Mr Morogoro
JF-Expert Member
- Apr 23, 2019
- 1,245
- 1,732
Naona mpiga ramli mwingine huyu hapa...kuna uzi nilikuona unapiga ramli moodewji kuondoka vipi zile ramli ziliishia wapi?? π π π ....kuna watu mnamuogopa haji mpaka huwa usiku mnamuota...mkuu haji bado yupoyupo sana simba..endelea kutafuta vi clip vitakavyokusaidia kutengeneza habari kwa hisiaNatamani nipate hiyo clip.
Uswahiliswahili wake hauwezi kuwa compatible na status ya club kwa sasa.
Gift atakuwa mpumba.vu akikubali kufanya kazi na Haji.Manara anaongea sana ila alichukia nafasi yake kuchukuliwa na mtu. Gift bado ni Afisa habari ila hataelewana na Manara
Mashabiki wa makwasukwasu mmegeuka washauri wa simba π π π π π π π π π π ...mkuu nimekwambia hajismanara hsondoki simba...yupoyupo sana...kama humpendi jiandae kuanza kumeza dawa ya vidonda vya tumboGift atakuwa mpumba.vu akikubali kufanya kazi na Haji.
Honestly, napenda aendeleee kuwepo maana ni kielelezo cha uswahiliswahili wenu. Anadai Jumapili huwa mnaachia mvua halafu mnaifunga.Mashabiki wa makwasukwasu mmegeuka washauri wa simba π π π π π π π π π π ...mkuu nimekwambia hajismanara hsondoki simba...yupoyupo sana...kama humpendi jiandae kuanza kumeza dawa ya vidonda vya tumbo
Sawa mzee baba basi tufanye jumapili sisi tunafungwa taifa na nyinyi mnaenda kushinda kule na township rollers...ndo unavyoota sioo???? π π π π πHonestly, napenda aendeleee kuwepo maana ni kielelezo cha uswahiliswahili wenu. Anadai Jumapili huwa mnaachia mvua halafu mnaifunga.
Hao vyura hawana jipya.. usajili wao tu wameanza kurushiana maneno.Huu uzi naona umegeuka kuwa sehemu ya mashabiki wa gongowazi kupiga ramli eti nakujifanya wanatoa ushauri kwenye maswala ya simba
Bibie wewe sio ndio ulikuja na umbeya kuhusu Haji kuondolewa katika nafasi yake ya usemaji Simba?Vipi umejuaje kuhusu wivu wa Haji ?Unafiki ni ugonjwa.Manara ana wivu sana. Gift kazi anayo. Awe makini sana na Haji.