Tetesi: Haji Manara kuitwa kwa Mahojiano Polisi huku TFF ikijiandaa kumpiga rungu la uhakika

Tetesi: Haji Manara kuitwa kwa Mahojiano Polisi huku TFF ikijiandaa kumpiga rungu la uhakika

Hii mutu kutoka kidimbwi fc ibigwe rungu la kichwa,akili zake za kibwege sana.
 
TFF inatakiwa imfungie haji manara kifungo cha maisha kutokujihusisha na soka hapa nchini abaki tu kutangaza juice za bakhresa na magodoro ya GSM
 
Kuna shida gani hapo kataja Jina kama alikua anaimba taarabu zake halafu sijaona tusi hata moja wewe ndio kwanza kutukana unachuki binafsi na haji wewe propaganda za kisoka zipo kila sehemu Nigeria Yanga Feisal alipewa covid Ila baada ya kukomaa akacheza.
Punguza roho mbaya halafu haji akifungiwa wewe utafaidika na nini
Wakati wenzako wanaongea kwa hoja, wewe umejaa upepo na kuleta uhuruma!! Mbele ya sheria hakuna huruma kwa kisa eti una watoto. Utaamini hukumu itakapo tangazwa!
 
Simba haijatajwa na ndio maana Simba wanaendelea na ishu zao na Wala hawajarespond....ishu ni TFF wamhoji Manara kujua alikuwa anaelezea Timu gani .. ya Taifa au Club
 
Kabla ya yote nianze kwa kutoa Pongezi zangu kww Mtandao huu wa JamiiForums kwani baada ya Kuandika Uzi kuhusu Kitendo kibaya alichokifanya Msemaji wa Yanga SC Haji Manara umeibua mwako mkubwa, hisia Mseto na Wachambuzi wa Habari za Michezo hasa wa EFM akina Jemedari Said Kazumari na Wilson Oruma kuutumia na kuniunga mkono kwa 99% juu ya Hoja zangu zenye Mantiki.

Pili nitoe Pongezi kwa Watu wa Jeshi la Polisi ( nawahifadhi ) na wa Idara Muhimu na Waandamizi wa Serikali ambao kwa kuweka pembeni Mapenzi yao na Vilabu vya Simba na Yanga wanaazimia Kumuita Msemaji wa Yanga SC Haji Manara muda wowote kuanzia sasa ili Wamhoji juu ya alichokiandika ambacho kwa mujibu wao wamesema ule ni Uhujumu kwa Sekta ya Michezo nchini na pia ni Hatari hata kwa Usalama wa Taifa lakini pia kwa alichokifanya hajaiathiri na Kuichafua tu Simba SC bali ameichafua mpaka nchi ya Tanzania.

Tatu upesi sana nauomba Uongozi wa Simba SC ukae chini na Wanasheria na wamfungulie Kesi ya Jinai Msemaji wa Yanga SC Haji Manara kwa kile alichokiandika jana katika Instagram Account yake na Kukifuta upesi kwani wakimnyamazia na kumuachia alilolisema Haji Manara litaaminika na laweza kuwa na Athari Kwetu katika Mechi zijazo mpaka huko CAF na FIFA Kwenyewe.

Mwisho nimetaarifiwa kuwa TFF nao wanajipanga Kumuita Msemaji wa Yanga SC Haji Manara kwa Mahojiano zaidi ila juu ya Uhuni na Uhujumu wa Kimichezo alioufanya na upo uwezako wa Kupewa Adhabu Kali ambayo itamfanya awe Historia katika Medani za Soka nchini.

Niwaombe tu wana Yanga SC ambao mmejitokeza Kunishambulia katika huo Uzi wa Kumsema Msemaji wenu Haji Manara na Upumbavu alioufanya msiache Kunitukana na Kunidhihaki ila Nguvu ya Uandishi na Uwasilishaji wangu hapa JamiiForums una positive impact katika Jamii, Idara na Taasisi husika na najua tayari Wahusika wengi wameusoma, wameuelewa na sasa wanaufanyia Kazi.

Haji Manara ( Msemaji wa Yanga SC ) hongera sana kwa Kukurupuka na Kuandika ule Upuuzi wako Instagram na kuwa na Ujasiri wa kuwahi Kuufuta ukidhani Watu hawana ila bahati nzuri Watu wanao na ndiyo utatumika katika Kukumaliza Kihukumu kote ambako utaitwa.

