Tetesi: Haji Manara kuitwa kwa Mahojiano Polisi huku TFF ikijiandaa kumpiga rungu la uhakika

Tetesi: Haji Manara kuitwa kwa Mahojiano Polisi huku TFF ikijiandaa kumpiga rungu la uhakika

Nilijua tu kuwa kuna Wapumbavu kama Wewe mtakuja na huu Utetezi hivyo nakupa Darasa kidogo tu la Kisheria ili Ujifunze.

Katika Sheria kuna Ushahidi wa Kiuhalisia na ule wa Kimazingara. Ni kweli Msemaji wa Yanga SC Haji Manara katika post yako hajaitaja Simba SC ila Ushahidi ufuatao wa Kimazingira unamuweka hatiani.

Kwanza ameandika post yake akiwatagi ( akiwataarifu ) Watu wa Asec Mimosa FC waliocheza na Simba SC jana.

Pili ameandika post yake hiyo katika Siku husika ya Mechi ya Simba SC na Asec Mimosa FC.

Tatu Kitendo cha Mtandao wa Asec Mimosa FC iliyocheza na Simba SC jana Kumjibu Haji Manara kuhusu huo Upumbavu wake aliouandika ni Uthibitisho tosha kuwa alilenga Kuihujumu Simba SC jana.

Nakuuliza Swali dogo tu hivi kama post ile ya Hajj Manara ilikuwa haina madhara ya Kisheria na akifunguliwa Kesi atachomoka unadhani ni kwanini haraka sana aliamua Kuifuta?

Tafadhali mkijijua ni Wapumbavu acheni Kuchangia Mada ( Threads ) za Watu Werevu na zinazohitaji Watu Werevu kuzijadili na nyie mbakie tu Wasomaji au Watazamaji sawa?
Akili yako imejaa Yanga na Simba, takataka kabisa.
 
Akili yako imejaa Yanga na Simba, takataka kabisa.
Nilijua tu kuwa kuna Wapumbavu kama Wewe mtakuja na huu Utetezi hivyo nakupa Darasa kidogo tu la Kisheria ili Ujifunze.

Katika Sheria kuna Ushahidi wa Kiuhalisia na ule wa Kimazingara. Ni kweli Msemaji wa Yanga SC Haji Manara katika post yako hajaitaja Simba SC ila Ushahidi ufuatao wa Kimazingira unamuweka hatiani.

Kwanza ameandika post yake akiwatagi ( akiwataarifu ) Watu wa Asec Mimosa FC waliocheza na Simba SC jana.

Pili ameandika post yake hiyo katika Siku husika ya Mechi ya Simba SC na Asec Mimosa FC.

Tatu Kitendo cha Mtandao wa Asec Mimosa FC iliyocheza na Simba SC jana Kumjibu Haji Manara kuhusu huo Upumbavu wake aliouandika ni Uthibitisho tosha kuwa alilenga Kuihujumu Simba SC jana.

Nakuuliza Swali dogo tu hivi kama post ile ya Hajj Manara ilikuwa haina madhara ya Kisheria na akifunguliwa Kesi atachomoka unadhani ni kwanini haraka sana aliamua Kuifuta?

Tafadhali mkijijua ni Wapumbavu acheni Kuchangia Mada ( Threads ) za Watu Werevu na zinazohitaji Watu Werevu kuzijadili na nyie mbakie tu Wasomaji au Watazamaji sawa?
 
Nilijua tu kuwa kuna Wapumbavu kama Wewe mtakuja na huu Utetezi hivyo nakupa Darasa kidogo tu la Kisheria ili Ujifunze.

Katika Sheria kuna Ushahidi wa Kiuhalisia na ule wa Kimazingara. Ni kweli Msemaji wa Yanga SC Haji Manara katika post yako hajaitaja Simba SC ila Ushahidi ufuatao wa Kimazingira unamuweka hatiani.

Kwanza ameandika post yake akiwatagi ( akiwataarifu ) Watu wa Asec Mimosa FC waliocheza na Simba SC jana.

Pili ameandika post yake hiyo katika Siku husika ya Mechi ya Simba SC na Asec Mimosa FC.

Tatu Kitendo cha Mtandao wa Asec Mimosa FC iliyocheza na Simba SC jana Kumjibu Haji Manara kuhusu huo Upumbavu wake aliouandika ni Uthibitisho tosha kuwa alilenga Kuihujumu Simba SC jana.

Nakuuliza Swali dogo tu hivi kama post ile ya Hajj Manara ilikuwa haina madhara ya Kisheria na akifunguliwa Kesi atachomoka unadhani ni kwanini haraka sana aliamua Kuifuta?

Tafadhali mkijijua ni Wapumbavu acheni Kuchangia Mada ( Threads ) za Watu Werevu na zinazohitaji Watu Werevu kuzijadili na nyie mbakie tu Wasomaji au Watazamaji
Takataka, muda wote unawaza mpira.
 
Huyu jamaa asipodhibitiwa mapema atatufikisha pabaya kwa maneno yake machafu hasa post za juzi, ikibidi atoe udhibitisho kabs
Mambumbumbu ni wapumbavu sana alipokuwa kwenu mlikuwa mnakenua kenua akiongea ushuzi sasa hivi kawageuka mnaaza kulialia kenge ninyi
 
Ameharibu mno na ameshahatarisha pia Usalama wa Taifa hasa kwa Timu Wageni ambazo zitakuja nchini na hata Athari katika Sekta ya Utalii nayo kwa kiasi fulani imechafuliwa. Aadhibiwe ili iwe Fundisho.
Ng'ombe wewe
 
Mashabiki maandazi na mihemuko ya hovyo kwani hapo haji kamtaja nani?
Nilijua tu kuwa kuna Wapumbavu kama Wewe mtakuja na huu Utetezi hivyo nakupa Darasa kidogo tu la Kisheria ili Ujifunze.

Katika Sheria kuna Ushahidi wa Kiuhalisia na ule wa Kimazingara. Ni kweli Msemaji wa Yanga SC Haji Manara katika post yako hajaitaja Simba SC ila Ushahidi ufuatao wa Kimazingira unamuweka hatiani.

Kwanza ameandika post yake akiwatagi ( akiwataarifu ) Watu wa Asec Mimosa FC waliocheza na Simba SC jana.

Pili ameandika post yake hiyo katika Siku husika ya Mechi ya Simba SC na Asec Mimosa FC.

Tatu Kitendo cha Mtandao wa Asec Mimosa FC iliyocheza na Simba SC jana Kumjibu Haji Manara kuhusu huo Upumbavu wake aliouandika ni Uthibitisho tosha kuwa alilenga Kuihujumu Simba SC jana.

Nakuuliza Swali dogo tu hivi kama post ile ya Hajj Manara ilikuwa haina madhara ya Kisheria na akifunguliwa Kesi atachomoka unadhani ni kwanini haraka sana aliamua Kuifuta?

Tafadhali mkijijua ni Wapumbavu acheni Kuchangia Mada ( Threads ) za Watu Werevu na zinazohitaji Watu Werevu kuzijadili na nyie mbakie tu Wasomaji au Watazamaji sawa?
 
halafu Asec Mimosa waka comment kwa kifaransa na yeye akalike huku akiweka emoji ya fire, what a pathetic looser zeruzeru la ajabu sana aisee
 
Back
Top Bottom