Mtateseka sanaaaa, leo azam anakufa taifa mapemaaaInahuuuusu,hapa tunaongelea Mikia na Haji Manara.
Yale yamepita Mtani tunaganga ya ngao ya jamii hapo saa kumi. 😂😂😂😂😂Pole kwanza mtani kwa yaliyo wasibu Jana.
We're trading mtani kujaza uwanja sio taabu tena kwetu, tunaanza na leo kula ice cream na meno hatulambi sisi.Ndio nasema kule ambapo mnasema tupo kunawakaribia Mtani. Na hapa napata shaka kama mtajaa hiyo mechi na Ud Songo.
Sababu mpiga kelele hatokuwepo.
Tupinge!! 😎😎😎Mtateseka sanaaaa, leo azam anakufa taifa mapemaaa
hahaha nacheka kama mazuriYale yamepita Mtani tunaganga ya ngao ya jamii hapo saa kumi. 😂😂😂😂😂
Sanchez magoli kata mzee baba napinga na bidada hapa Azam anakufa tatuTupinge!! 😎😎😎
Tunampa muda nadhani nusu msimu unamtosha 😜😜😜 mana tutakuwa tumeshajua mbivu na mbichi kwenye mbio za kuwania makombe karibia yote tutakayokuwa tunashiriki.hahaha nacheka kama mazuri
Msimu huu si dhani kama zahera atavumilika
Ewaaaaa!! Hamna kitu ka hicho Mtani Azam anashinda moja bila.Sanchez magoli kata mzee baba napinga na bidada hapa Azam anakufa tatu
Hahaha nimeshakata kakaSanchez magoli kata mzee baba napinga na bidada hapa Azam anakufa tatu
Hahaha kwa simba hii ya wabrazilEwaaaaa!! Hamna kitu ka hicho Mtani Azam anashinda moja bila.
Hiyo hiyo Mtani iliyoshindwa kupata bao Msumbiji.Hahaha kwa simba hii ya wabrazil
Sema tuache kasumba ya kuwafukuza makocha mtani;Tunampa muda nadhani nusu msimu unamtosha 😜😜😜 mana tutakuwa tumeshajua mbivu na mbichi kwenye mbio za kuwania makombe karibia yote tutakayokuwa tunashiriki.
Mechi za ugenini mtani ni ngumu sanaHiyo hiyo Mtani iliyoshindwa kupata bao Botswana.
Sio kufungwa mlichakazwaHaji kupigwa chini,kumenifanya nisahau hata kama leo tumefungwa.
D10 ni mzigo bora arudi mpiga zumali J muro....Yule atabaki kua muhamasishaji tu nafikiri ila hawez kutoka simba moja kwa moja. Huyo Gift anaenda kufanya kazi kiweledi zaid kama anavyofanya D10 yule wa Yanga...
Kwa jina hilo lilivyo refu, PARAMAGAMBA cha mtoto!Edson Alcantara Delima Maradona Manara Santos De Sunday Haji
Hii inaashiria jambo moja tu Shadeeya kwamba Simba sio tu tuna kikosi kipana kwa wachezaji bali hata kwenye safu ya uongozi. Akitoka jembe anaingia trekta, yaani kila anaekuja ni bora na mzuri zaidi kwenye nafasi yake kuliko aliyeondokaSesten Zakazaka , Penison, Tui , Sapta Sapta , Sanchez magoli , Proved , Mtoto halali na hela , OKW BOBAN SUNZU, Ghazwat muje museme hali zenu zikoje baada ya huyu mropokaji wenu kupigwa chini.
Huyo Haji isijekuwa kafunguliwa kesi tayari ya kumtapeli yule Muoman?Yule vuvuzela wa Simba,kapigwa chini ,nafasi yake imechukuliwa na Gift Macha.
Naamini Gift atakuwa kiprofeshenali zaidi,maana press conference za Haji zilikuwa ni full kuisema Yanga.
Jamaa hakuwa pfrofeshonel kabisa.
Haji kupigwa chini,kumenifanya nisahau hata kama leo tumefungwa.
[emoji196][emoji196][emoji196][emoji196]wamepata cha kusema [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Yule vuvuzela wa Simba,kapigwa chini ,nafasi yake imechukuliwa na Gift Macha.
Naamini Gift atakuwa kiprofeshenali zaidi,maana press conference za Haji zilikuwa ni full kuisema Yanga.
Jamaa hakuwa pfrofeshonel kabisa.