Tulikuonya huko nyuma kuwa nenda taratibu utapotea na hao GSM wako wanaokupa Jeuri watakukwepa na Kukutosa yakikukumba hukutuelewa sasa umeshaingia katika 18 za Watu.
hila manara ni hatari kwa usalama wa Nchi, yale maneno ni makali sana,angefungiwa kujihusisha kabisa na michezo huyu kaka
 
Kuna watu huwa nawaona wajanja kumbe wa kawaida sana. Sasa hapo Polisi wanamwita Manara kumhoji kuhusu tuhuma dhidi ya nani?
 
hila manara ni hatari kwa usalama wa Nchi, yale maneno ni makali sana,angefungiwa kujihusisha kabisa na michezo huyu kaka
Malaika: Omba chochote utakacho nitakupa ila jirani yako nitampa mara mbili ya ulichoomba.

" NIPE CHONGO MALAIKA, NAOMBA CHONGO MIMI NA USIMSAHAU JIRANI"
 
Acha ujinga wewe mbuzi...hata iweje manara tutamfata popote pale hutaki kunywa sumu.
 
Aliandika kitu gani?
Aliandika hivi
IMG_20220213_193412_451.jpg
 
Malezi ya hovyo na ugumu wa maisha unakufanya una kasikirikia watu
Ningekuwa nina Malezi ya hovyo nadhani ningekuwa Mpumbavu kama Wewe 24/7 hapa JamiiForums.

Ningekuwa na Ugumu wa Maisha sidhani kama ningeweza hata tu kupata Pesa ya Kununua Bando na kuwa hapa au ningekuwa nakuomba Hela au nakuja Kula Kwako Mwendawazimu Wewe.

Kwa Mwerevu kama Mimi ni lazima tu nikikutana na Watu kama Wewe ambao Ubongo wao umejaa Usaha na Uharo unaotokana na Kurithishwa ni lazima tu nitakasirika.
 
sijaona kama ametaja jina la club zinazohusishwa katika ujinga wake aliouandika, hii inaweza kumsaidia katika tuhuma zinazomkabili.

yote kwa yote anatakiwa afunzwe namna nzuri ya kuwasilisha hoja zake hata kama hazina lengo zuri kwa wapinzani wake, vinginevyo hii tabia itatufanya nchi yetu ionekane ya hivyo kisa mpuuzi mmoja
Nilijua tu kuwa kuna Wapumbavu kama Wewe mtakuja na huu Utetezi hivyo nakupa Darasa kidogo tu la Kisheria ili Ujifunze.

Katika Sheria kuna Ushahidi wa Kiuhalisia na ule wa Kimazingara. Ni kweli Msemaji wa Yanga SC Haji Manara katika post yako hajaitaja Simba SC ila Ushahidi ufuatao wa Kimazingira unamuweka hatiani.

Kwanza ameandika post yake akiwatagi ( akiwataarifu ) Watu wa Asec Mimosa FC waliocheza na Simba SC jana.

Pili ameandika post yake hiyo katika Siku husika ya Mechi ya Simba SC na Asec Mimosa FC.

Tatu Kitendo cha Mtandao wa Asec Mimosa FC iliyocheza na Simba SC jana Kumjibu Haji Manara kuhusu huo Upumbavu wake aliouandika ni Uthibitisho tosha kuwa alilenga Kuihujumu Simba SC jana.

Nakuuliza Swali dogo tu hivi kama post ile ya Hajj Manara ilikuwa haina madhara ya Kisheria na akifunguliwa Kesi atachomoka unadhani ni kwanini haraka sana aliamua Kuifuta?

Tafadhali mkijijua ni Wapumbavu acheni Kuchangia Mada ( Threads ) za Watu Werevu na zinazohitaji Watu Werevu kuzijadili na nyie mbakie tu Wasomaji au Watazamaji sawa?
 
Ne
Kabla ya yote nianze kwa kutoa Pongezi zangu kww Mtandao huu wa JamiiForums kwani baada ya Kuandika Uzi kuhusu Kitendo kibaya alichokifanya Msemaji wa Yanga SC Haji Manara umeibua mwako mkubwa, hisia Mseto na Wachambuzi wa Habari za Michezo hasa wa EFM akina Jemedari Said Kazumari na Wilson Oruma kuutumia na kuniunga mkono kwa 99% juu ya Hoja zangu zenye Mantiki.

Pili nitoe Pongezi kwa Watu wa Jeshi la Polisi ( nawahifadhi ) na wa Idara Muhimu na Waandamizi wa Serikali ambao kwa kuweka pembeni Mapenzi yao na Vilabu vya Simba na Yanga wanaazimia Kumuita Msemaji wa Yanga SC Haji Manara muda wowote kuanzia sasa ili Wamhoji juu ya alichokiandika ambacho kwa mujibu wao wamesema ule ni Uhujumu kwa Sekta ya Michezo nchini na pia ni Hatari hata kwa Usalama wa Taifa lakini pia kwa alichokifanya hajaiathiri na Kuichafua tu Simba SC bali ameichafua mpaka nchi ya Tanzania.

