cocastic
JF-Expert Member
- Nov 30, 2019
- 96,456
- 156,324
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Sijui nani aliwafundisha hilo neno "burandi"
Utakuta mtu kazi yake kuliwa kiboga tu mjini hapo anakwambia nna burandi yangu nimeikuza.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Sijui nani aliwafundisha hilo neno "burandi"
Utakuta mtu kazi yake kuliwa kiboga tu mjini hapo anakwambia nna burandi yangu nimeikuza.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kwan uongo? Anaharibu ugali wa mashavu mbonyeo, khaaaahYaan wewe khaa
Hupitwiii, khaaaah[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kwan uongo? Anaharibu ugali wa mashavu mbonyeo, khaaaah
TFF ni aibu tupu ndio maana soccer haiendelei, hope kuna namna ya kukatia rufaa huu upuuzi wa TFF.
Simba Yanga zimekuwa Timu zakujifichia Maujinga ya Watu
yaani ukiwa Simba au Yanga unakuwa juu ya Sheria
Niupuuzi kabisa
Napitwaje sasa khaaah, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Hupitwiii, khaaaah
Hamjitambui nyie, utawala wa CCM umewaharibu mmezoea kufungwa midomo na nidhamu za woga, huyo mjinga mwenzenu katukanwa personally kaamua kutumia cheo cha TFF kulipa kisasi, TFF haikutakiwa kabisa kuhusika na huu ujinga, Karia angeenda mahakamani kushtaki sio kutumia TFF kwa sababu ana cheo, angekuwa sio chairman wa TFF usingesikia chochote, matumizi mabaya ya vyeo vya kijinga na ndio kuua soccer hukoNchi zilizoendelea na soka zinakua na type ya wapiga kelele kama huyo jamaa? Taja mifano ya nchi hizo.
Hatuwez kuendelea kwenye sekta ya michezo hasa mpira kama tutaendelea na mambo ya hovyo ya kizamani, uhamasishaji maandazi nk
kwa Simba soka inaendelea, na hata kwa taifa maana hatukuzoea kabisa kusikia timu za taifa walau mojawapo ikaenda ngazi ya Afrika na duniaTFF ni aibu tupu ndio maana soccer haiendelei, hope kuna namna ya kukatia rufaa huu upuuzi wa TFF.
Nadhani haufahamu na pengine hautaki hata kujishughulisha kufahamu kwamba Manara ameshtakiwa na nani na amehukumiwa na nani. Karia angetaka kumshtaki, hiyo ingekuwa ni kesi nyingine, ila hajataka na wala halazimishwi na mtu kushtaki mahakamani. Hivi ukiua mtu unadhani Jamhuri itakaa kimya kusubiri hadi ndugu wa marehemu wakushtaki?Hamjitambui nyie, utawala wa CCM umewaharibu mmezoea kufungwa midomo na nidhamu za woga, huyo mjinga mwenzenu katukanwa personally kaamua kutumia cheo cha TFF kulipa kisasi, TFF haikutakiwa kabisa kuhusika na huu ujinga, Karia angeenda mahakamani kushtaki sio kutumia TFF kwa sababu ana cheo, angekuwa sio chairman wa TFF usingesikia chochote, matumizi mabaya ya vyeo vya kijinga na ndio kuua soccer huko
Sure anaharibu mpira wetuYaani anajenga brand yake kwa kuharibu za Wengine, huyu jamaa Ni hatari kwenye soka letu, afungiwe maisha kabisa😎
Kwako ni ajabu au? Alivyofanya kwa Mo, Barbara au bado ulikuwa hujaja mjini ulikuwa kwenu tunduru hukoKwaio manara atoke alikotoka aanze kumtukana karia
hizi ndio shida za kuruhusu auto correct kwenye keyboard alafu ukute tayari ni mzoefu wa maneno ya hovyo.Dah!... Typing error boss, fanya editing
uko sahihi kabisa. ni vilabu vyenyewe kuchukua hatua kali. Simba tulifanya hivyo kwa ManaraSimba Yanga zimekuwa Timu zakujifichia Maujinga ya Watu
yaani ukiwa Simba au Yanga unakuwa juu ya Sheria
Niupuuzi kabisa