Chukwu emeka
JF-Expert Member
- Jan 12, 2018
- 24,314
- 38,919
Kama Yanga wanampenda sana au Hersi anampenda sana ampe kazi hata ya usemaji wa bao, rede au netball cos Yanga ni Sports club....... inasikitisha sana kutuletea LUNATIC Jangwani
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unamjua vizuri Manara? Au unamsikia tu? Jamaa kwa kutunga stori za uongo hajambo . Ukute hata hiyo nakala ya hukumu hajawahi omba au alishapewa ila kwenye vyombo vya HabarI anasema hajawahi pewa.Sheria zinasema ndani ya Massa 72,muadhibiwa inabidi apate nakala ya hukumu yake Ila mpk sasa hajapewa,na ameenda kuomba nakala ya hukumu Mara Tatu bila kupewa
Anafutilia vp ikiwa kaomba nakala ya hukumu akate rufaa wahuni Wana zingua afanye niniSheria gani imevunjwa?
Iweke hadharani hapa uthibitishe usemi wako!
Pili, Mimi siko upande wowote, ishu Ni kuwa Manara angefuatilia kisheria zaidi na sio kuzungumza mambo mengi yanayoenda kuchochea hukumu yake
Leo katibu wa TFF kamjibu manara ingekuwa anayo sema ni uongo angesema ila kauchuna Ina maana ni kweli hawajatoa nakala ya hukumu yaani kifupi wanaendesha mambo kimaghumashi tffUnamjua vizuri Manara? Au unamsikia tu? Jamaa kwa kutunga stori za uongo hajambo . Ukute hata hiyo nakala ya hukumu hajawahi omba au alishapewa ila kwenye vyombo vya HabarI anasema hajawahi pewa.
Sent from my Infinix X612 using JamiiForums mobile app
Mimi sijawahi kupenda mambo ya Haji lkn mfano uliona mabomu pale uwanjani? au vurugu iliyo sababishwa na Haji? je kuhusu kutoa nakala ya hukumu kuna ugumu gani? haya kuna kesi ngapi hapo TFF hazija tolewa hukumu iweje hii imekua haraka nipe majibu
Zeruzeru Manara kwa sasa amekuwa kama kuku aliyekatwa kichwa kisha akaachwa aruke ruke kabla ya kukata rohoUnamjua vizuri Manara? Au unamsikia tu? Jamaa kwa kutunga stori za uongo hajambo . Ukute hata hiyo nakala ya hukumu hajawahi omba au alishapewa ila kwenye vyombo vya HabarI anasema hajawahi pewa.
Sent from my Infinix X612 using JamiiForums mobile app
Mdomo ndiyo unamuangamizaKwa press ya leo huyu jamaa ni mtupu sana kichwani, mdomo unamsaidia
Hivi maneno ya kutamka Haji ni ya kuyaamini Haji ana kauli mbilimbili ni mwongo kama utaskia maneno ya haji na kuyaamini pasi kupima unakosea,huyu mtu alishawahi kukana maneno yake kudai labda alikua amelewa[emoji2][emoji3][emoji3][emoji3]Mimi sijawahi kupenda mambo ya Haji lkn mfano uliona mabomu pale uwanjani? au vurugu iliyo sababishwa na Haji? je kuhusu kutoa nakala ya hukumu kuna ugumu gani? haya kuna kesi ngapi hapo TFF hazija tolewa hukumu iweje hii imekua haraka nipe majibu
Alikuwa na Mama yakoulikua nae wakati anaenda kufata hizo nakala au unaropoka tu ili uonekane
Aya sawa coz we ndio mke wake Wa zamani ndo unamjua vzrUnamjua vizuri Manara? Au unamsikia tu? Jamaa kwa kutunga stori za uongo hajambo . Ukute hata hiyo nakala ya hukumu hajawahi omba au alishapewa ila kwenye vyombo vya HabarI anasema hajawahi pewa.
Sent from my Infinix X612 using JamiiForums mobile app
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Sikiliza tena press yake ya leo, usikurupuke..Wapi aliposema ameomba nakala ya hukumu akanyimwa?
Afate sheria aache kulalamika haliakuwa kuna taratibu za kufata,asitafute huruma ya watu.Ulitaka waweke mdahalo? Siku TFF wanatoa hukumu si walikuja pekeyao mbona haukuhoji mtuhumiwa yupo wapi?
Mbona umemjibu ivo ungemjibu kwa hoja ingependeza.Alikuwa na Mama yako
Tatizo hauja sikiliza umekuja tu kanzisha uzi ukiwa bias huwezi elewa mimi nlikua namuona Haji ana matatizo ila kwa hio press nmepata picha hapo TFF pana shida