu cheupe tumechoka na.ndoa zako za Kila mwaka Safari hi iwe ya mwisho
Huwenda manara Ana biashara yake nyuma inamuingizia pesa chafuu na Kisha kuzitumia kwenye mamb Kama haya
Kuna mijitu itanitukana kwamba nitafute pesa ,sawa pesa natafuta San ila siyo kutanya ujinga na matukio ya hovyo hovyo
View attachment 2875792
Liko tatizo wee ulioni s umefungwa akili
Kbsaa mkuu alfu mbaya Zaid hata kujuwa Bei ya tofali hajui anaishi kwa gsm buresubiri zimuishie mpaka smartphone ya kuposti huo ufahari wake wa sasa atakosa halafu ndio aje kutia hurumaaaaa tena kwa jamii imchangie [emoji205]
inashangaza sana siku izi mtu mzima kujifanya mtoto [emoji205]
Tafuta na wee acha kufatilia mipira na kwahusudu kina balekeKwamba akikwama mimi nitakufa? Acheni mambo ya watu tumieni mda kutafuta hela
Mwakan atie pesa wapi mtu mwenye gubu hvBado mwakani
inafurahisha na inachekesha ila yajayo yanasikitisha na kutia hurumaaaaa zaid dah 🐒Kbsaa mkuu alfu mbaya Zaid hata kujuwa Bei ya tofali hajui anaishi kwa gsm bure
Wewe s unatetea kwa sababu Ni dini moja Ila ingekuta mgalatia ungeshuka jumla jumlaNilivyoliona mimi tukio zima ni biashara ile.
Haji pale anatengeneza pesa ndefu.
Kwa wenye kuekewa tu show business ni nini.
Temeke wailes ndo familia inapoishi pale karibia na shule ya walemavu Temeke teacher centerHaji anaishi temeke au Masaki? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Muache kijana ale bataTukio amelilipia najuwa Jana mlikesha kufatilia upuuz wake
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] hata kodi pia hajui.Namtumbo masaki Ni kwa gsm amepewwa apartment bure aishi
Yeye hat Bei ya tofali hajui
Mkuu ,pengine anawatambishia walangala (lubino) wezake na sijajua anawasaidiajeBraza una akili Sana ubarikiwe nataka watu wenye maono Kama wew humu siyo mijitu inasema tafuta pesa
Ko familia inaishi Temeke, yeye pekee anaishi Masakii? WoiiiiihTemeke wailes ndo familia inapoishi pale karibia na shule ya walemavu Temeke teacher center
Hayakuhusu. Tafuta hela wewe!Kila mwaka jamaa anafanya matukio ya ajabu ajabu kama siyo kuoa Ni birthday nw Kama siyo birty Basi nikuoa, leo January 18 Ni birthday yake wkt huo huo kutakuwa na tukio la engagement na bint tapeli wa kutoka Tanga muweza
Tukio pia litakuwa live mubashara DStv amelipia milion 50 tukio liruke live
Hoja
Hivi mwanaume mzima unafanya birthday Kila mwaka kwa kuteketeza mamilion ya shilingi for a single night ? Alfi baadae mwezi miwili unachwa na kuanza kulalaimikia wanawake
HV wazazi wake hawawezi kukaa nae chini wamueleze ukweli kuwa SASa mwanangu cheupe tumechoka na.ndoa zako za Kila mwaka Safari hi iwe ya mwisho
Huwenda manara Ana biashara yake nyuma inamuingizia pesa chafuu na Kisha kuzitumia kwenye mamb Kama haya
Kuna mijitu itanitukana kwamba nitafute pesa ,sawa pesa natafuta San ila siyo kutanya ujinga na matukio ya hovyo hovyo
View attachment 2875792
Familia yake na baba ake wanakaa hapo pamoja na yeye mwemyewe.Ko familia inaishi Temeke, yeye pekee anaishi Masakii? Woiiiiih
Halipi kwa pesa zake. Hujaona sponsors kwenye event yake. Hao ndo wanalipa.Hawa jamaa wana mambo yao nyuma ya pazia, haoni tatizo kulipia 'live coverege' ya birthday yake.
[emoji1787][emoji23][emoji1787][emoji23][emoji23][emoji23] eti masaki kwa mwanume mwezake gsmKo familia inaishi Temeke, yeye pekee anaishi Masakii? Woiiiiih
Na wewe unaamini kabisa kwamba live coverage ya DSTV inalipiwa m 50?Kwahyo hujui jna aliojiwa na clous na kusema kuwa yeye amelipia tukio Hilo live DStv milion 50 iki mradi ajenge na asihribu brand yake kubwa