Tatu upesi sana nauomba Uongozi wa Simba SC ukae chini na Wanasheria na wamfungulie Kesi ya Jinai Msemaji wa Yanga SC Haji Manara kwa kile alichokiandika jana katika Instagram Account yake na Kukifuta upesi kwani wakimnyamazia na kumuachia alilolisema Haji Manara litaaminika na laweza kuwa na Athari Kwetu katika Mechi zijazo mpaka huko CAF na FIFA Kwenyewe.

Mwisho nimetaarifiwa kuwa TFF nao wanajipanga Kumuita Msemaji wa Yanga SC Haji Manara kwa Mahojiano zaidi ila juu ya Uhuni na Uhujumu wa Kimichezo alioufanya na upo uwezako wa Kupewa Adhabu Kali ambayo itamfanya awe Historia katika Medani za Soka nchini.

Niwaombe tu wana Yanga SC ambao mmejitokeza Kunishambulia katika huo Uzi wa Kumsema Msemaji wenu Haji Manara na Upumbavu alioufanya msiache Kunitukana na Kunidhihaki ila Nguvu ya Uandishi na Uwasilishaji wangu hapa JamiiForums una positive impact katika Jamii, Idara na Taasisi husika na najua tayari Wahusika wengi wameusoma, wameuelewa na sasa wanaufanyia Kazi.

Haji Manara ( Msemaji wa Yanga SC ) hongera sana kwa Kukurupuka na Kuandika ule Upuuzi wako Instagram na kuwa na Ujasiri wa kuwahi Kuufuta ukidhani Watu hawana ila bahati nzuri Watu wanao na ndiyo utatumika katika Kukumaliza Kihukumu kote ambako utaitwa.

Tulikuonya huko nyuma kuwa nenda taratibu utapotea na hao GSM wako wanaokupa Jeuri watakukwepa na Kukutosa yakikukumba hukutuelewa sasa umeshaingia katika 18 za Watu.W
Kabla ya yote nianze kwa kutoa Pongezi zangu kww Mtandao huu wa JamiiForums kwani baada ya Kuandika Uzi kuhusu Kitendo kibaya alichokifanya Msemaji wa Yanga SC Haji Manara umeibua mwako mkubwa, hisia Mseto na Wachambuzi wa Habari za Michezo hasa wa EFM akina Jemedari Said Kazumari na Wilson Oruma kuutumia na kuniunga mkono kwa 99% juu ya Hoja zangu zenye Mantiki.

Pili nitoe Pongezi kwa Watu wa Jeshi la Polisi ( nawahifadhi ) na wa Idara Muhimu na Waandamizi wa Serikali ambao kwa kuweka pembeni Mapenzi yao na Vilabu vya Simba na Yanga wanaazimia Kumuita Msemaji wa Yanga SC Haji Manara muda wowote kuanzia sasa ili Wamhoji juu ya alichokiandika ambacho kwa mujibu wao wamesema ule ni Uhujumu kwa Sekta ya Michezo nchini na pia ni Hatari hata kwa Usalama wa Taifa lakini pia kwa alichokifanya hajaiathiri na Kuichafua tu Simba SC bali ameichafua mpaka nchi ya Tanzania.

Tatu upesi sana nauomba Uongozi wa Simba SC ukae chini na Wanasheria na wamfungulie Kesi ya Jinai Msemaji wa Yanga SC Haji Manara kwa kile alichokiandika jana katika Instagram Account yake na Kukifuta upesi kwani wakimnyamazia na kumuachia alilolisema Haji Manara litaaminika na laweza kuwa na Athari Kwetu katika Mechi zijazo mpaka huko CAF na FIFA Kwenyewe.

Mwisho nimetaarifiwa kuwa TFF nao wanajipanga Kumuita Msemaji wa Yanga SC Haji Manara kwa Mahojiano zaidi ila juu ya Uhuni na Uhujumu wa Kimichezo alioufanya na upo uwezako wa Kupewa Adhabu Kali ambayo itamfanya awe Historia katika Medani za Soka nchini.

Niwaombe tu wana Yanga SC ambao mmejitokeza Kunishambulia katika huo Uzi wa Kumsema Msemaji wenu Haji Manara na Upumbavu alioufanya msiache Kunitukana na Kunidhihaki ila Nguvu ya Uandishi na Uwasilishaji wangu hapa JamiiForums una positive impact katika Jamii, Idara na Taasisi husika na najua tayari Wahusika wengi wameusoma, wameuelewa na sasa wanaufanyia Kazi.

