Haji Manara anatafuta nini zaidi? Nani yuko nyuma yake?

Haji Manara anatafuta nini zaidi? Nani yuko nyuma yake?

Kuna mahusiano gani hapo au umevuta kitu kikali
Wewe umeomba tukuonyeshe kipengele cha kanuni kilichotumika kumhukumu Manara miaka miwili &20M na ukasema tusipoleta basi haikuwa haki, na mimi nimekuomha uniletee kipengele cha kanuni kilichotumiwa na CAF kuipa Simba Sc faini ile baada ya kuwasha moto uwanjani, maana zote hizi ni phenomenon za kimpira. Ile ya CAF ilionekana sawa bila kuomba kanuni, ila hii ya Manara ndio lazima tuweke wazi kipengele kilichotumiwa??


Ila kwakuwa akili zako hazifikiri nje ya box, ulikuwa ni vigumu kunielewa.
 
Manara ni mnafiki na mfitini mkubwa katika soka letu.
 
Huna
Wakuu wapenzi wa soka na haki za binadamu hili linawahusu!

Psychologically, Manara inaonekana ana jaziba juu ya adhabu aliyopewa, yawezekana ameonewa lakin professionally hatumii hekima, Ni kama kuna mtu (ambaye anamaslahi binafsi na TFF) Yuko nyuma yake anampampu, maana pengine anajiona anawaexpose Karia na TFF lakini kwa msomi anaonekana anaropoka!

Kwa nini anataka attention ya watu kwa social media na si kufuata utaratibu wa kukata rufaa kupinga maamuzi?

Kwanini pamoja na maamuzi yaliyotolewa bado anatoa kauli za kuwa against nayo kana kwamba TFF na Manara mkubwa Ni Manara?

Kwanini Manara badala ya kutoa misimamo itakayoenda kuzima Moto lakini anatokwa na maneno ya kuukoleza Moto? Ni nani aliye nyuma ya pressure aliyonayo Manara?

View attachment 2303446View attachment 2303451
Huna unachojua,toa kwanza huo mshale uliopo nyuma ya matrqko yako
 
Huyu anatumia ulemavu kuji-defend hata kama ana makosa hataki kukubali kisa ni Albino aonewe huruma.
Wewe ni moja kati ya watanzania wachache wenye akili kubwa.. umegundua jambo nililoligundua way back toka anaingia Simba SC... apart from all that upon this case! Manara prove himself how weak he is.. he's totally useless mess..
 
Haji anaweweseka sana. Pres ya leo ndio ameharibu zaidi.
Kwa nini hapo nyuma alihangahika kumtafuta Karia kwa lengo kuomba MSAMAHA?.
Hauja wahi omba msamaha sehemu unajua hauja kosea ili tu mambo yaende?
 
Press ya maneno yake ndiyo inakuaminisha hivyo? Hayo ni maneno ya kujidefend tu, lakini kwa Shirikisho lolote lile duniani, angekula ban tu! Mengine yote ni porojo.
Unataka tuamini maneno yako?
 
Wewe umeomba tukuonyeshe kipengele cha kanuni kilichotumika kumhukumu Manara miaka miwili &20M na ukasema tusipoleta basi haikuwa haki, na mimi nimekuomha uniletee kipengele cha kanuni kilichotumiwa na CAF kuipa Simba Sc faini ile baada ya kuwasha moto uwanjani, maana zote hizi ni phenomenon za kimpira. Ile ya CAF ilionekana sawa bila kuomba kanuni, ila hii ya Manara ndio lazima tuweke wazi kipengele kilichotumiwa??


Ila kwakuwa akili zako hazifikiri nje ya box, ulikuwa ni vigumu kunielewa.
Akili ndogo huwezi nielewa nme Ku ignore
 
Manara yuko sahihi tungejuaje yaliyokuwa yamefichwa ambayo karia alitamka? Kamati ilificha alichotamka manara na kuonekana yeye ndo mkosaji, kamati ingeyasema pia aliyotamka karia pengine aya yasingejitokeza lakini manara kaumia na kilichokuwa kinaendelea uku nje kwa watu kuaminishwa kuwa yeye ndo kamtukana karia bila sababu kibinadamu akuna anayeweza kukubali ujinga kama huo
Ndio identity yenu sasa, huyu mtu alipaswa kuwa milembe
 
Wakuu wapenzi wa soka na haki za binadamu hili linawahusu!

