ukikaidi utapigwa2
JF-Expert Member
- Feb 24, 2015
- 15,265
- 29,991
Wapi imetajwa kwa Mkapa?niambie mechi zilizochezwa jana saa kumi jion kwa mkapa ni ngapi hadi assec mimosas wacomment kwenye post ya manara huko Ig
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wapi imetajwa kwa Mkapa?niambie mechi zilizochezwa jana saa kumi jion kwa mkapa ni ngapi hadi assec mimosas wacomment kwenye post ya manara huko Ig
Wakati wenzako wanaongea kwa hoja, wewe umejaa upepo na kuleta uhuruma!! Mbele ya sheria hakuna huruma kwa kisa eti una watoto. Utaamini hukumu itakapo tangazwa!Kuna shida gani hapo kataja Jina kama alikua anaimba taarabu zake halafu sijaona tusi hata moja wewe ndio kwanza kutukana unachuki binafsi na haji wewe propaganda za kisoka zipo kila sehemu Nigeria Yanga Feisal alipewa covid Ila baada ya kukomaa akacheza.
Punguza roho mbaya halafu haji akifungiwa wewe utafaidika na nini
Sheria haina mambo ya kuhisi, hapo wapi Simba imetajwa?Wakati wenzako wanaongea kwa hoja, wewe umejaa upepo na kuleta uhuruma!! Mbele ya sheria hakuna huruma kwa kisa eti una watoto. Utaamini hukumu itakapo tangazwa!
hila manara ni hatari kwa usalama wa Nchi, yale maneno ni makali sana,angefungiwa kujihusisha kabisa na michezo huyu kakaKabla ya yote nianze kwa kutoa Pongezi zangu kww Mtandao huu wa JamiiForums kwani baada ya Kuandika Uzi kuhusu Kitendo kibaya alichokifanya Msemaji wa Yanga SC Haji Manara umeibua mwako mkubwa, hisia Mseto na Wachambuzi wa Habari za Michezo hasa wa EFM akina Jemedari Said Kazumari na Wilson Oruma kuutumia na kuniunga mkono kwa 99% juu ya Hoja zangu zenye Mantiki.
Pili nitoe Pongezi kwa Watu wa Jeshi la Polisi ( nawahifadhi ) na wa Idara Muhimu na Waandamizi wa Serikali ambao kwa kuweka pembeni Mapenzi yao na Vilabu vya Simba na Yanga wanaazimia Kumuita Msemaji wa Yanga SC Haji Manara muda wowote kuanzia sasa ili Wamhoji juu ya alichokiandika ambacho kwa mujibu wao wamesema ule ni Uhujumu kwa Sekta ya Michezo nchini na pia ni Hatari hata kwa Usalama wa Taifa lakini pia kwa alichokifanya hajaiathiri na Kuichafua tu Simba SC bali ameichafua mpaka nchi ya Tanzania.
Tatu upesi sana nauomba Uongozi wa Simba SC ukae chini na Wanasheria na wamfungulie Kesi ya Jinai Msemaji wa Yanga SC Haji Manara kwa kile alichokiandika jana katika Instagram Account yake na Kukifuta upesi kwani wakimnyamazia na kumuachia alilolisema Haji Manara litaaminika na laweza kuwa na Athari Kwetu katika Mechi zijazo mpaka huko CAF na FIFA Kwenyewe.
Mwisho nimetaarifiwa kuwa TFF nao wanajipanga Kumuita Msemaji wa Yanga SC Haji Manara kwa Mahojiano zaidi ila juu ya Uhuni na Uhujumu wa Kimichezo alioufanya na upo uwezako wa Kupewa Adhabu Kali ambayo itamfanya awe Historia katika Medani za Soka nchini.
Niwaombe tu wana Yanga SC ambao mmejitokeza Kunishambulia katika huo Uzi wa Kumsema Msemaji wenu Haji Manara na Upumbavu alioufanya msiache Kunitukana na Kunidhihaki ila Nguvu ya Uandishi na Uwasilishaji wangu hapa JamiiForums una positive impact katika Jamii, Idara na Taasisi husika na najua tayari Wahusika wengi wameusoma, wameuelewa na sasa wanaufanyia Kazi.
Haji Manara ( Msemaji wa Yanga SC ) hongera sana kwa Kukurupuka na Kuandika ule Upuuzi wako Instagram na kuwa na Ujasiri wa kuwahi Kuufuta ukidhani Watu hawana ila bahati nzuri Watu wanao na ndiyo utatumika katika Kukumaliza Kihukumu kote ambako utaitwa.
Tulikuonya huko nyuma kuwa nenda taratibu utapotea na hao GSM wako wanaokupa Jeuri watakukwepa na Kukutosa yakikukumba hukutuelewa sasa umeshaingia katika 18 za Watu.
Nawashangaa watu na akili zao kuzodiwa ujanja na Manara?Hapo hakuna cha maana.