Haji Manara ( Msemaji wa Yanga SC ) hongera sana kwa Kukurupuka na Kuandika ule Upuuzi wako Instagram na kuwa na Ujasiri wa kuwahi Kuufuta ukidhani Watu hawana ila bahati nzuri Watu wanao na ndiyo utatumika katika Kukumaliza Kihukumu kote ambako utaitwa.

Tulikuonya huko nyuma kuwa nenda taratibu utapotea na hao GSM wako wanaokupa Jeuri watakukwepa na Kukutosa yakikukumba hukutuelewa sasa umeshaingia katika 18 za Watu.
Mkuu wakti mwingine njoo na viambata vya nini huyo haji amesema. Unapokuja na fikra zako tu hapa unatuchanganya. Sasa vipi kama unamzushia? Lete viambata tutaamua wenyewe kama kukubaliana na wewe au vinginevyo.
 
Jamaa anafanya muendelezo tu wa uadui wa jadi... hapo hakuna kesi hivi hizo shutuma hazikuwahi kutolewa pia na timu fulani? Basi aseme tu alitoa angalizo yasije wakuta yaliyowakuta kina Fulani
 
Nilijua tu kuwa kuna Wapumbavu kama Wewe mtakuja na huu Utetezi hivyo nakupa Darasa kidogo tu la Kisheria ili Ujifunze.

Katika Sheria kuna Ushahidi wa Kiuhalisia na ule wa Kimazingara. Ni kweli Msemaji wa Yanga SC Haji Manara katika post yako hajaitaja Simba SC ila Ushahidi ufuatao wa Kimazingira unamuweka hatiani.

Kwanza ameandika post yake akiwatagi ( akiwataarifu ) Watu wa Asec Mimosa FC waliocheza na Simba SC jana.

Pili ameandika post yake hiyo katika Siku husika ya Mechi ya Simba SC na Asec Mimosa FC.

Tatu Kitendo cha Mtandao wa Asec Mimosa FC iliyocheza na Simba SC jana Kumjibu Haji Manara kuhusu huo Upumbavu wake aliouandika ni Uthibitisho tosha kuwa alilenga Kuihujumu Simba SC jana.

Nakuuliza Swali dogo tu hivi kama post ile ya Hajj Manara ilikuwa haina madhara ya Kisheria na akifunguliwa Kesi atachomoka unadhani ni kwanini haraka sana aliamua Kuifuta?

Tafadhali mkijijua ni Wapumbavu acheni Kuchangia Mada ( Threads ) za Watu Werevu na zinazohitaji Watu Werevu kuzijadili na nyie mbakie tu Wasomaji au Watazamaji sawa?
We bwege baki huko huko kweye tasnia yako ya wajinga ya sijui uandiashi wa Nini. Huku kwenye Sheria paache, siyo sehemu ya watu vibwengo Kama wewe.
Huo ushahidi wa mazingira hata unajua maana yake au unaropoka tu.
 
Hakuna kesi hapo wapi imetajwa Simba
Nilijua tu kuwa kuna Wapumbavu kama Wewe mtakuja na huu Utetezi hivyo nakupa Darasa kidogo tu la Kisheria ili Ujifunze.

Katika Sheria kuna Ushahidi wa Kiuhalisia na ule wa Kimazingara. Ni kweli Msemaji wa Yanga SC Haji Manara katika post yako hajaitaja Simba SC ila Ushahidi ufuatao wa Kimazingira unamuweka hatiani.

Kwanza ameandika post yake akiwatagi ( akiwataarifu ) Watu wa Asec Mimosa FC waliocheza na Simba SC jana.

Pili ameandika post yake hiyo katika Siku husika ya Mechi ya Simba SC na Asec Mimosa FC.

Tatu Kitendo cha Mtandao wa Asec Mimosa FC iliyocheza na Simba SC jana Kumjibu Haji Manara kuhusu huo Upumbavu wake aliouandika ni Uthibitisho tosha kuwa alilenga Kuihujumu Simba SC jana.

Nakuuliza Swali dogo tu hivi kama post ile ya Hajj Manara ilikuwa haina madhara ya Kisheria na akifunguliwa Kesi atachomoka unadhani ni kwanini haraka sana aliamua Kuifuta?

Tafadhali mkijijua ni Wapumbavu acheni Kuchangia Mada ( Threads ) za Watu Werevu na zinazohitaji Watu Werevu kuzijadili na nyie mbakie tu Wasomaji au Watazamaji sawa?
 
Back
Top Bottom