Psychologically, Manara inaonekana ana jaziba juu ya adhabu aliyopewa, yawezekana ameonewa lakin professionally hatumii hekima, Ni kama kuna mtu (ambaye anamaslahi binafsi na TFF) Yuko nyuma yake anampampu, maana pengine anajiona anawaexpose Karia na TFF lakini kwa msomi anaonekana anaropoka!

Kwa nini anataka attention ya watu kwa social media na si kufuata utaratibu wa kukata rufaa kupinga maamuzi?

Kwanini pamoja na maamuzi yaliyotolewa bado anatoa kauli za kuwa against nayo kana kwamba TFF na Manara mkubwa Ni Manara?

Kwanini Manara badala ya kutoa misimamo itakayoenda kuzima Moto lakini anatokwa na maneno ya kuukoleza Moto? Ni nani aliye nyuma ya pressure aliyonayo Manara?

View attachment 2303446View attachment 2303451
Wapumbavu pekee hawajamuelewa Manara.

Sent from my TECNO BA2 using JamiiForums mobile app
 
Kuomba radhi haiwezi kua sababu ya kumuhukumu mtu na kanuni ambazo hazija sajiliwa, haya niambie tangu uanze kufatilia mpira nani kasha hukumiwa 20M ? Kuna kosa kubwa zaidi ya kugomea mechi mbona hawakupewa faini kubwa kiasi hicho?
Kanuni zinasemaje? Kwanini utake hukumu itolewe upendavyo wewe na si kutafuta kanuni/sheria zinaoongoza mpira wetu zinavyosema! Tuambie wapi taratibu zimekiukwa
 
Yap, huu Ni mfano mzuri, na si yule tu, alimjumisha na Mo ndani humo, lakin wamekaa kimya mpaka leo
Akamtukana Prisca Kishamba wa Clouds pia, bila kusahau Shaffih na Maulid Kitenge! Aliwahi kuwaita wachezaji wa Yanga takataka pia!
 
Ulisikiliza siku TFF wanatoa hukumu wanadai kwamba Haji alisababisha ya machozi yakapigwa na vurugu wewe uliona au kusikia?
Yalipigwa baada ya mchezo, mashabiki walivamia uwanja. Matukio kama hayo huwa hamuoneshwi kwenye tv ili kulinda brand ya ligi yetu.
 
Manara hapo yanga ni mtu mdogo sana anashindwa kutambua hilo.

Na kwamba hata kwenye structure ya uongozi nafasi yake sidhani hata kama ipo.

Anapaswa kufahamu ni kuwa TFF ndio taasisi inayoongoza mpira hapa nchini na Rais wake ndio mtu mwenye mamlaka ya mwisho kwenye mchezo huo.

Kwa nafasi yake anapaswa kuiheshimu mamlaka hiyo na sio kushindana nayo.

Asiachwe kwani ataonesha tabia mbaya ya kutoheshimu mamlaka za mchezo huo jambo ambalo ni baya sana.

Kufanya press ni kwenda kinyume cha maamuzi yaliyomtaka asijihusishe na maswala ya michezo.

Ni muda muafaka sasa mpira ukaondokana na watu wa aina hii ya Manara na kuendeshwa kitaalam.

Msemaji wa timu abakie Meneja/kocha na sio watu wenye mambo ya kihuni huni.

Sijui tunatengeneza jamii ya aina gani kwa kuwa na watu wa aina hii.
 
Unakata rufaa ikiwa unaomba nakala ya hukumu na hupewi unakata rufaa vp? Labda kuna njia mpya ya kukata rufaa bila nakala ya hukumu tuambie Ili tumlaumu jamaa
TFF wamekanusha kwa maandishi madai ya Haji kuwa si kweli alichozungumza kwenye press yake. Wewe unataka tumwamini nan kati yake na TFF?
 
Mkuu, kwenye hili sakata Ni ngumu kuhukumu bila kubalance, yawezekana TFF wanamatatizo ya kiutendaji, lakin nani ajuaye kuwa hayo yote aliyoyasema Manara Ni kweli ? Maana TFF washakanusha .
Ndio maana haji anaomba serikali iunde tume huru
 
Back
Top Bottom