Haji manara na Bumbuli walitumwa na GSM kufanya press ili kuzima story za kuvunja mkataba

Haji manara na Bumbuli walitumwa na GSM kufanya press ili kuzima story za kuvunja mkataba

mdukuzi

JF-Expert Member
Joined
Jan 4, 2014
Posts
20,925
Reaction score
51,688
Home shoping center,silent ocean ,GSM ni wahuni waliivamia mpira ,famikia yao wanazi wa simba ila wanafadhili yanga kimaslahi tu
Baada ya uhuni uliofeli na kuepuka aibu wiki hii ,wakawatuma rafiki wa kabwili bwana manara na bumbuli ili watutoe kwenye reli,
Walipeni timu 15 pesa zao walivyotangaza magodoro yenu kwa miexi mitatu
 
Home shoping center,silent ocean ,GSM ni wahuni waliivamia mpira ,famikia yao wanazi wa simba ila wanafadhili yanga kimaslahi tu
Baada ya uhuni uliofeli na kuepuka aibu wiki hii ,wakawatuma rafiki wa kabwili bwana manara na bumbuli ili watutoe kwenye reli,
Walipeni timu 15 pesa zao walivyotangaza magodoro yenu kwa miexi mitatu
@mdukuzi we ni mjinga rudi shule...
 
Haaah...Hivi Kumbe Wale Home Shopping Centre ndo Hawa 'Jiesemu'...!
Kama ndo Wenyewe Wanajulikana, Watu Wa Hovyo sana wa Michongo michongo!!
Sasa hapa Wanakula Taimingi jinsi Ya Kusepa na Pesa Ya Timu 15....!
Nashauri Wakamatwe mara moja Kwa Mahojiano!
Takukuru Waingilie Kati!
 
Home shoping center,silent ocean ,GSM ni wahuni waliivamia mpira ,famikia yao wanazi wa simba ila wanafadhili yanga kimaslahi tu
Baada ya uhuni uliofeli na kuepuka aibu wiki hii ,wakawatuma rafiki wa kabwili bwana manara na bumbuli ili watutoe kwenye reli,
Walipeni timu 15 pesa zao walivyotangaza magodoro yenu kwa miexi mitatu
Na hawa jamaa kwa kushindwa kesi ni mahodari kweli,
 
Home shoping center,silent ocean ,GSM ni wahuni waliivamia mpira ,famikia yao wanazi wa simba ila wanafadhili yanga kimaslahi tu
Baada ya uhuni uliofeli na kuepuka aibu wiki hii ,wakawatuma rafiki wa kabwili bwana manara na bumbuli ili watutoe kwenye reli,
Walipeni timu 15 pesa zao walivyotangaza magodoro yenu kwa miexi mitatu
Acha makasiriko na matajiri mkuu.
 
Home shoping center,silent ocean ,GSM ni wahuni waliivamia mpira ,famikia yao wanazi wa simba ila wanafadhili yanga kimaslahi tu
Baada ya uhuni uliofeli na kuepuka aibu wiki hii ,wakawatuma rafiki wa kabwili bwana manara na bumbuli ili watutoe kwenye reli,
Walipeni timu 15 pesa zao walivyotangaza magodoro yenu kwa miexi mitatu
Hii nayo ni takataka kama zilivyo nyingine, unabwabwaja usichokijua ukiitwa kutoa ushahidi unahama na nyumbani kwako boya wewe, si mkamuhoji mwekezaji wenu kwanza aliyewekeza kwa njia haramu
 
Hii nayo ni takataka kama zilivyo nyingine, unabwabwaja usichokijua ukiitwa kutoa ushahidi unahama na nyumbani kwako boya wewe, si mkamuhoji mwekezaji wenu kwanza aliyewekeza kwa njia haramu
Nihame nyumba yangu kisa nini,kabwili na nduguze au,kuwa serias basi,
 
Wamenikwaza mimi kama mdau wa timu yangu ya mbeya kwanza tumewatangazia biadhara miezi mitatu bure kweki
Mkuu una uelewa mzuri wa business Law?

GSM ameingia mkataba na TFF ambapo vilabu vina act kama 3rd party.

Em pitia hapa chini.

"When two individuals or companies enter into a contract, they each agree to perform some kind of action. If either party does not perform that action, it is considered breaching the agreement or breaking the agreement."

At least utakua umepata mwanga eeh.[emoji3]
 
Mkuu una uelewa mzuri wa business Law?

GSM ameingia mkataba na TFF ambapo vilabu vina act kama 3rd party.

Em pitia hapa chini.

"When two individuals or companies enter into a contract, they each agree to perform some kind of action. If either party does not perform that action, it is considered breaching the agreement or breaking the agreement."

At least utakua umepata mwanga eeh.[emoji3]
Nashukuru.lakini hawa third party hawana haki ya kusikilizwa?nadhani rhird party pia wana haki zao kupitia TFF
 
@mdukuzi we ni mjinga rudi shule...
Kwamba Una pinga unazi wa Gharib na family yake Kwa Simba Hadi logo kuu ya GSM ina rangi nyekundu ila kwasababu ya biashara na Rangi yake iliyopo Yanga ndio tofauti!!..Ukiwa Una bisha uende makao makuu ya GSM kapige picha uje na Rangi zao pamoja na Logo!!!
 
Back
Top Bottom