ukikaidi utapigwa2
JF-Expert Member
- Feb 24, 2015
- 15,265
- 29,991
Hakuna kesi hapo wapi imetajwa Simbakwa mechi gani za kimataifa mlizokuwa mnashiriki alikuw anaandika upuuzi kama huu [emoji116][emoji116][emoji116]
View attachment 2119150
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hakuna kesi hapo wapi imetajwa Simbakwa mechi gani za kimataifa mlizokuwa mnashiriki alikuw anaandika upuuzi kama huu [emoji116][emoji116][emoji116]
View attachment 2119150
Noma sana
changamoto inayoleta ukakasi katika kutafsiri kama hii ni uhalisia au ni hisia zako binafsi zenye chuki ndani yake ni pale unapotumia maneno kama "mpumbavu", "mwendawazimu" etc katika kumu adress jamaa.....Tafuta Uzi wa JamiiForums Member Numero Uno kule katika Jukwaa la Michezo wenye Title isemayo SHOBO YA NINI ame Screenshot kila Kitu ( Upumbavu ) aliouandika huyo Msemaji wa Yanga SC Mwendawazimu Haji Manara.
huna akili mbona alifuta kama simba haikutajwaHakuna kesi hapo wapi imetajwa Simba
Sawa mama. Ksbb upo wewe mama inatosha. Tutakuzalisha wewe mwenyewe asubuhi na mchana tupate haraka haraka wengi wenye madiniWababa tafadhali hakikisheni mkiwa mnakutana na Wamama kuwapa Mimba muwe mmeshajjridhisha kama mmekula Madini ( Protein na Vitamin ) za kutosha ili mkituzalia Watoto wenu wawe ni Intelligent na wenye Faida kwa Jamii na Nchi na siyo Lipumbavu na Taahira Tukuka kama hili ( huyu ) sawa?
Mimi sijui kwanini aliandika, na sijui kwanini alifuta ila wewe mwenye akili niambie Simba imetajwa kwenye paragraph ipi? maana jana kulikua na mechi nyingi
niambie mechi zilizochezwa jana saa kumi jion kwa mkapa ni ngapi hadi assec mimosas wacomment kwenye post ya manara huko IgMimi sijui kwanini aliandika, na sijui kwanini alifuta ila wewe mwenye akili niambie Simba imetajwa kwenye paragraph ipi? maana jana kulikua na mechi nyingi
Na wewe una mamlaka gani ya kumwita mwenzako Mwendawazimu/mpumbavu acheni wivu wa kijinga watanzania unajiona wewe ndio mkamilifu sana eti mwendawazimuTafuta Uzi wa JamiiForums Member Numero Uno kule katika Jukwaa la Michezo wenye Title isemayo SHOBO YA NINI ame Screenshot kila Kitu ( Upumbavu ) aliouandika huyo Msemaji wa Yanga SC Mwendawazimu Haji Manara.
Wewe una chuki binafsi na Manara kijana nakupa angalizo sijui kama umemaliza uzao wako mwogope sana Mungu wako ningekuona wa busara kama ungetumia kauli za Hekima angalia na nawewe unawatoto kijana au utakuja kupata watotoWababa tafadhali hakikisheni mkiwa mnakutana na Wamama kuwapa Mimba muwe mmeshajjridhisha kama mmekula Madini ( Protein na Vitamin ) za kutosha ili mkituzalia Watoto wenu wawe ni Intelligent na wenye Faida kwa Jamii na Nchi na siyo Lipumbavu na Taahira Tukuka kama hili ( huyu ) sawa?
Kuna shida gani hapo kataja Jina kama alikua anaimba taarabu zake halafu sijaona tusi hata moja wewe ndio kwanza kutukana unachuki binafsi na haji wewe propaganda za kisoka zipo kila sehemu Nigeria Yanga Feisal alipewa covid Ila baada ya kukomaa akacheza.