Chukwu emeka
JF-Expert Member
- Jan 12, 2018
- 24,314
- 38,919
Hata ccm wakimpitisha nitashangaa,labda watumie kigezo cha hali yake tuYaani yule akishinda ubunge,nitawadharau sana wanadsm.
Gift ndo Le Boss mwenyewe,Haji la saba alijiona kafika kuwa leBOSS wa idara ya habari Simba.Yule atabaki kua muhamasishaji tu nafikiri ila hawez kutoka simba moja kwa moja. Huyo Gift anaenda kufanya kazi kiweledi zaid kama anavyofanya D10 yule wa Yanga...
Mme wangu yupo busy na SADC,nipo namsubiri arudi.Anarudi saa kumi Alfajiri.
Ila atapata hata DC .MANAKE KWA KULAMBA VIDOLE VIONGOZI WA SERIKALI HAJAMBO.Yule vuvuzela wa Simba,kapigwa chini ,nafasi yake imechukuliwa na Gift Macha.
Naamini Gift atakuwa kiprofeshenali zaidi,maana press conference za Haji zilikuwa ni full kuisema Yanga.
Jamaa hakuwa pfrofeshonel kabisa.
Gift ndo Le Boss mwenyewe,Haji la saba alijiona kafika kuwa leBOSS wa idara ya habari Simba.
Mo hataki vilaza.Mara uwaite mashabiki ni tecno ,biashara ile.Mo kaona isiwe tabu anataka kampuni yake Simba iendeshwe kisomi zaidi.
Mtani na nyie mnaelekea kuwa Bardiiiiiii!!!! kama yale maneno yenu.Hilo la Gift Macha lilishajulikana kitambo sana hadi kuna mdau humu aliwahi kulisema kama tetesi
Na wananchi wangapi wamekufa?? 11 au 22??Wacha weee!!!
Kule moshi maafande wamechomoa betri hahahahahaha
Hahahaha mtani wa Bariiidii ni nyie maneno kutoka kwa prezidaa mstaafu shabiki nguli wa Yanga (JK)Mtani na nyie mnaelekea kuwa Bardiiiiiii!!!! kama yale maneno yenu.
Mana yule ndio alikuwa anawapa viburi kwa maneno yake ya shombo.
Hahaha mtani hivi kumbe huwa anawanyima usingizi!Sesten Zakazaka , Penison, Tui , Sapta Sapta , Sanchez magoli , Proved , Mtoto halali na hela , OKW BOBAN SUNZU, Ghazwat muje museme hali zenu zikoje baada ya huyu mropokaji wenu kupigwa chini.
Ndio nasema kule ambapo mnasema tupo kunawakaribia Mtani. Na hapa napata shaka kama mtajaa Uwanjani hiyo mechi na Ud Songo.Hahahaha mtani wa Bariiidii ni nyie maneno kutoka kwa prezidaa mstaafu shabiki nguli wa Yanga (JK)
Hahahaaa. Maneno zake za shombo ndio tulikuwa hatuzipendi.Hahaha mtani hivi kumbe huwa anawanyima usingizi!
Yeye mwenyewe anasema bado yupo sana.
Pole kwanza mtani kwa yaliyo wasibu Jana.Hahahaaa. Maneno zake za shombo ndio tulikuwa hatuzipendi.
Lisemwalo lipo Mtani. Muache ajifariji tu.