Haji Manara: Mo alitaka niwe balozi wa bidhaa zake badala ya Azam. Asema Mo anadai hapati faida ilhali jezi za Simba zimejaa matangazo yake

MO as individual ana hisa 49, nani mwengine Mwenye hisa zaidi ya MO pale? 51 zilizobaki zinamilikiwa na Wanachama kwa pamoja, but kwa mmoja mmoja unadhan watakua wana % ngapi?

Yaan tuseme Wanachama 1,000,000 wa Simba wanamiliki jumla ya hisa 51% za Simba, je kila mmoja wao anamiliki % ngapi hapo? Na huyo kila mmoja Mwenye hizo % utakazopata hapo juu atamzidi MO Mwenye 49?
 
Tuombe Radhi Waswahili na Wazaramo Haji ni mtu wa Kigoma ila Wa Manyema wamekuja mjini mapema sana mfano msikiti wa Manyema umejengwa mwaka 1922...
 
Manara ni mpumbavu sana na kwa kauli yake anaonekana ni kijana mwenye chuki na roho mbaya. Barbara ilibidi afukuze kazi viongozi wabovu ndani ya club ili Club iendeshwe kisasa zaidi maana kabla yake kwa kweli Simba ilioza kwani wale viongozi walikuwa walaji tu na hawakuwa pale kwa ajili ya kusaidia timu. Simba ilifanya kosa sana kumuajiri Manara kwani yule dogo ni mpuuzi mno na muongo sana.
 
Mo anasusasusa Kama demu bhana[emoji1787][emoji1787]

Yaani manara wa kumkosesha usingizi Mo

Halafu hivi huyo No hajui trend ya matukio ya kitanzania siku hizi .

Mambo yanakuja na upepo na yanapita Hali inakuwa shwari.

Anyway wote ni CCM acha wanyukane[emoji1787]
 
Aongee mpaka anabinuka lakin Simba ni kubwa kuliko yeye...nje ya Simba Manara hamna kitu
 
Hadi wachezaji ni weusi na wananamikataba huyu haji ni pumbavu
Kuna watu wajinga..

Chama analipwa mshahara milion 12
Kagere milion 11

Wale wakina ndemla na hajibu milion 3 na 4

Halafu anakuja mtu kuongea ujinga
 
Yani Mo kumfukuza Haji mpaka apitie kwa Senzo, huu ni uongo Haji ni muongo muongo sio wakuamini hata kidogo.

Kama angekuwa makini kwa uozo na mizengwe yote aliyoiona akiwa pale Simba kwanini hakusema kabla ya kufukuzwa?
Alikuwa analinda kibaru saiz hana cha kupoteza mbona hujiongezi mkubwa
 
Kipimo cha mpuuzi na asiye mpuuzi ni fwedhaaa!

Hakuna tajiri mjinga. Mjinga hawezi kuwa tajiri.

Yaani uwe unazo akili alafu usizitumie kupata pesa hizo akili ni za nini sasa!?

Mo sio mjinga kwa sababu ni tajiri. Wewe ni tajiri!? Ushaona sasa kati yako wewe na Mo nani mjinga!?

Alafu sio 'kujiuzuru' jifunze kuandika vizuri Topolo mmoja wewe
 
Hata wewe na ujinga wako ungekua kwenye family ya Dewji tungekuita tajiri!

Umegundua sasa kua kuna matajiri wajinga?
 
Hata wewe na ujinga wako ungekua kwenye family ya Dewji tungekuita tajiri!

Umegundua sasa kua kuna matajiri wajinga?
".... unge.... tunge..." yaani umejaa wishful thinking za kijinga jinga tupu.

Kwa hiyo hapo ndio unajiona 'umeprove' kwamba matajiri wajinga wapo [emoji1787]

Coach Luc aishi sana. Gongowazi wahed wewe
 
".... unge.... tunge..." yaani umejaa wishful thinking za kijinga jinga tupu.

Kwa hiyo hapo ndio unajiona 'umeprove' kwamba matajiri wajinga wapo [emoji1787]

Coach Luc aishi sana. Gongowazi wahed wewe
Kwenda zenu na huyo tajiri poli wenu,

Tajiri gani kila siku unasubiri free agents ndo Usajili.
 
Mo alikuwa analalamika udhamini wa sportPesa wa 1B kwa mwaka ni kidogo wakati yeye ameichafua jezi ya Simba kwa 200M kwa mwaka.

Wanasimba wengi wamekauka kwasababu tunashinda mataji na ukijaribu kuhoji unazimwa papo hapo.
Wote tunaipenda Simba linapokuja swala la maslahi ya Simba ushabiki inabidi tuweke pembeni
 
Kwenda zenu na huyo tajiri poli wenu,

Tajiri gani kila siku unasubiri free agents ndo Usajili.
Huna hoja [emoji1787]

Unataka tukuorozeshee sajili ambazo sio 'free agent' sasa

Nyie mnaovunja mikataba mbn mmeishia kushinda vikombe vya mbuzi huko visiwani mwaka wa nne huu. Na kagame hii pia hampati

Sare sare maua FC nyie.
 
Kuna cha kujifunza hapa mikataba mingi tunasaini kwa uchu wa pesa na njaa kali ukisoma kara nyingi nyingi unastukia kitu...

 
Ila washabiki wa uto mnakazi sana miaka 4 bila kombe sio mchezo lazma chochote kitu kutoka simba mkidakie na mnasahau ku focus kwenye kujenga team yenu
 
Tuassume kuwa yote aliyoyasema manara ni kweli hakuna, hata uongo mmoja bado yeye ndio mwenye matatizo......
nililala kwenye makochi_ asa tangu lini team zina safiri na wasemaji kwenda nje ya nchi? We wako wanahabari kaa nyumbani usubirie press.
Walimkataza Mond asinitaje_ Yes usitajwe kama mtu amelipa hela wimbo utengenezwe maanake kuna aina ya maudhui anayahitaji....., wimbo wa timu unatakiwa kudumu miaka na miaka, why tuanze kutaja msemaji wa timu ili iwaje?, msemaji wa team kimekuwa cheo kikubwa kiasi hicho?
Mo anachukia bakhresa atakuwa mkubwa kuliko yeye_Yes ni washindani sidhani hata kama bakhresa anapenda kuzidiwa na MO kawaida sana hii.
Hapati faida wakati team imejaa matangazo_ hayo matangazo si analipia kwani anatangaza bure? Mfano Kale kanembo ka MO extra tu kushoto kanalipa 250M hii ni nje ya ruzuku anazotoa.
Umeijenga brand ya simba_ Yes ahsante kwa hili, ila umesahau kuwa simba ndio imekujenga wewe zaidi kuliko ulivyoijenga.
Hujawahi pewa bonus wanapewa wachezaji tu_ Vipi, kuna viongozi wanapewa bonus, kama viongozi wanapewa bonus basi ulistahili.....

Tusaidiane kumjibu Manara.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…