Haji Manara anatafuta nini zaidi? Nani yuko nyuma yake?

Mimi sijawahi kupenda mambo ya Haji lkn mfano uliona mabomu pale uwanjani? au vurugu iliyo sababishwa na Haji? je kuhusu kutoa nakala ya hukumu kuna ugumu gani? haya kuna kesi ngapi hapo TFF hazija tolewa hukumu iweje hii imekua haraka nipe majibu
 
Mjinga sana huyu, anataka kuitumia Yanga,asiichafue Yanga Kwa upuuzi wake
 
Sheria zinasema ndani ya Massa 72,muadhibiwa inabidi apate nakala ya hukumu yake Ila mpk sasa hajapewa,na ameenda kuomba nakala ya hukumu Mara Tatu bila kupewa
Mkuu, kwenye hili sakata Ni ngumu kuhukumu bila kubalance, yawezekana TFF wanamatatizo ya kiutendaji, lakin nani ajuaye kuwa hayo yote aliyoyasema Manara Ni kweli ? Maana TFF washakanusha .
 
Mamulaka sio kukandamiza watu nikufuata sheria
Yap, unaheshimu mamlaka, then unafuata sheria, suala la Manara lilitakiwa kuamliwa kisheria zaidi, sasa ile Yale maneno yote kwenye press ya nini kama si kutafuta huruma kwa watu kitu ambacho hakina msaada!
 
Manara kwanini aliitisha press ya kuomba radhi baada ya kwenda kwa Msomali,ujinga mwingi sana........
Hivyo ni vitu vidogo sana umesikia sababu ya Yanga kucheza bila mashabiki mechi ya Rivers? Manara ni chizi ila kuna mda anaongea ukweli, Karia ni Rais wa football inakuaje anaupanda tena mechi ya final,
 
Mkuu, kwenye hili sakata Ni ngumu kuhukumu bila kubalance, yawezekana TFF wanamatatizo ya kiutendaji, lakin nani ajuaye kuwa hayo yote aliyoyasema Manara Ni kweli ? Maana TFF washakanusha .
Ulitaka waweke mdahalo? Siku TFF wanatoa hukumu si walikuja pekeyao mbona haukuhoji mtuhumiwa yupo wapi?
 
Hivyo ni vitu vidogo sana umesikia sababu ya Yanga kucheza bila mashabiki mechi ya Rivers? Manara ni chizi ila kuna mda anaongea ukweli, Karia ni Rais wa football inakuaje anaupanda tena mechi ya final,
Tifuatifua Wana yao ila Manara alienda Kwa Karia kufanya nini mpaka akaitisha press ya kuomba radhi kama anayajua hayo?
 
Yeye alifata sheria ipi? Je hapo nyuma amewahi kuwa na historia ya kufanya makosa, aliadhibiwa vipi?

Huyu mtu hata historia yake tu inamhukumu, sijui ulimaanisha sheria gani.
Nmekuuliza uliona mabomu pale uwanjani? tuanzie hapo
 
Huyu Jamaa alimtukana Yule Dada wa Simba kale kadada kalikaa kimyaaaa bila hta kujibu ...Alijua Manara Ni mtu wa Aina gan

Angekaa kimya akate rufaa kimya kimya


Sent from my TECNO KD6 using JamiiForums mobile app
 
Huyu anapenda kuiomba serikali imlinde.
 
Tifuatifua Wana yao ila Manara alienda Kwa Karia kufanya nini mpaka akaitisha press ya kuomba radhi kama anayajua hayo?
Kuomba radhi haiwezi kua sababu ya kumuhukumu mtu na kanuni ambazo hazija sajiliwa, haya niambie tangu uanze kufatilia mpira nani kasha hukumiwa 20M ? Kuna kosa kubwa zaidi ya kugomea mechi mbona hawakupewa faini kubwa kiasi hicho?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…