Alikuwa anawaambia akina nani sasa
Sent from my SM-G955U using JamiiForums mobile app
Malaika: Omba chochote utakacho nitakupa ila jirani yako nitampa mara mbili ya ulichoomba.hila manara ni hatari kwa usalama wa Nchi, yale maneno ni makali sana,angefungiwa kujihusisha kabisa na michezo huyu kaka
Aliandika hiviAliandika kitu gani?
Ningekuwa nina Malezi ya hovyo nadhani ningekuwa Mpumbavu kama Wewe 24/7 hapa JamiiForums.Malezi ya hovyo na ugumu wa maisha unakufanya una kasikirikia watu
Nilijua tu kuwa kuna Wapumbavu kama Wewe mtakuja na huu Utetezi hivyo nakupa Darasa kidogo tu la Kisheria ili Ujifunze.sijaona kama ametaja jina la club zinazohusishwa katika ujinga wake aliouandika, hii inaweza kumsaidia katika tuhuma zinazomkabili.
yote kwa yote anatakiwa afunzwe namna nzuri ya kuwasilisha hoja zake hata kama hazina lengo zuri kwa wapinzani wake, vinginevyo hii tabia itatufanya nchi yetu ionekane ya hivyo kisa mpuuzi mmoja
Tangia lini umewahi kuwa na Akili JF?Hapo hakuna cha maana.
Alikuwa anawaambia akina nani sasa
Sent from my SM-G955U using JamiiForums mobile app
Chief why are you wasting your good time Educating these Yanga SC Dimwits Fans?
Mkuu wakti mwingine njoo na viambata vya nini huyo haji amesema. Unapokuja na fikra zako tu hapa unatuchanganya. Sasa vipi kama unamzushia? Lete viambata tutaamua wenyewe kama kukubaliana na wewe au vinginevyo.Kabla ya yote nianze kwa kutoa Pongezi zangu kww Mtandao huu wa JamiiForums kwani baada ya Kuandika Uzi kuhusu Kitendo kibaya alichokifanya Msemaji wa Yanga SC Haji Manara umeibua mwako mkubwa, hisia Mseto na Wachambuzi wa Habari za Michezo hasa wa EFM akina Jemedari Said Kazumari na Wilson Oruma kuutumia na kuniunga mkono kwa 99% juu ya Hoja zangu zenye Mantiki.
Pili nitoe Pongezi kwa Watu wa Jeshi la Polisi ( nawahifadhi ) na wa Idara Muhimu na Waandamizi wa Serikali ambao kwa kuweka pembeni Mapenzi yao na Vilabu vya Simba na Yanga wanaazimia Kumuita Msemaji wa Yanga SC Haji Manara muda wowote kuanzia sasa ili Wamhoji juu ya alichokiandika ambacho kwa mujibu wao wamesema ule ni Uhujumu kwa Sekta ya Michezo nchini na pia ni Hatari hata kwa Usalama wa Taifa lakini pia kwa alichokifanya hajaiathiri na Kuichafua tu Simba SC bali ameichafua mpaka nchi ya Tanzania.
Tatu upesi sana nauomba Uongozi wa Simba SC ukae chini na Wanasheria na wamfungulie Kesi ya Jinai Msemaji wa Yanga SC Haji Manara kwa kile alichokiandika jana katika Instagram Account yake na Kukifuta upesi kwani wakimnyamazia na kumuachia alilolisema Haji Manara litaaminika na laweza kuwa na Athari Kwetu katika Mechi zijazo mpaka huko CAF na FIFA Kwenyewe.
Mwisho nimetaarifiwa kuwa TFF nao wanajipanga Kumuita Msemaji wa Yanga SC Haji Manara kwa Mahojiano zaidi ila juu ya Uhuni na Uhujumu wa Kimichezo alioufanya na upo uwezako wa Kupewa Adhabu Kali ambayo itamfanya awe Historia katika Medani za Soka nchini.
Niwaombe tu wana Yanga SC ambao mmejitokeza Kunishambulia katika huo Uzi wa Kumsema Msemaji wenu Haji Manara na Upumbavu alioufanya msiache Kunitukana na Kunidhihaki ila Nguvu ya Uandishi na Uwasilishaji wangu hapa JamiiForums una positive impact katika Jamii, Idara na Taasisi husika na najua tayari Wahusika wengi wameusoma, wameuelewa na sasa wanaufanyia Kazi.
Haji Manara ( Msemaji wa Yanga SC ) hongera sana kwa Kukurupuka na Kuandika ule Upuuzi wako Instagram na kuwa na Ujasiri wa kuwahi Kuufuta ukidhani Watu hawana ila bahati nzuri Watu wanao na ndiyo utatumika katika Kukumaliza Kihukumu kote ambako utaitwa.
