Haji Manara anapata wapi pesa za kuchezea?

Halituhusu bwana, bora tuwafuatilie kina samia na mawaziri wake ,maana hao wanaishi kwa kodi zetu.
Hao ndio matapeli kbsaaa kina samiaa napata kinyaaa nikisikiaa hayo majina sitaki kusiki kitu na lolote liwapate
 
subiri zimuishie mpaka smartphone ya kuposti huo ufahari wake wa sasa atakosa halafu ndio aje kutia hurumaaaaa tena kwa jamii imchangie 🐒

inashangaza sana siku izi mtu mzima kujifanya mtoto 🐒
 
subiri zimuishie mpaka smartphone ya kuposti huo ufahari wake wa sasa atakosa halafu ndio aje kutia hurumaaaaa tena kwa jamii imchangie [emoji205]

inashangaza sana siku izi mtu mzima kujifanya mtoto [emoji205]
Kbsaa mkuu alfu mbaya Zaid hata kujuwa Bei ya tofali hajui anaishi kwa gsm bure
 
Hayakuhusu. Tafuta hela wewe!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…