Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mo hana machawa kama, Waarabu ndio wanapenda machawa.Kama umezoea kuangalia spy movies utanielewa,ila kama umezoea bongo kovie hautoniekewa.
Haji anachukua mishahara miwili,kutoka kwa Mo na kutoka GSM,
Simba ikifungwa huwa anaenda chooni kulia
Hutaki acha ubwaya ubwile
Spy hata standard seven wapo broo,wengine hujifanya vichaa ili jambo lao lipiteMo hana machawa kama, Waarabu ndio wanapenda machawa.
Mo ni msomi, msomi na mambo ya uchawa tofauti kabisa.
Mo anamuelewa sana Magoli academically.
Huyo Manara ni mpumbavu fulani tu, Mo hana muda na wajinga kama hao usimpaishe.
Moo hana huo Ujinga kwa sasa.
Unazingua WeweKama umezoea kuangalia spy movies utanielewa,ila kama umezoea bongo kovie hautoniekewa.
Haji anachukua mishahara miwili,kutoka kwa Mo na kutoka GSM,
Simba ikifungwa huwa anaenda chooni kulia
Hutaki acha ubwaya ubwile
Kwakwel na ndio maana baba Levo na mwijaku n rahisi sana kukuta wakishikana shikana na kucheka na kina GSM ,lkn n ngumu sana kuwaona wakijichekesha Kwa mo mkuu..Mo hana machawa kama, Waarabu ndio wanapenda machawa.
Mo ni msomi, msomi na mambo ya uchawa tofauti kabisa.
Mo anamuelewa sana Magoli academically.
Huyo Manara ni mpumbavu fulani tu, Mo hana muda na wajinga kama hao usimpaishe.
Jengo la Yanga na la Simba pesa ametowa marehemu Mzee Karume, ndio maana heshima anapewa mke wake Fatma Karume kuwa mjumbe wa bodi ya wadhamini.siyo double agent hata ni waliomuajiri ameshindwa kusoma personality yake! Kwahiyo wangojee mgogoro anaoenda kuzua kuzua maana haeshimu yeyote hata Rais wa Yanga! Anakuambia familia ya Manara imejenga jengo la Yanga!
Kwani Manara amekukosea nini, mbona unamsagia kunguni? Wajipange tu namna ya kufanya kazi wote wawili, ila labda useme Manara apewe tu angalizoTunamuheshimu sana GSM kwa mchango wake kwa Yanga, lakini kuhusu Manara hapana wamchukuwe wakampe kazi kwenye makampuni yao, sisi wenye timu hatumtaki kwani yeye nani?
Manara ana connection kama zote, afanye mambo mengine sisi Yanga hatumtaki.Kwani Manara amekukosea nini, mbona unamsagia kunguni? Wajipange tu namna ya kufanya kazi wote wawili, ila labda useme Manara apewe tu angalizo
Haka nako eti nyuma mwiko lia lia na kubana pua kwake.
Umeongea point Sana shabiki maandazi hatakuelewa. Kumkaribisha Manara popote ni Sawa Sawa na kukumbatia mzinga WA nyuki. Kitendo chake cha kufungiwa kimewakoa hata Yanga.Manara ana connection kama zote, afanye mambo mengine sisi Yanga hatumtaki.
Huyu Manara ndiye aliyepandikiza chuki ya mashabiki wa Simba na Yanga sasa hivi si watani tena bali ni chuki na matusi, Manara na Jerry Muro ndio waliopanda mbegu hii.
Hawa vijana wanaangalia 'fursa' Mambo ya Yanga/Simba Damu wanayajua Akina Mzee Magoma.
Anadai yeye ndiye Yanga nyie wengine wa kuchovya tu kwa vile katika hivyo vikombe 30 mnavyoringia nusu yake imechangiwa na familia ya Manara, ana matusi ya reja reja sana huyu sope.Jengo la Yanga na la Simba pesa ametowa marehemu Mzee Karume, ndio maana heshima anapewa mke wake Fatma Karume kuwa mjumbe wa bodi ya wadhamini.
Eng Hersi kuna mtego wa panya kaukalia na yeye ni mtoto wa Kariakoo akijichanganya tu kuleta ukariakoo wao imekuka kwao.
Tunamuheshimu sana GSM kwa mchango wake kwa Yanga, lakini kuhusu Manara hapana wamchukuwe wakampe kazi kwenye makampuni yao, sisi wenye timu hatumtaki kwani yeye nani?
Hersi ni karani tu hana last say pale muhusika ni GSMMoo hana huo Ujinga kwa sasa.
Kumbuka Hersi anataka Sifa na Machawa na Support ya WanaYanga achukue JIMBO LA UCHAGUZI.
Mooo ameshatoka hatua aliyopo Hersi toka mwaka 2000 hukoooooo.
Kumbuka Moo ashachukua Jimbo la Singida hadi akaamua kuacha. Hatua ambayo Hersi ndiyo anaitafuta sasa kwahiyo usiwaweke mzani sawa kwenye machawa na wafuasi.