Mwalimu wa tuisheni
JF-Expert Member
- Oct 19, 2019
- 6,602
- 10,801
Awekwe ndani tu, Simba mmeshindwa kumtafutia kosa huyu mwamba
,
Kwanza ni muongo ,halikuwa wapi siku zote kwa nini , hakunuka mapema, ? Anasubiri mpaka wamfukuze ndo anuke , dust[emoji603][emoji603]
Social media zinadanganya sanaWahindi wana roho mbaya sana. Hawataki kuona mwingine akifanikiwa. Ila Haji kwa nini alivumilia yote haya? Nimeamini social media watu hupost furaha tu, kumbe ndani wanalia.
Utoto mwingi Sana kaonyesha Apo[emoji3525]Mo Dewji aliwahi kunipigia simu akaniambia watu wanasema nimekuwa maarufu kuliko yeye hivyo anataka kunitoa Simba"
[emoji867]vitu vingine na chumvi imezidi
Haji kaonyesha utoto Sana.Haji manara ni wale aina ya watu ambao wana vijiba vya roho [emoji28] hapendi upate na ukiwa nacho hapendi umzidi[emoji28]!
Kinachotokea kwa kuwa ameporwa askirimu yake pale simba sc basi ameamua kuwapaka choo tu akina Mo na Babra maana ndio kitu pekee kitampa relief...Ndo yale yale wanasemaga wadau wa mapenzi ukiachwa achika yani Manara anatapatapa haamini kama ametemwa. Anapenda aonewe huruma sana yani aonekane anaonewa ni mlalamikaji sana[emoji28]
Haji ana Kiroho cha Kinyongorilo japo napenda uhamasishaji wake ila ana tatizo hilo!
Haji asitafute huruma mtandaoni,Kwani mbona kuna mazuri mengi ameyasema?yaani taasisi zote zinafanana kwenye kudhurumu haki za wafanyakazi?sio kweli , mmemtumikisha miaka sita bila mkataba, maadili gani hayo ya kazi ya kumnyonya mfanyakazi?!!kwa nchi hii manara kwa sasa hawezi kukosa kazi kamwe!!!
Manara ashakataa akutoa voice note,alimpigia babra kumbe akawa anarekodi na alivyo akujibu chochote,babra ndio kavujisha na kwa mujibu ile voice note ilikua ya muda mrefu
Pata picha Buroo Manara akiachana na mke wake??
Wewe ni kichaa sijui hata umewahi kuajiriwa Ukasoma walau clause ya Conflict of interest.
Muwekezaji au mdhamini yoyote lazima akubane wewe unaedhaminiwa usiingie kwenye conflict of interest.
Leo ukienda kuomba udhanini Pepsi wa ndondo cup yako lazima watakwambia mashindano yako yasidhaminiwe na kinywaji chochote Baridi.
Mo Kama mdhamini Wa Simba lazima awabane anaowadhamini kuwa waajiri wake wasimuharibie biashara ?
Sportpesa anidhamini Simba unataka kusema Manara anaweza kuchukua dili la M-Bet?
Sent from my CPH1803 using JamiiForums mobile app
Atakuwa anapewa habari nyepesi nyepesi wanajua wakimpa habari nzito siku akiondoshwa atawaweka u chi!Hata hao Azam atakaofannya nao kazi watakuwa hawamuamini kivile kiufupi Manara kajiharibia sana tu
Kwenye huo uzi ukisoma vizuri papo pameandikwa.Bi Shadeeya tuambie huo mkataba aliosaini babra ni wa thamani gani na ni wa miaka mingapi?
Hadi wachezaji ni weusi na wananamikataba huyu haji ni pumbavuMbona waajiriwa weusi wote pale Simba Wana mikataba , umewahi kusikia mtu mwingine wa Simba analalamikia issue ya mishahara na mikataba tofauti na Haji , kuanzia HR, Technical bench , wachezaji Hadi Finance Department.
Kwanini ni Haji tu ?
Kaa chini ujiulize kwanini ni Haji tu
Sent from my CPH1803 using JamiiForums mobile app
Swahiba wanajiitaga wazee wa Makombe. Teh teh.Matokeo ya uwanjani ndio yamewafumba macho mikia,soon watajua hawajui
Itakuwa.Hapo kwenye Azam TV ilitakiwa aweke Simba
nadhani amepitiwa
🤣🤣Mkuu wao wamesema wanachotaka ni vikombe tu mambo ya hela na timu anayajua MO etal.
Tunawasubiri kwa hamu ngao ya hisani swahiba 😀Swahiba wanajiitaga wazee wa Makombe. Teh teh.
Barbara baada ya mechi ya ASFC final alipohojiwa akasema ukichagua kufungwa kwenye ligi na kombe mie nachagua kombe. 🤣🤣🤣
Mbona alisha achana na mke wake wa kwanza.Pata picha Buroo Manara akiachana na mke wake??
Anapenda kutishia kususa sana. Na anafanya hivyo kwakuwa anajua viongozi wengi ni njaa tu. Tangu lini mfanya biashara tena wa aina yake afanyie hasara.Huyu mpuuzi MO anataka kujiuzuru,
Sijawahi kuona tajiri mjinga mjinga kama huyu asee
Tajiri gani usiyetaka kuhojiwa?
Mzee kilomoni aliona mbali mno
Au anajua wanachama wa Simba ni wajinga wajinga tu asee
Kila siku unalalama hupati faida, kwanini bado uko Simba?
Inabidi tuanze kuhoji mapato na matumizi, ili kama ni kweli unapata hasara tukushauli uondoke.