Tulikuonya huko nyuma kuwa nenda taratibu utapotea na hao GSM wako wanaokupa Jeuri watakukwepa na Kukutosa yakikukumba hukutuelewa sasa umeshaingia katika 18 za Watu.W
Kabla ya yote nianze kwa kutoa Pongezi zangu kww Mtandao huu wa JamiiForums kwani baada ya Kuandika Uzi kuhusu Kitendo kibaya alichokifanya Msemaji wa Yanga SC Haji Manara umeibua mwako mkubwa, hisia Mseto na Wachambuzi wa Habari za Michezo hasa wa EFM akina Jemedari Said Kazumari na Wilson Oruma kuutumia na kuniunga mkono kwa 99% juu ya Hoja zangu zenye Mantiki.
Pili nitoe Pongezi kwa Watu wa Jeshi la Polisi ( nawahifadhi ) na wa Idara Muhimu na Waandamizi wa Serikali ambao kwa kuweka pembeni Mapenzi yao na Vilabu vya Simba na Yanga wanaazimia Kumuita Msemaji wa Yanga SC Haji Manara muda wowote kuanzia sasa ili Wamhoji juu ya alichokiandika ambacho kwa mujibu wao wamesema ule ni Uhujumu kwa Sekta ya Michezo nchini na pia ni Hatari hata kwa Usalama wa Taifa lakini pia kwa alichokifanya hajaiathiri na Kuichafua tu Simba SC bali ameichafua mpaka nchi ya Tanzania.
Tatu upesi sana nauomba Uongozi wa Simba SC ukae chini na Wanasheria na wamfungulie Kesi ya Jinai Msemaji wa Yanga SC Haji Manara kwa kile alichokiandika jana katika Instagram Account yake na Kukifuta upesi kwani wakimnyamazia na kumuachia alilolisema Haji Manara litaaminika na laweza kuwa na Athari Kwetu katika Mechi zijazo mpaka huko CAF na FIFA Kwenyewe.
Mwisho nimetaarifiwa kuwa TFF nao wanajipanga Kumuita Msemaji wa Yanga SC Haji Manara kwa Mahojiano zaidi ila juu ya Uhuni na Uhujumu wa Kimichezo alioufanya na upo uwezako wa Kupewa Adhabu Kali ambayo itamfanya awe Historia katika Medani za Soka nchini.
Niwaombe tu wana Yanga SC ambao mmejitokeza Kunishambulia katika huo Uzi wa Kumsema Msemaji wenu Haji Manara na Upumbavu alioufanya msiache Kunitukana na Kunidhihaki ila Nguvu ya Uandishi na Uwasilishaji wangu hapa JamiiForums una positive impact katika Jamii, Idara na Taasisi husika na najua tayari Wahusika wengi wameusoma, wameuelewa na sasa wanaufanyia Kazi.
Haji Manara ( Msemaji wa Yanga SC ) hongera sana kwa Kukurupuka na Kuandika ule Upuuzi wako Instagram na kuwa na Ujasiri wa kuwahi Kuufuta ukidhani Watu hawana ila bahati nzuri Watu wanao na ndiyo utatumika katika Kukumaliza Kihukumu kote ambako utaitwa.
Tulikuonya huko nyuma kuwa nenda taratibu utapotea na hao GSM wako wanaokupa Jeuri watakukwepa na Kukutosa yakikukumba hukutuelewa sasa umeshaingia katika 18 za Watu.
We bwege baki huko huko kweye tasnia yako ya wajinga ya sijui uandiashi wa Nini. Huku kwenye Sheria paache, siyo sehemu ya watu vibwengo Kama wewe.Nilijua tu kuwa kuna Wapumbavu kama Wewe mtakuja na huu Utetezi hivyo nakupa Darasa kidogo tu la Kisheria ili Ujifunze.
Katika Sheria kuna Ushahidi wa Kiuhalisia na ule wa Kimazingara. Ni kweli Msemaji wa Yanga SC Haji Manara katika post yako hajaitaja Simba SC ila Ushahidi ufuatao wa Kimazingira unamuweka hatiani.
Kwanza ameandika post yake akiwatagi ( akiwataarifu ) Watu wa Asec Mimosa FC waliocheza na Simba SC jana.
Pili ameandika post yake hiyo katika Siku husika ya Mechi ya Simba SC na Asec Mimosa FC.
Tatu Kitendo cha Mtandao wa Asec Mimosa FC iliyocheza na Simba SC jana Kumjibu Haji Manara kuhusu huo Upumbavu wake aliouandika ni Uthibitisho tosha kuwa alilenga Kuihujumu Simba SC jana.
Nakuuliza Swali dogo tu hivi kama post ile ya Hajj Manara ilikuwa haina madhara ya Kisheria na akifunguliwa Kesi atachomoka unadhani ni kwanini haraka sana aliamua Kuifuta?
Tafadhali mkijijua ni Wapumbavu acheni Kuchangia Mada ( Threads ) za Watu Werevu na zinazohitaji Watu Werevu kuzijadili na nyie mbakie tu Wasomaji au Watazamaji sawa?
Nilijua tu kuwa kuna Wapumbavu kama Wewe mtakuja na huu Utetezi hivyo nakupa Darasa kidogo tu la Kisheria ili Ujifunze.Hakuna kesi hapo wapi imetajwa Simba