Haji Manara hafai kuwa msemaji wa Simba

Haji Manara hafai kuwa msemaji wa Simba

Tafuta" job description" yake unaweza kuelewa kwa nini anafanya hayo anayoyafanya. Halafu ukumbuke timu za ulaya ni makampuni makubwa ya kibiashara wakati hizi za kwetu ni vilabu sawa tu na vile vya "chang'aa".
 
Hawa jamaa wana mashabiki wakorofi lakin wengi wana reasoning ndogo so huwa wakiona mambo magumu wanapiga propaganda ya kuonewa na mashabiki wao wanauvaa mkenge wanawaacha viongozi wanaendelea kutafuna hela za usajili magumashi
 
Hivi huju msemaji wa simba anatatizo gani maana kaukosea heshima mpira wa tz.mlopokaji mpaka kero.ashike filimbe yeye
 
Msemaji Tz ni Thobias Kifaru tuu, Manara atulisha tango pori kila msimu.
 
Nina uhakika kabisa kwa mashabiki wa simba wanaojielewa hawafurahishwi na mambo ya manara

Naona humu nyie Yanga ndiyo mmejaa..wenyewe Simba hawana tatizo na msemaji wao..wanamwamini sana....hata TFF nao na hasa uongozi wa sasa wanampenda sana...alipokuwa amefungiwa alifunguliwa haraka ...sasa nyie mnakuja na maneno yenu....Simba wanampenda, TFF nao wanampenda, sasa nyie Yanga mnalialia kwanini???
 
Naona humu nyie Yanga ndiyo mmejaa..wenyewe Simba hawana tatizo na msemaji wao..wanamwamini sana....hata TFF nao na hasa uongozi wa sasa wanampenda sana...alipokuwa amefungiwa alifunguliwa haraka ...sasa nyie mnakuja na maneno yenu....Simba wanampenda, TFF nao wanampenda, sasa nyie Yanga mnalialia kwanini???
Yanga wana haki ya kumjadili, kwa sababu ni msemaji wa timu yao pia. Lini umemsikia akiisemea Simba pekee bila ya kuitaja Yanga? Yeye ni msemaji wa timu zote mbili. Kama moja imeridhika naye, ya pili inayo haki ya kumtaka arekebishe mambo ya upande wao.
 
Tulishasema kuanzia 2017
 
Back
Top Bottom