Haji Manara;Double Agent aliyetumwa na Mo kuivuruga Yanga

Haji Manara;Double Agent aliyetumwa na Mo kuivuruga Yanga

Manara ana connection kama zote, afanye mambo mengine sisi Yanga hatumtaki.

Huyu Manara ndiye aliyepandikiza chuki ya mashabiki wa Simba na Yanga sasa hivi si watani tena bali ni chuki na matusi, Manara na Jerry Muro ndio waliopanda mbegu hii.
Nakubaliana na wewe 100 % manara amechangia uhasama kati ya mashabiki wa Simba na Yanga na kutoka kwenye ule utani wa jadi tuliozoea.
 
Kama umezoea kuangalia spy movies utanielewa,ila kama umezoea bongo kovie hautoniekewa.

Haji anachukua mishahara miwili,kutoka kwa Mo na kutoka GSM,
Simba ikifungwa huwa anaenda chooni kulia
Hutaki acha ubwaya ubwile
Tuthibitishie
 
Back
Top Bottom