Papushikashi
JF-Expert Member
- Feb 28, 2016
- 10,963
- 13,287
Na wewe mbona unapenda kuwasema GSM kama wamekuchukulia bwana wako shida nini hasa ?ikisemwa Gisiyemu Unaumia Kweli Kama Unamgao wa Urith
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Na wewe mbona unapenda kuwasema GSM kama wamekuchukulia bwana wako shida nini hasa ?ikisemwa Gisiyemu Unaumia Kweli Kama Unamgao wa Urith
Kwa taarifa yako gsm wamwvunha mkataba baada ta kuwaandikia tff warekebishe dosari ya mkataba na tff hawajufanya,na wamezingatia mkataba unavyosema ndipo wakavunha haeana kosa hata mojaHome shoping center,silent ocean ,GSM ni wahuni waliivamia mpira ,famikia yao wanazi wa simba ila wanafadhili yanga kimaslahi tu
Baada ya uhuni uliofeli na kuepuka aibu wiki hii ,wakawatuma rafiki wa kabwili bwana manara na bumbuli ili watutoe kwenye reli,
Walipeni timu 15 pesa zao walivyotangaza magodoro yenu kwa miexi mitatu
Sawa basi sosi timu 15 tulipwe chetuKwa taarifa yako gsm wamwvunha mkataba baada ta kuwaandikia tff warekebishe dosari ya mkataba na tff hawajufanya,na wamezingatia mkataba unavyosema ndipo wakavunha haeana kosa hata moja
Sent from my SM-N960F using JamiiForums mobile app
Sio kuzima magoli ya michongo mliyopewa makolo huku mwananchi akinyimwa nafasi ya goli halali kabisa??Ile press lengo lake ni kuzima blunders za maboss wao! Unfortunately wachambuzi na media zimeuvaa huo mtego. Wahariri hata kama bahasha zikipita kuleni then mjadala uendelee! Janja janja za kizamani sana
Achana na hayo madai hewa. Ungeanza kudai zile bilioni 20 kwanza alizo waahidi yule bilionea wenu wa Forbes!Sawa basi sosi timu 15 tulipwe chetu
Kashaweka mzigoAchana na hayo madai hewa. Ungeanza kudai zile bilioni 20 kwanza alizo waahidi yule bilionea wenu wa Forbes!
Alishaziweka tayari kwenye akaunti ya timu? Au ndiyo stori ni zile zile za Chupli Chupli! Kuch kuch hotahe!!
Kwa mfano hapo janjajanja ipo wapi?Ile press lengo lake ni kuzima blunders za maboss wao! Unfortunately wachambuzi na media zimeuvaa huo mtego. Wahariri hata kama bahasha zikipita kuleni then mjadala uendelee! Janja janja za kizamani sana
Kirahisi tu.....!!! Kweli wajinga ndiyo waliwao.Kashaweka mzigo
ushahidi kwamba Ni jinsi gani klabu 15 ziliitangaz GSM bila malipo yoyote? Ushahidi kwamba GSM Ni famili ya wanasimba?Ukiambiwa ulete ushahidi wenye mashiko unaanza kumbwelambwela
Sent from my SM-J720F using JamiiForums mobile app
[https://res]Home shoping center,silent ocean ,GSM ni wahuni waliivamia mpira ,famikia yao wanazi wa simba ila wanafadhili yanga kimaslahi tu
Baada ya uhuni uliofeli na kuepuka aibu wiki hii ,wakawatuma rafiki wa kabwili bwana manara na bumbuli ili watutoe kwenye reli,
Walipeni timu 15 pesa zao walivyotangaza magodoro yenu kwa miexi mitatu