pandagichiza
JF-Expert Member
- Jul 9, 2013
- 5,248
- 3,663
Sasa kuambiwa Yanga wate wana mavi ndio apaniki hivyo. Si angechukulia utani tu?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji16][emoji16][emoji16]
Wakuu wapenzi wa soka na haki za binadamu hili linawahusu!
Psychologically, Manara inaonekana ana jaziba juu ya adhabu aliyopewa, yawezekana ameonewa lakin professionally hatumii hekima, Ni kama kuna mtu (ambaye anamaslahi binafsi na TFF) Yuko nyuma yake anampampu, maana pengine anajiona anawaexpose Karia na TFF lakini kwa msomi anaonekana anaropoka!
Kwa nini anataka attention ya watu kwa social media na si kufuata utaratibu wa kukata rufaa kupinga maamuzi?
Kwanini pamoja na maamuzi yaliyotolewa bado anatoa kauli za kuwa against nayo kana kwamba TFF na Manara mkubwa Ni Manara?
Kwanini Manara badala ya kutoa misimamo itakayoenda kuzima Moto lakini anatokwa na maneno ya kuukoleza Moto? Ni nani aliye nyuma ya pressure aliyonayo Manara?
View attachment 2303446View attachment 2303451
Utani kivipiSasa kuambiwa Yanga wate wana mavi ndio apaniki hivyo. Si angechukulia utani tu?
Hamna uo ubavu mashabiki wa simbaTunakoelekea atapigwa ban ya maisha, maana mwanakulitafuta mwanakulipewa
Hakuna mahali rais wa TFF amepewa haki ya kutukana watuKitabia Haji ni mtu asiyekubali kushindwa.
Najaribu kuwaza hivi Rais Magufuli kipindi kile alikuwa akitukana na kudhalilisha viongozi wa chini yake kila walipovurunda kwenye utendaji, Sasa nao wangeweka kibesi na kumdindia Rais - ni nini kingetokea?.
Ukiwa mtoto utaendelea kuwa myonge tu hata kama Baba yako anachokifanya ni cha kukuonea. Usipomheshimu Baba yako anaweza kukuchapa viboko na matusi juu. Watoto watukutu ndio wenye ujasiri wa kumrudishia matusi Baba.
Nashauri kamati ya TFF Imuongezee adhabu huyu mtu, maana bado anajiona ni mkubwa na yupo juu ya zaidi ya TFF iliyomuadhibu.
ulikua nae wakati anaenda kufata hizo nakala au unaropoka tu ili uonekaneSheria zinasema ndani ya Massa 72,muadhibiwa inabidi apate nakala ya hukumu yake Ila mpk sasa hajapewa,na ameenda kuomba nakala ya hukumu Mara Tatu bila kupewa
Ko ukimuhukumu mtu unaficha nakala ya hukumuWapi aliposema ameomba nakala ya hukumu akanyimwa?
Unakata rufaa ikiwa unaomba nakala ya hukumu na hupewi unakata rufaa vp? Labda kuna njia mpya ya kukata rufaa bila nakala ya hukumu tuambie Ili tumlaumu jamaaHaji anataka huruma, jambo la kisheria angelimaliza kisheria kuna mamlaka za juu zaidi ya TFF Angekata rufaa tu basi. Binafsi sidhani kama hii itasaidia kitu zaid ya kuchochea moto
Wewe ndo ujui ukiamini mamlaka ni kuamuru na kuongoza bila ya sheriaKifupi Manara hajui maana ya mamlaka
Haji anaweweseka sana. Pres ya leo ndio ameharibu zaidi.Hakuna mahali rais wa TFF amepewa haki ya kutukana watu
Sheria gani imevunjwa?Wewe ndo ujui ukiamini mamlaka ni kuamuru na kuongoza bila ya sheria
Wamejaa vinyesi ndio shida mwikoWanayanga na mavi yao kwny chupi duh.