Haji Manara anatafuta nini zaidi? Nani yuko nyuma yake?

Haji Manara anatafuta nini zaidi? Nani yuko nyuma yake?

Wakuu wapenzi wa soka na haki za binadamu hili linawahusu!

Psychologically, Manara inaonekana ana jaziba juu ya adhabu aliyopewa, yawezekana ameonewa lakin professionally hatumii hekima, Ni kama kuna mtu (ambaye anamaslahi binafsi na TFF) Yuko nyuma yake anampampu, maana pengine anajiona anawaexpose Karia na TFF lakini kwa msomi anaonekana anaropoka!

Kwa nini anataka attention ya watu kwa social media na si kufuata utaratibu wa kukata rufaa kupinga maamuzi?

Kwanini pamoja na maamuzi yaliyotolewa bado anatoa kauli za kuwa against nayo kana kwamba TFF na Manara mkubwa Ni Manara?

Kwanini Manara badala ya kutoa misimamo itakayoenda kuzima Moto lakini anatokwa na maneno ya kuukoleza Moto? Ni nani aliye nyuma ya pressure aliyonayo Manara?

View attachment 2303446View attachment 2303451

Nswaambia hakuna atakaemuweza Haji…
Kuna Jitu kuuubwa liko nyuma yake…
Kina Wambura walifungiwa now wapo Kimyaa yeye anapiga Kifua na Inawezekana amehakikishiwa aendelee kuongea atakavyo[emoji40][emoji40][emoji1787][emoji12][emoji12]
 
Kitabia Haji ni mtu asiyekubali kushindwa.

Najaribu kuwaza hivi Rais Magufuli kipindi kile alikuwa akitukana na kudhalilisha viongozi wa chini yake kila walipovurunda kwenye utendaji, Sasa nao wangeweka kibesi na kumdindia Rais - ni nini kingetokea?.

Ukiwa mtoto utaendelea kuwa myonge tu hata kama Baba yako anachokifanya ni cha kukuonea. Usipomheshimu Baba yako anaweza kukuchapa viboko na matusi juu. Watoto watukutu ndio wenye ujasiri wa kumrudishia matusi Baba.

Nashauri kamati ya TFF Imuongezee adhabu huyu mtu, maana bado anajiona ni mkubwa na yupo juu ya zaidi ya TFF iliyomuadhibu.
Hakuna mahali rais wa TFF amepewa haki ya kutukana watu
 
Haji anataka huruma, jambo la kisheria angelimaliza kisheria kuna mamlaka za juu zaidi ya TFF Angekata rufaa tu basi. Binafsi sidhani kama hii itasaidia kitu zaid ya kuchochea moto
 
Sheria zinasema ndani ya Massa 72,muadhibiwa inabidi apate nakala ya hukumu yake Ila mpk sasa hajapewa,na ameenda kuomba nakala ya hukumu Mara Tatu bila kupewa
ulikua nae wakati anaenda kufata hizo nakala au unaropoka tu ili uonekane
 
Haji anataka huruma, jambo la kisheria angelimaliza kisheria kuna mamlaka za juu zaidi ya TFF Angekata rufaa tu basi. Binafsi sidhani kama hii itasaidia kitu zaid ya kuchochea moto
Unakata rufaa ikiwa unaomba nakala ya hukumu na hupewi unakata rufaa vp? Labda kuna njia mpya ya kukata rufaa bila nakala ya hukumu tuambie Ili tumlaumu jamaa
 
Wewe ndo ujui ukiamini mamlaka ni kuamuru na kuongoza bila ya sheria
Sheria gani imevunjwa?
Iweke hadharani hapa uthibitishe usemi wako!

Pili, Mimi siko upande wowote, ishu Ni kuwa Manara angefuatilia kisheria zaidi na sio kuzungumza mambo mengi yanayoenda kuchochea hukumu yake
 
Back
Top Bottom